Kwa hiyo Tanzania ina marefa perfect? Tukubaliane kuanzia hapo ili tusisikie kelele za kubebwa na mbeleko.
Mashabiki wa hizi timu 2 hamjitambui wala msitupigie kelele. Mashabiki wa Yanga ni maarufu Kwa kulalamikia marefa, mashabiki wa Simba ni maarufu Kwa kuhamisha magoli ya udhaifu wa timu yao na kuita Kila ushindi wa Yanga ni wa kubebwa na marefa.