Mkuu safi sana, hujakumbatia ujuzi na maarifa yako. Hongera!!!Mkuu salute!
Seriously fanya haya kwa pamoja baada ya miaka 5 utakuja kunishukuru hapa.
1.Nunua hisa za millioni kumi tu uweke malengo ya miaka 5, mfano hisa za CRDB bado ziko chini na zinaweza kupanda sana tu hata mara tano baada ya miaka hiyo mitano.
2.Chagua kuwekeza kwenye UTT au hatifungani za serikali. Napo unaweza kuwekeza hata million 40.(utt +hatifungani)
3.millioni 100, weka fixed account..tafuta benk hizi ambazo ni global.banclays kwa sasa inaitwa Absa,fnb,bankABC interest zake ni kubwa kuliko hizi local banks.
4.millioni 25 weka kwenye biashara ya nafaka...mfano mpunga ,au ndegu,au choroko...hutajuta wala usiogope.(niulize nitakuogonza)
5.Millioni 25 njoo tufanye biashara ya pamoja,Mimi Nina wazo.very productive wewe una pesa,...Mimi ndo nitalisimamia na biashara itaenda vizur kwa sababu ujuzi na uzoefu wa hiyo biashara.(makubaliano ya kisheria tutaweka ili kulindana na kuaminiana)
Kamwe usikubali kuweka fixed accouts hiyo pesa yote mkuu, itakuwa ni uoga na ufinyu wa maarifa sana hata kama unazo nyingi hizo million 200 ila bado kuna namna ya kuzizalisha zaidi. Usibweteke ukasema unazo nyingi ukaanza kufanya biashara ya mwendo wa kinyonga, hakuna tajiri duniani ametajirika kwa kwa savings accounts au hizo fixed accounts, matajiri wote wanafanya investments.
Hizo million 100 utakazoweka fixed accounts ni kwa tahadhari tu kuwa biashara ikishashika mizizi unaongeza mtaji kwemye biashara kutoka fixed accounts ndo watu wenye jicho la tatu wanavyofanya.
Bahati nzuri biashara zote hizo juu nilizo kuorodheshea nina ujuzi nazo na zingine nazifanya...ukiacha hati fungani ndo sijawahi kufanya, kwa hiyo wewe kama uko tayari fanya hayo niliyokushauri, ingawa ushauri sio lazima ufatwe.
Najua watu wana pesa ila hawana mawazo ya biashara au wanaogopa kufanya biashara. Wenye pesa za mitaji msiogope kufanya biashara frankly speaking mimi nipo nitakushauri, mwanzo hadi mwisho kwenye biashara yako kama ukinikaribisha niwe mshauri wako usitishwe na watu waoga wa kuthubutu.
Dunia ya sasa inataka taarifa sahihi ndo muhimu sio uoga na hadithi za kukatisha watu tamaa.
Ni hayo tu Mkuu wa million 200/= karibu sana kwa ushauri na vitu kama hivyo.
dylm.mashauri@gmail.com 0762742349
Sent using Jamii Forums mobile app
Amepewa alternative tu, uamuzi ni wake. Pamoja na kuwa yeye ni mwoga wa biashara au hajawahi kufanya biashara yoyote, ni vizuri kuangalia options zote maana kuweka hela bank kwa kisingizio cha security ya 100% ni kujinyima fursa ambazo kwa maoni yangu yeye(mleta mada) tayari anazo.So far, nyote mnazunguka, hamjamjibu swali la mleta uzi.
Anauliza ni bank gani yenye Fixed Interest nzuri? Hajaomba ushauri wa jinsi ya kuinvest.
Mnaweza kuanzisha uzi wenu wa ushauri kama alivyofanya mkuu OEDIPUS na tutakuja kuchangia.
Kwenye huu uzi, ni vema kama mtajikita kujibu swali husika.
Kama ni kweli kuwa makini na wapigaji wa humu
TANGAZO GANI?Kimla usianze kuziweka bro kuna tangazo nitatoa hivi karibuni hizo pesa zitahitajika.
