Samireal
Member
- Aug 16, 2015
- 88
- 22
Kuna wakati nilikuwa napata maumivu makali kwenye nyonga za ndani au naweza kusema nyonga za mbele wakati nikiwa nafanya mazoezi ya kukimbia na nilikuwa nahisi kama vile kitu kinavuta (kinacheza/kudunda) upande wa kushoto chini ya tumbo kwenye maungio ya mguu sometimes nilikuwa nahisi maumivu hadi kwenye korodani.
Ilinibidi niache mazoezi nikaanza kutumia dawa ya kuchuwa na maumivu yalipotea lakini kuanzia juzi nahisi kitu tena maeneo yale yale japo hakuna maumivu, je linaweza likawa ni tatizo gani na hospital linaweza kucost kama sh.ngapi?
Na je bawasiri inaweza ikawa inahusika na hili tatizo?
Ilinibidi niache mazoezi nikaanza kutumia dawa ya kuchuwa na maumivu yalipotea lakini kuanzia juzi nahisi kitu tena maeneo yale yale japo hakuna maumivu, je linaweza likawa ni tatizo gani na hospital linaweza kucost kama sh.ngapi?
Na je bawasiri inaweza ikawa inahusika na hili tatizo?