Nina Tsh. milioni 200, niweke benki gani yenye 'Fixed Interest' nzuri?

Nina Tsh. milioni 200, niweke benki gani yenye 'Fixed Interest' nzuri?

Samahani mkuu unaweza zieleza vizuri hizo government bond na nama unavyoweza pata faida?
Na pia nimeona kama kuna T bill na kuna T bond, tafadhali kama unaweza fafanua zaidi hapa , asante.
Hakika, hilo somo ni muhimu sana kuhusu Government bonds, Treasury bills na Treasury bonds.
Zinafanywajwe na faida zake ni zipi na zinapatikanaje!
Kuna mtu alipata kunishtua kuwa wakuu wengi serikalini na mashirika ya umma waliopo na walio staafu wanaishi vyema sana kwa pesa zao kucheza katika hivyo vitu vitatu kimyakimya tuu. Na laajabu hatujaona juhudi kubwa za Hazina au BOT kutoa elimu juu ya uwekezaji huo kwa nini?
 
Na ndio maana nikasema kama akisimamia vyema. Biashara yoyote sio porojo ; ni usimamizi.

Kununua maviwanja kwa lengo la faida ni uoga wa maisha.




Mk54
Mmhhh!!!!,akili za kuambiwa changanya na zako.
 
Kuna mzee mmoja alishinda kesi àkalipwa 450mil, akakimbilia kujenga gesti na kununua vidaladala vibovu. Right now naambiwa ana msongo wa mawazo na sometimes akikaa anaongea peke ake.
Pesa kama iyo gvt bonds za miaka 10 unakula asilimia 0.975% kama net profit kila mwezi, ingawa ndo ivyo utalipwa baada ya miezi 6 ila ni pesa nzuri mno.
Tatizo wabongo tamaa+ ujuaji.
Hio hela angeitupa kwenye fixed deposit hata million 400 mbona anavuna hela tamu tu. Tena Bank kama NMB unaeza kuvuna mipunga quaterly yani kila baada ya miezi mitatu unavuta kimango unavimba tu kitaa.

Kama utataka biashara unatumia faida utakayopewa na bank tu. Hebu imagine upewe 38M kila mwaka? Hujalipa ada zote? Bill hazijalipwa? Na bado unabakia na chenchi kibao. We ni kutafuta hela ya kula tu. Hapo 400M iko pale pale. Naanza kuhangaika na hiace za nini?

Nachoweza kufanya ni kucheza vyema na ile 50M tu. Kisha naendelea kuvuna hela nzuri kila mwisho wa mwaka bila stress.
 
Ofcourse, tamaa imewacost.
Kutengeneza faida ni kazi ngumu sana. Unaweza ukawa unafurahia let's say mapato ya 7.2mil kwa mwezi toka kwenye lori ila hii si faida, na mtaji wako ni almost 120m. Ni heri niweke kwenye financial markets nipate iyo 8%-income tax, kama faida tena bila kuhangaika kupiga piga simu kwa dereva kila siku.
Kaka mie siwezi stress na biashara ikiwa nina pesa ndefu namna hio. Ni fixed deposit tu kisha napiga kimya.

Kuna shangazi yangu alifiwa na mumewe toka 1999. Jamaa alikuwa chief wa kituo cha reli Morogoro. Baada ya mazishi bi.mkubwa akapigwa kiinua mgongo cha jamaa ilikuwa around 30M+ ukijumlisha na mipunga ya jamaa iliokuwa kwenye account ya jamaa almost ikagonga kama 70M kwa kipindi kile ilikuwa ni hela nyingi sana akazitia kwenye fixed deposit.

Yeye amekuwa lab technician tu kwa kipindi chote baada ya mumewe kufariki mpaka mwaka juzi alipostaafu na kula kipande chake. Ila hakuna siku aliwahi kugonga mlango kuomba ada kwa mtu wala kulia shida. Watoto wawili wamesoma mpaka kumaliza vyuo vikuu na sasa ni waajiriwa wenye kazi za maana tu amebakia last borne ambaye nae yuko chuo kwa sasa.

Sijawahi msikia anafanya biashara zaidi ya kujenga vyumba uani kwake ambako pia ameanza baada ya kustaafu.
 
Kaka mie siwezi stress na biashara ikiwa nina pesa ndefu namna hio. Ni fixed deposit tu kisha napiga kimya.

