saidjamali
Member
- Dec 3, 2016
- 66
- 22
Sio kweliCc CHAPUTA
MmmhZa saizi wadau
Kiukweli kwa muda sasa usiopungua miezi sita nimekuwa na tatizo la nguvu za kiume. Yaani naposhiriki tendo bao la kwanza ni chap tu nimemaliza afu inachukua muda kama dk 20 ndo isimame tena. Na sio kawaida yangu msaada jamani pengine ni kawaida au Nina tatizo
Kipindi cha pili nakimbiza kinoma but hapo mwanzo ndo shidaNa baada ya hizo dkk 20 ikishasimama unapiga game kwa mda gani tena.
Huna tatizo la nguvu za kiume ila Punguza mawazo
Unajua wale waganga wa tiba mbadala walilikuza hili tatizo ila kiuhalisia halipo ila wamewaweka wanaume hofu tu.
Haya matatizo uwapata wanaume wenye umri mkubwa, wagonjwa either wa kisukari, moyo, tezi dume au presha
NB Kama uchumi ni mdogo pia unaweza kukumbwa na tatizo kwa muda tu kutokana na stress za maisha
Mkuu umri bado coz saiv Nina 30 tuWewe jamaa ni umri unakutupa mkono..... hiyobhali ya kawaida sana.... hakikisha bao la pili unasugua masaa4
Kipindi cha pili nakimbiza kinoma but hapo mwanzo ndo shida
Ndo hivyo mkuu we fikiria hujala hela huna hiyo hamu ya kupiga goli zaidi ya moja inakujaje?yaani uchumi ukiyumba unayumbisha mpaka kule ?
Ndo hivyo mkuu we fikiria hujala hela huna hiyo hamu ya kupiga goli zaidi ya moja inakujaje?
tumia mhogoZa saizi wadau
Kiukweli kwa muda sasa usiopungua miezi sita nimekuwa na tatizo la nguvu za kiume. Yaani naposhiriki tendo bao la kwanza ni chap tu nimemaliza afu inachukua muda kama dk 20 ndo isimame tena. Na sio kawaida yangu msaada jamani pengine ni kawaida au Nina tatizo
yaani uchumi ukiyumba unayumbisha mpaka kule ?
Hili lilikuwepo hata awamu zingine ila awamu hii limeongezeka upya kwa kasi ya mwendokasihhahahahahah hiii ni kwa awamu hii tu au na awamu zilizopita mkuu ?
Mkuu;
Huo ndo ukweli. Nitapandaje juu yake huku sijui akiniomba soda ntampa nini?? Nikiwa na msimbazi moja napiga goli hat 4
Mdau muhogo ni Tiba autumia mhogo
Hiyo Avatar sasaMmmh
Utakuwa na ugonjwa wa Upungufu wa Salio ATM (USA).
Ugojwa huu husababishwa na mdororo wa uchumi nchini kutoka na sera ya kubana matumizi inayosambazwa na kirusi kijukanacho kwa jina Jana Pombe Mlikunywa, (JPM).