Nina Tsh. milioni 200, niweke benki gani yenye 'Fixed Interest' nzuri?

Nina Tsh. milioni 200, niweke benki gani yenye 'Fixed Interest' nzuri?

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,810
Reaction score
6,599
Wadau, nina 200 million TZS, je niweke fixed account benk ipi yenye interest nzuri ya mwaka?
Asante

Michango

==========

Mkuu salute!

Seriously fanya haya kwa pamoja baada ya miaka 5 utakuja kunishukuru hapa.

1.Nunua hisa za millioni kumi tu uweke malengo ya miaka 5, mfano hisa za CRDB bado ziko chini na zinaweza kupanda sana tu hata mara tano baada ya miaka hiyo mitano.

2.Chagua kuwekeza kwenye UTT au hatifungani za serikali. Napo unaweza kuwekeza hata million 40.(utt +hatifungani)

3.millioni 100, weka fixed account..tafuta benk hizi ambazo ni global.banclays kwa sasa inaitwa Absa,fnb,bankABC interest zake ni kubwa kuliko hizi local banks.

4.millioni 25 weka kwenye biashara ya nafaka...mfano mpunga ,au ndegu,au choroko...hutajuta wala usiogope.(niulize nitakuogonza)

5.Millioni 25 njoo tufanye biashara ya pamoja,Mimi Nina wazo.very productive wewe una pesa,...Mimi ndo nitalisimamia na biashara itaenda vizur kwa sababu ujuzi na uzoefu wa hiyo biashara.(makubaliano ya kisheria tutaweka ili kulindana na kuaminiana)

Kamwe usikubali kuweka fixed accouts hiyo pesa yote mkuu, itakuwa ni uoga na ufinyu wa maarifa sana hata kama unazo nyingi hizo million 200 ila bado kuna namna ya kuzizalisha zaidi. Usibweteke ukasema unazo nyingi ukaanza kufanya biashara ya mwendo wa kinyonga, hakuna tajiri duniani ametajirika kwa kwa savings accounts au hizo fixed accounts, matajiri wote wanafanya investments.


Hizo million 100 utakazoweka fixed accounts ni kwa tahadhari tu kuwa biashara ikishashika mizizi unaongeza mtaji kwemye biashara kutoka fixed accounts ndo watu wenye jicho la tatu wanavyofanya.

Bahati nzuri biashara zote hizo juu nilizo kuorodheshea nina ujuzi nazo na zingine nazifanya...ukiacha hati fungani ndo sijawahi kufanya, kwa hiyo wewe kama uko tayari fanya hayo niliyokushauri, ingawa ushauri sio lazima ufatwe.

Najua watu wana pesa ila hawana mawazo ya biashara au wanaogopa kufanya biashara. Wenye pesa za mitaji msiogope kufanya biashara frankly speaking mimi nipo nitakushauri, mwanzo hadi mwisho kwenye biashara yako kama ukinikaribisha niwe mshauri wako usitishwe na watu waoga wa kuthubutu.

Dunia ya sasa inataka taarifa sahihi ndo muhimu sio uoga na hadithi za kukatisha watu tamaa.

Ni hayo tu Mkuu wa million 200/= karibu sana kwa ushauri na vitu kama hivyo.
dylm.mashauri@gmail.com 0762742349


Sent using Jamii Forums mobile app

================

Tafadhali Kimla soma Ushauri kwa wastaafu na wanaopata hela nyingi kwa mkupuo - JamiiForums
 
Wadau, nina 200 million TZS, je niweke fixed account benk ipi yenye interest nzuri ya mwaka?
Asante
Mkuu salute!

Seriously fanya haya kwa pamoja baada ya miaka 5 utakuja kunishukuru hapa.

1.Nunua hisa za millioni kumi tu uweke malengo ya miaka 5, mfano hisa za CRDB bado ziko chini na zinaweza kupanda sana tu hata mara tano baada ya miaka hiyo mitano.

2.Chagua kuwekeza kwenye UTT au hatifungani za serikali. Napo unaweza kuwekeza hata million 40.(utt +hatifungani)

3.millioni 100, weka fixed account..tafuta benk hizi ambazo ni global.banclays kwa sasa inaitwa Absa,fnb,bankABC interest zake ni kubwa kuliko hizi local banks.

4.millioni 25 weka kwenye biashara ya nafaka...mfano mpunga ,au ndegu,au choroko...hutajuta wala usiogope.(niulize nitakuogonza)

5.Millioni 25 njoo tufanye biashara ya pamoja,Mimi Nina wazo.very productive wewe una pesa,...Mimi ndo nitalisimamia na biashara itaenda vizur kwa sababu ujuzi na uzoefu wa hiyo biashara.(makubaliano ya kisheria tutaweka ili kulindana na kuaminiana)

Kamwe usikubali kuweka fixed accouts hiyo pesa yote mkuu, itakuwa ni uoga na ufinyu wa maarifa sana hata kama unazo nyingi hizo million 200 ila bado kuna namna ya kuzizalisha zaidi. Usibweteke ukasema unazo nyingi ukaanza kufanya biashara ya mwendo wa kinyonga, hakuna tajiri duniani ametajirika kwa kwa savings accounts au hizo fixed accounts, matajiri wote wanafanya investments.

