Nina tatzo la uume wangu katikati ya kutolea mkojo kuna kinyama kimejitokeza kidogo, sijui nini shida

Nina tatzo la uume wangu katikati ya kutolea mkojo kuna kinyama kimejitokeza kidogo, sijui nini shida

Bryan audax

Member
Joined
Jun 27, 2021
Posts
8
Reaction score
13
Dr habari za kazi aisee Nina tatzo la kujitokeza kinyama katikati ya uume wangu n kadogo Sana kapo sehemu unapotokea mkojo sijui nn shida msaada wako na tiba yake nini?

Samahani kwa hiyo picha.
 
Mkuu tumia Ant biotic itakwisha ishawahi nitokea inaonesha kuna mwanamke mwenye UTI au Fungus sugu ulilala nae.
 
Mkiambiwa muache kufir.anah mnajitia maufundi pole sana hayo ndio madhara yake mkuu! Wahi hospitali ukatibiwe
 
Bob hutonimba vya kutosha ndo mana kinyama kimeota. Ushaona busy road ikiota majani? Chukua hatua.
 
Hivi nimefata nini hapa jamani mpaka yakanikuta ya kuona mpini asubuhi asubuhi jamani.

Mpini sina, mimi sio daktari 🙄🙄🙄🙄🙄 arrrrghhh.
Nimeshajua unachokiwaza....🤣🤣
 
Yaani unaamka siku ya 1 hivyo, ya 2 na 3 bado unauliza hapa badala ya kwenda hospital. Kitakatika hicho.
 
Back
Top Bottom