GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Tujikite kwanza katika kujua tujikite na Policy of Prosperity au ile Policy of Interest au twende nazo zote kwa pamoja ili Kuwasaidia Watu Wetu"
"Bila ya kuwa na Mikakati thabiti ya kuhakikisha tunaimarisha Kwanza Regional Marketing na kusisitiza Economic Integration kwa Ukanda wetu bado tutaendelea kuwa Masikni, Ajira Kukosekana, Kutawaliwa na Wakubwa duniani huku tukiwa tegemezi kwa Maendeleo yetu"
Usijali sana Genius Rais Museveni wakati wana EAC wengi tukijikita katika kuizungumzia Hafla ya Uapisho wa 'Hustler' jana na Kushangiliwa kwa Mtoza Tozo Umiza wa Kizanzibari Wanao akina GENTAMYCINE tulikuelewa sana, kujifunza na sasa tunayafanyia Kazi kwani ulisema ( ulitupa ) Madini ya uhakika na Kuamini kuwa Wewe ( Rais Museveni ) ni Hazina Kubwa ya Kifikra kwa Waafrika na Bara zima la Afrika.
"Bila ya kuwa na Mikakati thabiti ya kuhakikisha tunaimarisha Kwanza Regional Marketing na kusisitiza Economic Integration kwa Ukanda wetu bado tutaendelea kuwa Masikni, Ajira Kukosekana, Kutawaliwa na Wakubwa duniani huku tukiwa tegemezi kwa Maendeleo yetu"
Usijali sana Genius Rais Museveni wakati wana EAC wengi tukijikita katika kuizungumzia Hafla ya Uapisho wa 'Hustler' jana na Kushangiliwa kwa Mtoza Tozo Umiza wa Kizanzibari Wanao akina GENTAMYCINE tulikuelewa sana, kujifunza na sasa tunayafanyia Kazi kwani ulisema ( ulitupa ) Madini ya uhakika na Kuamini kuwa Wewe ( Rais Museveni ) ni Hazina Kubwa ya Kifikra kwa Waafrika na Bara zima la Afrika.