Nina tatizo la low sperm count, msaada

It is very difficult to avoid natural foods in this era. Lazima ule tu aisee.
 
Mie huku nazikataa tu mimba acha zile mbili niliwatoa.

N.B
Sina Maisha Mazuriiii Wala Lishe Nzuriii ni Mihogo sana ;; nguna nini majan majan chukchuk.
"Ni Baraka za mola usikate tamaa
Mihogo haingozi sperm count ni imani potofu tu.
 
Mkuuu vp mrejesho sasa??
Nini kiliendelea?ulishapona?
 
Kakaa barikiwa nilikunnywa hii dawa na vitamin e mwezi watatu na mtoto

Mwaka na nusu nkapata mtoto w apili
 
Pole sana. kwa sasa hili ni tatizo kwa wanaume wengi.Tatizo hili linahusiana na lishe duni zaidi. Ntafute nitakupa suluhisho rahisi la kumaliza tatizo hili.nimewasidia wengi pia.+255 689 417
472
Unaonaje ukiweka wazi wengi wanufaike
 
Mkuu m nilikuwa nakula chicha sana bahati mbaya nilikuwa nkasafiri Nje mara kwa amra so nikiwa huko nimemaliza kazi n mwendo WA ubaya ubwelaa

Kurid tafuta mtoto miezi Tano ola nkaenda

Pale mbuyuni osterbeay

Opp kuna hospt ya mzee mgaya

Huyu baba alinipaw atoto watatu WA gafla

Aliniandikia privilon 90daays kama kakahapo nyuma amesema na vitamin e Ina rangi za njano kijana kwa Nje box yake

Mwezi WA pili mke ana mimba...akazaa nkatumia condom kwa mda nkaachananayo pyuuu nkapata mwingine walipishana na mwenzie Mwaka na miezi 3

Sikukomaa nkaendelea kunywaaaaaa

Nikiwa Uganda kuna Mdada MMOJA akanipenda gafla akataka nimzalilie mtoto WA kike NDUGU

Dar Nina wakike MMOJA anaekuja wakike. Sikukosea nakula dawa nakula zile karanga zao na maziwa na matokeo

Miezi kadhaa mdada immo

Akawa anasalinkila siku APATE mtoto WA kike nikawambia Mungu yupo hapa zimekaa shahawa za kike tupu

Kajifungua nkatumiwa tktk ya ndege KUFIKA airport nkaenda hotelini nkaletewa gari KUFIKA kwa mamake nkashangaa mwanamke analia nkaogopa NKAHISI msibaaa

Badaee nkaakaa PEMBEN mama kuna amani akasema sana tuu CONGS analia kwa uchungu

Akukwambia aliolewa akazaa WA kiume akazaa Tena WA kiume

Akapata mimba ya 3 ikafika miezi kadhaa mume akaenda waiangalie kama n wakike akakuta Dume

Wakaenda toa..akamfukuza kama sijui NKAMWAMBIA hakuniambiaaaa

We r so proud kupata mtoto WA kike

Mkuu nikishuka airport ebb ama kituo cha basi nasubiria kama boss mpaka kesho

Wamepishana kidogo sana na mtoto WA pili

Mungu n mwema 2017. Nilipata nguvu ya kumwambia mzee wangu akasema anataka kumwona kabla ajafa...nkamsomesha bimdogoo akamleta YAAN amefanana na mwenzie WA kwanza huku mpaka hataree

Baba akamwita wyf akamsomesha wee ajamwambia anajua alikuwa anasoma msg ZANGU whatsup hana shida alitaka kusikia Toka kwangu wote n watoto wetu

Ikatumwa gari hotelini wakaketwa ...mpaka kesho bmkiubwa akutaka kutest ANASEMA naenda Uganda nkampigia mwenzie wanapokeana wanazungushana wanajazana umbeya ANARUDI

Like wise akija yule anapiga nampokea anakata hotelini anaenda kuchukua mwenzie wanazungushana wakijiskia kujiita wanajiita tunakaa wote SEHEMU for food maisha yanaenda

Goodhtings watoto wanapendana wote na n wakubwa kiasi...na yule akija WA ug analala na wenzie mpaka anaondoka kama hahaha na mama yake..so wakiwa wanapigana umbeya na m NKACHUKUA gari naenda KUJAZANA umbeya na wangu cocobeach nk

Msidaharau privilon noma azikosei
 
1.acha pombe
2.jiyunze na magonjwa ya zinaa
3.kula vyakula vya virutubishoo sio dawa
4.maombi kila mara
5 .JIPANGE wakija mapacha unawaweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…