Kuna shangazi yangu alifiwa na mumewe toka 1999. Jamaa alikuwa chief wa kituo cha reli Morogoro. Baada ya mazishi bi.mkubwa akapigwa kiinua mgongo cha jamaa ilikuwa around 30M+ ukijumlisha na mipunga ya jamaa iliokuwa kwenye account ya jamaa almost ikagonga kama 70M kwa kipindi kile ilikuwa ni hela nyingi sana akazitia kwenye fixed deposit.

Yeye amekuwa lab technician tu kwa kipindi chote baada ya mumewe kufariki mpaka mwaka juzi alipostaafu na kula kipande chake. Ila hakuna siku aliwahi kugonga mlango kuomba ada kwa mtu wala kulia shida. Watoto wawili wamesoma mpaka kumaliza vyuo vikuu na sasa ni waajiriwa wenye kazi za maana tu amebakia last borne ambaye nae yuko chuo kwa sasa.

Sijawahi msikia anafanya biashara zaidi ya kujenga vyumba uani kwake ambako pia ameanza baada ya kustaafu.
Nzuri

Hemu elezea kwaupana, mfano nina 50MIL ninahitaji kufaidika mpaka nazeeka na kufariki kupitia hizo Bond nk inaawezekana na kama inaawezekana nipe mahesabu yanakuwaje ??

Kipato cha 3MIL kwa mwezi kwangu kizuri sana inatakiwa nipambane mpaka kufikia pesa kihasi gani ili nikiiweka huko Bond nitafaidika na kipato cha 3 Million huku nimelala bila stress mpaka uzee wangu ??

Wewe unashauri au una malengo gani katika iyo kitu(Bond) ??
 
Hio hela angeitupa kwenye fixed deposit hata million 400 mbona anavuna hela tamu tu. Tena Bank kama NMB unaeza kuvuna mipunga quaterly yani kila baada ya miezi mitatu unavuta kimango unavimba tu kitaa.

Kama utataka biashara unatumia faida utakayopewa na bank tu. Hebu imagine upewe 38M kila mwaka? Hujalipa ada zote? Bill hazijalipwa? Na bado unabakia na chenchi kibao. We ni kutafuta hela ya kula tu. Hapo 400M iko pale pale. Naanza kuhangaika na hiace za nini?

Nachoweza kufanya ni kucheza vyema na ile 50M tu. Kisha naendelea kuvuna hela nzuri kila mwisho wa mwaka bila stress.
Kwa pesa hio COMPOUND INTEREST inakua imekaa mkao.
 
So far, nyote mnazunguka, hamjamjibu swali la mleta uzi.

Anauliza ni bank gani yenye Fixed Interest nzuri? Hajaomba ushauri wa jinsi ya kuinvest.

Mnaweza kuanzisha uzi wenu wa ushauri kama alivyofanya mkuu OEDIPUS na tutakuja kuchangia.

Kwenye huu uzi, ni vema kama mtajikita kujibu swali husika.
Sawa mkuu ilikuwa rahisi kutembelea benki kadhaa na kutafuta taarifa. Ukishakuja humu ndo hivo.
Mil. 200 ni mtaji mzuri na swali la kujiuliza ni Je, hizi zinawezaje kuzaa nyingine 200? Na 200 tena na tena.
Hilo swali unaweza kudumu nalo hata mwaka ukitafuta information.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Duh! Mkuu utakuwa ushawahi kutapeliwa kwa njia hii ndo maana umekuja kunituhumu moja kwa moja? Au ni zile story za kijiwe cha kahawa?

Nimetoa email na namba za simu zangu tena ambazo ni mawasiliano ninayoyatumia kila siku zaidi ya miaka kumi sasa,hapo kweli tapeli anaweza kufanya hivyo?

OK,nimetoa ushauri wangu kwa mdau,na baadae nami nikatoe namna ambavyo ninaweza kutoa mchango wa utaalamu na maarifa nilionao kwenye ujasiriamali na biashara kwa ujumla.sasa namtapeli vipi?

Mkuu,sio watu wote ni matapeli,..na tujifunze kuwa kila mtu ana kitu ambacho mwingine hana, mtu unaweza ukawa na wazo la biashara ila ukawa huna fedha,ukawa na wazo pamoja na pesa ukawa huna muda ikabidi utafute Watu,ndo concept ya ajira ilianzia hapo,..ukawa na wazo,fedha,muda ila utahitaji Watu wa kufanya nao kazi...ili kufanikisha lengo lako.