Kuhusu uwekezajiTANGAZO GANI?
ok, utawekalini na wapi?Kuhusu uwekezaji
Nafikiri naweza hata kukutafuta moja kwa moja. Nilitazamia ndani ya siku 20 nione timu ninayoitafuta itakuwa imepatikana, all in all naweza kukupa move ilivyo.ok, utawekalini na wapi?
Mkuu katika biashara ya kukopa fedha karibu watu wote wanaokwenda kukopa ni waaminifu sana na wanakuwa wameshapiga mahesabu ya biashara zao na kujua namna watakalivyolipa deni. Hilo ondoa mashaka nalo. Tatizo kubwa lipo kwenye maendeleo ya biashara inayomfanya akope.... je itaenda kama alivyopanga? Mara nyingi kabisa plan za biashara haziendi sawa na matarajio! eg: Kama ulivyosema anaweza akatokea huyo mama mwaminifu sana akakopa fedha, laki tano, akitegemea kufungua Mpesa na kurudisha kila wiki.Biashara ikanza vizuri sana lakini baada ya mwezi akaja tapeli akakomba msingi wake wote... au kama ni mama ntilie, ikaja corona virus karantiini na mtaji wote ukapotea... Kwa kifupi nataka kukumbusha kuwa kinachofanya watu wasilipe madeni mara nyingi siyo kukosa uaminifu!Mkuu bora uanzishe microfinace aiseeeee nimewaza hapa kuna wamama wamejiunga kikundi wanataka mikopo midogo ya laki 4 mpaka laki 6 lakini wanazungushwa tu.
Wana biashara ndogo tu retail shop, genge, kuuza mkaa, kukaanga samaki, mpesa, kuuza gas n. K.
Na wamama kama hawa ni waaminifu sana na marejesho wanafanya weekly.
We fungua microfinance bwana toa ajira toa mikopo.
Mkuu katika biashara ya kukopa fedha karibu watu wote wanaokwenda kukopa ni waaminifu sana na wanakuwa wameshapiga mahesabu ya biashara zao na kujua namna watakalivyolipa deni. Hilo ondoa mashaka nalo. Tatizo kubwa lipo kwenye maendeleo ya biashara inayomfanya akope.... je itaenda kama alivyopanga? Mara nyingi kabisa plan za biashara haziendi sawa na matarajio! eg: Kama ulivyosema anaweza akatokea huyo mama mwaminifu sana akakopa fedha, laki tano, akitegemea kufungua Mpesa na kurudisha kila wiki.Biashara ikanza vizuri sana lakini baada ya mwezi akaja tapeli akakomba msingi wake wote... au kama ni mama ntilie, ikaja corona virus karantiini na mtaji wote ukapotea... Kwa kifupi nataka kukumbusha kuwa kinachofanya watu wasilipe madeni mara nyingi siyo kukosa uaminifu!
Nilikuwa nafuatilia suala kama lako miezi miwili imepita yaani kabla huu ugonjwa ( corona ) haujashika kasi duniani niliambiwa kuwa rate zinatofautiana kutoka na muda utaoweka mfano ikiwa ni miaka miwili rate ni tofauti na mwaka mmoja, niliambiwa postal bank wanatoa 7% kwa mwaka na 9% kwa miaka miwili ukianzia 100m na bank nyingine niliambiwa BankABC wanatoa asililimia 10 % kwa mwaka mpaka 11% kwa sasa sjui hali ikoje maana corona imevuruga kila kitu.Wadau, nina 200 million TZS, je niweke fixed account benk ipi yenye interest nzuri ya mwaka?
Asante
Michango
==========
================
Tafadhali Kimla soma Ushauri kwa wastaafu na wanaopata hela nyingi kwa mkupuo - JamiiForums
Umesikia wapi mkuu?NMB wanasema ni 9.5% sijui ya kwelii!
Bank gani chiefWeka Fixed A/C hizo pesa utakuwa unakula 1m net as a profit kila mwezi.