Nina uhakika mwakani ni muda wa malalamiko mengi kwa waamuzi, Karia na TFF

Nina uhakika mwakani ni muda wa malalamiko mengi kwa waamuzi, Karia na TFF

Kwa hiyo Tanzania ina marefa perfect? Tukubaliane kuanzia hapo ili tusisikie kelele za kubebwa na mbeleko.
Mashabiki wa hizi timu 2 hamjitambui wala msitupigie kelele. Mashabiki wa Yanga ni maarufu Kwa kulalamikia marefa, mashabiki wa Simba ni maarufu Kwa kuhamisha magoli ya udhaifu wa timu yao na kuita Kila ushindi wa Yanga ni wa kubebwa na marefa.
Wee shabiki was yanga, kaa kwa kutulia, ko Yanga ikikosa ubingwa bas marefa hawako perfect, ila ikipata ndo wako vizurii??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mahaba wazi wazi sahiviiii.
 
Unakumbuka juzi walipokalishwa na mwarabu wakatukabidhi mvua wana msimbazi.Na walipotolewa wakaanza mara goli la ugenini mara fainali iwe moja.Wakati ingekuwa moja mechi ingeishia Bongo.Waliniudhi zaidi walipomuomba yaya toure awasaidie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiii
 
Back
Top Bottom