Unaweza ukaona chain hyo inavyoenda,..huwezi kufanya biashara na ikafanikiwa kwa kiwango KIKUBWA kwa kutegemea ndugu wa damu pekee,.utahitaji tu watu usiowajua kabisa watakuja kukusaidia kwenye biashara au Kazi zako ili usonge mbele zaidi.

Mo angeamini ndugu zake wa damu tu ndo wawe washauri wake kwenye biashara sidhan kama angefika hapo alipo the same applied kwa Bakheresa,Patel,kusaga,manji,rostam na wengine wengi.

Watanzania kama kweli tunataka kusonga mbele kiuchumi hasa financial freedom,hatuna budi kutafuta maarifa kupitia kujifunza kwa watu,kusoma vitabu,na kuwa na mtandao wa watu wenye maarifa kuhusu hiyo Kazi,biashara au ujasiriamali wako.hao watu asilimia kubwa hawatakuwa ndugu zako wa damu.(lazima hilo ulikubali).

Hapa jukwaani kuna watu wamenufaika sana kupitia maarifa yanayotolewa humu,..watu wamenufaika kwa kushirikiana kufanya biashara,kupeana ujuzi na maarifa mbalimbali kwa kuonana mubashara,,watu wameanzisha kampuni za pamoja,urafiki wa kweli n.k kupitia hapa jamiiforum.

Sasa imefika wakati lazima hizo negative mentality tuziondoke kichwani mwetu,tuwe wadadisi zaidi,tuwe na big opened mind,tukubali kushirikishana wenye pesa zao,washirikiane na wenye mawazo,wenye muda nao pia watafute wenye pesa na mawazo ili waweze kufanya kitu kwa pamoja hatimaye kushinda huu adui umasikini ambazo chanzo chake ni ujinga,(yaani kukosa maarifa sahihi kwa wakati sahihi na kwa jambo sahihi).

MKUU NAKUSAMEHE BURE KWA KUNITUHUMU NA KUNIDHANIA KUWA NI TAPELI,NIMEKUSAMEHE KWA HIZO TUHUMA ZAKO.

email na namba zangu nilishatoa,mwenye kiu na uamuzi wa dhati kushirikiana hasa kupata ushauri
wa biashara, ujasiriamali na maarifa mbalimbali kuhusu financial freedom.
karibu.
It seems impossible until it's done.(nelson mandela)
 
Nzuri

Hemu elezea kwaupana, mfano nina 50MIL ninahitaji kufaidika mpaka nazeeka na kufariki kupitia hizo Bond nk inaawezekana na kama inaawezekana nipe mahesabu yanakuwaje ??

Kipato cha 3MIL kwa mwezi kwangu kizuri sana inatakiwa nipambane mpaka kufikia pesa kihasi gani ili nikiiweka huko Bond nitafaidika na kipato cha 3 Million huku nimelala bila stress mpaka uzee wangu ??

Wewe unashauri au una malengo gani katika iyo kitu(Bond) ??
Mkuu kuhusu bonds sizijui freshi ila nilikuwa nazungumzia kitu cha namna hii!
Screenshot_20200606-092541.png
 
Ingia google andika nmb fixed account calculator. Unaweza calculate kwa mwaka ukiweka hela yako itaongezeka kiasi gani. Pia wana calculator ya mkopo kama unahitaji mkopo kutoka kwao.
mkuu nimeangalia atleast uwena na kama 50M au 100M ndo utafaidi matunda bila shida yoyote
 
Mkuu nakushauri fungua biashara ya wakala wa pesa weka mitandao yote weka kila kitu benki zote pamoja na insuarance. location mbili nzuri. Tafuta wenye uzoefu ajiri kabisa. Weka mil 30 kila moja.
Mil 100 tafuta kiwanja jenga nyumba za kupanga za chumba kimoja na sebule. Sehemu zenye uhitaji huo.
Utapiga hela nzuri. Biashara zikiyumba utakuwa bado na sehemu ya kujishikiza.
 
Mil mia 2 niichimbie bank!!? Pesa inatakiwa ikutumikie sio uitumikie! Yaani wewe itumikishe iyo pesa
 
Back
Top Bottom