lune mwaluponzo
Member
- Mar 29, 2017
- 11
- 1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji24]
Hii huletwa na mambo mengi. ea vyakula unavyo kula sigara na kikubwa zaidi kuliko yote ni frustration za maisha lakini mwone daktari kwa ushauri zaidi. Usije kujaribu dawa za kimasai maana namfahamu mtu alitumia siku 4 haikulala akataka kufa