JELA
Member
- Apr 20, 2013
- 14
- 4
habari jf doctor!
Nina tatizo langozi yapata mwezi wa tano tokea lianze, nimekwenda hospitali, nimepima mpaka damu kwa ajili ya HIV nikapewa majibu, nikaambiwa sina HIV, isipokuwa nimeliweka tatizo muda mrefu bila tiba.
Ni kweli tatizo lilianza muda mrefu kuanzia mapajani , kwani kulikuwa kunabadilika rangi na kuwasha , nilikuwa natumia dawa za kawaida za kupaka kama whitefield, na vidonge kama ketoconazole lakini bado. Baadae nikarudi nikaambiwa nifanye dematology kama sikosei ndipo jibu likaja kuwa tatizo limeingia kwenye damu.
Kwa sasa nawashwa mikononi, mapajani, miguuni na mgongoni pia sehemu zinazowasha ZIMEBADILIKA RANGI KUWA NYEUSI. msaada tafadhali jf doctor
Nina tatizo langozi yapata mwezi wa tano tokea lianze, nimekwenda hospitali, nimepima mpaka damu kwa ajili ya HIV nikapewa majibu, nikaambiwa sina HIV, isipokuwa nimeliweka tatizo muda mrefu bila tiba.
Ni kweli tatizo lilianza muda mrefu kuanzia mapajani , kwani kulikuwa kunabadilika rangi na kuwasha , nilikuwa natumia dawa za kawaida za kupaka kama whitefield, na vidonge kama ketoconazole lakini bado. Baadae nikarudi nikaambiwa nifanye dematology kama sikosei ndipo jibu likaja kuwa tatizo limeingia kwenye damu.
Kwa sasa nawashwa mikononi, mapajani, miguuni na mgongoni pia sehemu zinazowasha ZIMEBADILIKA RANGI KUWA NYEUSI. msaada tafadhali jf doctor