Hizo million 100 utakazoweka fixed accounts ni kwa tahadhari tu kuwa biashara ikishashika mizizi unaongeza mtaji kwemye biashara kutoka fixed accounts ndo watu wenye jicho la tatu wanavyofanya.

Bahati nzuri biashara zote hizo juu nilizo kuorodheshea nina ujuzi nazo na zingine nazifanya...ukiacha hati fungani ndo sijawahi kufanya, kwa hiyo wewe kama uko tayari fanya hayo niliyokushauri, ingawa ushauri sio lazima ufatwe.

Najua watu wana pesa ila hawana mawazo ya biashara au wanaogopa kufanya biashara. Wenye pesa za mitaji msiogope kufanya biashara frankly speaking mimi nipo nitakushauri, mwanzo hadi mwisho kwenye biashara yako kama ukinikaribisha niwe mshauri wako usitishwe na watu waoga wa kuthubutu.

Dunia ya sasa inataka taarifa sahihi ndo muhimu sio uoga na hadithi za kukatisha watu tamaa.

Ni hayo tu Mkuu wa million 200/= karibu sana kwa ushauri na vitu kama hivyo.
dylm.mashauri@gmail.com 0762742349


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rafiki, sijajaliwa kufanya biashara..inabidi nianze taratibu harafu nipande
Kama wewe mwenyewe mpaka sasa hauna biashara ambayo unaifikiria basi usifanye.

Moja ya kanuni biashara ambayo itakutoa ni ile ambayo umejisikia kuifanya na kuipenda, usiwekeze kisa fulani amesema ama amefanya.

Fixed Account hata kama return ikawa ndogo ila security ya pesa yako 200m ni 100%.

Nakushauri kafungue hiyo Account.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu salute!
Seriously fanya haya kwa pamoja baada ya miaka 5 utakuja kunishukuru hapa.
1.Nunua hisa za millioni kumi tu uweke malengo ya miaka 5, mfano hisa za CRDB bado ziko chini na zinaweza kupanda sana tu hata mara tano baada ya miaka hiyo mitano.
2.Chagua kuwekeza kwenye UTT au hatifungani za serikali. Napo unaweza kuwekeza hata million 40.(utt +hatifungani)
3.millioni 100, weka fixed account..tafuta benk hizi ambazo ni global.banclays kwa sasa inaitwa Absa,fnb,bankABC interest zake ni kubwa kuliko hizi local banks.
4.millioni 25 weka kwenye biashara ya nafaka...mfano mpunga ,au ndegu,au choroko...hutajuta wala usiogope.(niulize nitakuogonza)
5.Millioni 25 njoo tufanye biashara ya pamoja,Mimi Nina wazo.very productive wewe una pesa,...Mimi ndo nitalisimamia na biashara itaenda vizur kwa sababu ujuzi na uzoefu wa hiyo biashara.(makubaliano ya kisheria tutaweka ili kulindana na kuaminiana)
KAMWE USIKUBALI KUWEKA FIXED ACCOUTS HIYO PESA YOTE MKUU...ITAKUWA NI UOGA NA UFINYU WA MAARIFA SANA...HATA KAMA UNAZO NYINGI HIZO MILLION 200 ILA BADO KUNA NAMNA YA KUZIZALISHA ZAIDI ...USIBWETEKE UKASEMA UNAZO NYINGI UKAANZA KUFANYA BIASHARA YA MWENDO WA KINYONGA.HAKUNA TAJIRI DUNIANI AMETAJIRIKA KWA KWA SAVINGS ACCOUNTS AU HIZO FIXED ACCOUNTS, MATAJIRI WOTE WANAFANYA INVESTMENTS.
HIZO MILLION 100 UTAKAZOWEKA FIXED ACCOUNTS NI KWA TAHADHARI TU KUWA BIASHARA IKISHA SHIKA MIZIZI UNAONGEZA MTAJI KWEMYE BIASHARA KUTOKA FIXED ACCOUNTS...NDO WATU WENYE JICHO LA TATU WANAVYOFANYA.
BAHATI NZURI BIASHARA ZOTE HIZO JUU NILIZO KUORODHESHEA NINA UJUZI NAZO NA ZINGINE NAZIFANYA...UKIACHA HATI FUNGANI NDO SIJAWAHI KUFANYA,.KWA HIYO WEWE KAMA UKO TAYARI FANYA HAYO NILIYOKUSHAURI, ingawa ushauri sio lazima ufatwe...
NAJUA WATU WANA PESA ILA HAWANA MAWAZO YA BIASHARA AU WANAOGOPA KUFANYA BIASHARA...WENYE PESA ZA MITAJI MSIOGOPE KUFANYA BIASHARA FRANKLY SPEAKING MIMI NIPO NITAKUSHAURI ,MWANZO HADI MWISHO KWENYE BIASHARA YAKO KAMA UKINIKARIBISHA NIWE MSHAURI WAKO...USITISHWE NA WATU WAOGA WA KUTHUBUTU.
DUNIA YA SASA INATAKA TAARIFA SAHIHI NDO MUHIMU SIO UOGA NA HADITHI ZA KUKATISHA WATU TAMAA.
ni hayo tu Mkuu wa million 200/= karibu sana kwa ushauri na vitu kama hivyo.
dylm.mashauri@gmail.com 0762742349


Sent using Jamii Forums mobile app
Harufu ya upigwaji hapa...


