lune mwaluponzo
Member
- Mar 29, 2017
- 11
- 1
Hii huletwa na mambo mengi. ea vyakula unavyo kula sigara na kikubwa zaidi kuliko yote ni frustration za maisha lakini mwone daktari kwa ushauri zaidi. Usije kujaribu dawa za kimasai maana namfahamu mtu alitumia siku 4 haikulala akataka kufa
Mhhhh apo sasaMkuu pole sana
Unaweza tumia dawa hii sidenafir citrate nusu kidonge nusu saa kabla ya tendo
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
unatibika hiyo wengi nimewatibu kwa elfu 20 tu 0712505049Habari zenu
Mimi ni kijana ambaye nimeowa lakini Kwa kipindi cha miezi miwili sasa nimepatwa na tatizo la uume wangu kuwa dhaifu yaani hausimami vizuri kama kipindi cha nyuma. Inafika Kipindi hata kufanya mapenzi nashindwa kabisa
Na kinachoniumiza zaidi ni kuwa na mke ndani na nimejitahidi kumficha tatizo nililonalo lakini sasa nimeshindwa
Naombeni ushauri.
Asanteni
Habari zenu
Mimi ni kijana ambaye nimeowa lakini Kwa kipindi cha miezi miwili sasa nimepatwa na tatizo la uume wangu kuwa dhaifu yaani hausimami vizuri kama kipindi cha nyuma. Inafika Kipindi hata kufanya mapenzi nashindwa kabisa
Na kinachoniumiza zaidi ni kuwa na mke ndani na nimejitahidi kumficha tatizo nililonalo lakini sasa nimeshindwa
Naombeni ushauri.
Asanteni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]bwia matikiti maji naskia yanaongeza nguvu, nchi imekua ngumu mpaka uume umezira
Pichs ya nini hapo mkuuPicha plz