Ogopa mtu mwenye maneno mengi namna hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka Fixed Deposit Bank Nzuri Yoyote.

Then Kopa 50% Ya Pesa Yako ( Dhamana Hiyo FD )

Halafu Tafuta kiwanda chochote cha Mafuta ya kula, then outsource bidhaa:

- Unaweza Kutengenezewa Vidumu Vya Kuanzia Vikopo vidogo kama vya JUICE ZA PRIDE, Litre 1, Litre 5, Litre 10 na Litre 20 .

- Viwanda vingi vya MAFUTA YA ALIZETI viko na SINGIDA DODOMA

DO IT IN YOUR OWN BRAND NAME ( Ukitaka jina ZURI, Nitakusaidia ) !

Nunua MID CANTER.

Then, Kazi Yako Inakuwa Ni MARKETING na DISTRIBUTION.

TARGET: RETAIL SHOPS, INDIVIDUALS
THANK ME LATER
 
Mitandao hii
Subiri wazee wa kazi wakugongee, mil 200 unaongea hapa JF badala ukapate ushauri benki.
 
Mkuu bora uanzishe microfinace aiseeeee nimewaza hapa kuna wamama wamejiunga kikundi wanataka mikopo midogo ya laki 4 mpaka laki 6 lakini wanazungushwa tu.

Wana biashara ndogo tu retail shop, genge, kuuza mkaa, kukaanga samaki, mpesa, kuuza gas n. K.

Na wamama kama hawa ni waaminifu sana na marejesho wanafanya weekly.
We fungua microfinance bwana toa ajira toa mikopo.
 
Tupambane aiseeee uzee wetu uishe vyema na tuwe tumeweka misingi mizuri kwa watoto wasimamie biashara tulizoanzisha na tuwe tumesimamisha kampuni wao wanasimamia tu.
Unaona sasa mtu ana 200m anataka aziweke tu zikae bank [emoji1787][emoji1787][emoji1787] awe anajikimu kwa kifaida atakachopewa na bank.
Wakati bank hizo hela wanakopesha wengine na wanatajirika kupitia hizo.
Nimewaza sana aiseeee.
DYLM future billionaire


Ushauri mzuri sana sana!
 
So far, nyote mnazunguka, hamjamjibu swali la mleta uzi.

Anauliza ni bank gani yenye Fixed Interest nzuri? Hajaomba ushauri wa jinsi ya kuinvest.

Mnaweza kuanzisha uzi wenu wa ushauri kama alivyofanya mkuu OEDIPUS na tutakuja kuchangia.

Kwenye huu uzi, ni vema kama mtajikita kujibu swali husika.
 
Tupambane aiseeee uzee wetu uishe vyema na tuwe tumeweka misingi mizuri kwa watoto wasimamie biashara tulizoanzisha na tuwe tumesimamisha kampuni wao wanasimamia tu.
Unaona sasa mtu ana 200m anataka aziweke tu zikae bank [emoji1787][emoji1787][emoji1787] awe anajikimu kwa kifaida atakachopewa na bank.
Wakati bank hizo hela wanakopesha wengine na wanatajirika kupitia hizo.
Nimewaza sana aiseeee.


😅😅😙maisha hayajawahi kuwa sawa! Hatari sana Mungu atupe pumzi tu mamy!
 
Kama wewe mwenyewe mpaka sasa hauna biashara ambayo unaifikiria basi usifanye.

Moja ya kanuni biashara ambayo itakutoa ni ile ambayo umejisikia kuifanya na kuipenda, usiwekeze kisa fulani amesema ama amefanya.

Fixed Account hata kama return ikawa ndogo ila security ya pesa yako 200m ni 100%.

Nakushauri kafungue hiyo Account.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ukweli... Ukiwa na hela washauri watakuwa wengi ila bottom line is wat do u wana do... Sio kila mtu anaweza fanya biashara.
 
😅😅😙maisha hayajawahi kuwa sawa! Hatari sana Mungu atupe pumzi tu mamy!
V
😅😅😙maisha hayajawahi kuwa sawa! Hatari sana Mungu atupe pumzi tu mamy!
Nikiandika naona nitamkosea mzee wangu.
Mungu amuongoze sana so far wazo lake ni zuri sana kuweka pesa nasi tukazifate huko huko tukazikope.
Kuliko azitapakanye au aingie Q Net kama wastaafu wengi walioingizwa mkenge.
 
Back
Top Bottom