Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Huyo mke wa mtu au?Oa mke wa pili
Mkuu nadhani kinachokufanya unione wa ajabu ni tofauti zetu za namna ya kufikiri na kuamua. Kwanza sijachukia kuambiwa ukweli,lkn kunishambulia kunisaidia nn!?? Kinachokupa nguvu ya kunisema ni kwa sababu mimi ndo nimeweka wazi kosa langu. Sasa kuna haja gani ya kuniambia tena kuhusu kosa lilelile ambalo mm ndo nalijutia!?? Kwa nn usinipe suluhisho tu la moja kwa moja!?? Mm nimeleta hapa kupata mawazo mapya siyo!?? Sasa kuanza kuni-attack kwa kitu ambacho me ndo nimekitengeneza kunanisaidia nn!?? Me nataka msaada wa kutoka siyo kunielezea kuhusu ubaya wa hilo tukio. Hicho ndo nakataa,na nna kataa kwa sababu naamini hakuna mtakatifu. Hakuna ushauri niliopingana nao,na ntachukua hatua. Hv nnavyoandika hapa,yy mwenyewe nimemtumia link asome na anapiga simu hapa sipokei kwa sababu me bado nipo nyumbani. Ntaongea naye nikifika kwao. Yupo kwao kwa mama yake tangu jana,ndo nataka nikaongee nao pamoja na mama...!! Nna member wa hapa na ni jinsia ya kike namsubiri anakuja tunaenda naye huko. Huyu member tunafahamiana na tunaheshimiana sana nje ya keyboard. Alijua labda nimeleta chai,lkn ameona umuhimu na kaniambia atakuja leo aongee na huyo dada,now yupo njiani namsubiri afike tupate chai twende huko. Ndo hivyo mkuu sichukii ushauri,lkn kuniambia kuhusu huo ubaya ni kupoteza muda kwa sababu me pia najua nafanya vibaya na athari zake nazifahamu ndo maana nataka msaada wa kutoka.
Kuna vitu huwa tunavikuza tu kwa sababu tofauti zetu za kufikiri. Kumbuka huyu ni dem wangu miaka 2 nyuma kabla hata huyu hajamuona. Huyu mpka anamchumbia alijua km siyo bikra,kwa sababu aliambiwa km alishaolewa,na pia ana mtoto mmoja. Na wakati anamchumbia alikuwa na zaidi ya miaka 2 yupo kwao. Unategemea angebaki bila mtu!?? Na kuna kitu kimoja ngoja nikuambie,huyu jamaa alichumbia lkn K hakupewa hadi alipofunga ndoa. Hili jambo me nilikuwa siliamini kabisaa,lkn baada ya kuwa kwenye ndoa kuna siku tukawa tunabishana na dem kuhusu hilo namwambia ww ulikuwa unanidanganya,dem akasema subiri nampigia simu ss hv. Dem akampigia simu jamaa akamwambia aisee tunaubishani hapa kazini me nawaambia me Mme wangu tumechumbiana bila kufanya mapenzi hadi siku ya ndoa eti wanakataa. Jamaa akasema weka loudspeaker niwaambie,wakati huo dem anarecord. Jamaa akaanza kusema kweli me na mke wangu tumechumbiana miezi 10 lkn hatukuwahi kukutana kimwili. Siku ya ndoa tulikuwa na sherehe 2,sherehe ya ndoa na sherehe ya tendo lenyewe. Kisha dem akanitumia hiyo clip na nnayo hadi leo.Kitendo cha kumtafuna siku ya harusi yake hapa mkuu ulifanya makosa ya kumkomoa tu jamaa. Lengo lilikuwa ni nini hasa hapa kwenye siku ya ndoa yake. Dhaaa mkuu ila gharama ya hii issue lazima uilipe kabla hujaondoka duniani
Mkuu nadhani sasa umenielewa vizuri sana..me nataka nikuhakikishie,hili jambo me linanikera kuliko watu wanavyodhani. Na km ningekuwa nataka mchepuko mwingine ningekuwa nimefanya hivyo kitambo tu,lkn nimejifunza mengi sana kwenye huu uhusiano na huyu mzaramo trust me. Ukiacha mambo mabaya ujue hata mambo mazuri mengi tu nimefanya naye. Huyu nilimjengea uwezo wa mambo mengi sana,sikutaka kuyasema hayo nimempeleka chuo,nimemtafutia kazi,na anabiashara ambayo mm ndo nilimfungulia na mwanaume wala haijui hiyo biashara na ni biashara kubwa tu. Lkn me wala sina shida kabisa na hivyo vitu wala sijawahi kuumia kumsaidia. Kwa sababu haikuathiri maisha yangu...kwa sasa nna nia ya dhati kabisa ya kumuacha lkn tatizo lipo kwake na mama yake.Sijakuona wa ajabu; kwa sababu kila mmoja wetu anakosea. Wewe unataka kuacha yes; hongera kwa hilo; ila pia usihalalishe ulichokuwa unakifanya. Meaning unaona kuchepuka ni sawa tu as long hauchepuki to the extent ya mlivyo na mchepuko wako. So inawezekana kabisa ukapata mchepuko mpya na bila kuelewa ukajikuta tena kwenye situation kama hii au mbaya zaidi na hata ikamuaffaect mkeo hadi akajua pamoja na kujitahidi kwako kumuheshimu pyeeee
Huna tofauti na wanaume wengi tu waliokupinga humu; imewauma kwa sababu tu wamejiweka kwenye nafasi ya huyo mume mwenzio. Ila na wenyewe kuchepuka ni nature yao, ila kuwe tu na heshima hehehe.
Btw ukiona tunakuattack sana; em achana na attacks; chukua mawazo +ve yafanyie kazi
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.
Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.
Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.
Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.
Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.
Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!
Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.
Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.
Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.
Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.
Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.
Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.
Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.
Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??
Nawasilisha kwenu.
mungu pekee ndo anajua jinsi ya kukupa azabu na wewe bila kujua mkeo nae wanakula watuKuna vitu huwa tunavikuza tu kwa sababu tofauti zetu za kufikiri. Kumbuka huyu ni dem wangu miaka 2 nyuma kabla hata huyu hajamuona. Huyu mpka anamchumbia alijua km siyo bikra,kwa sababu aliambiwa km alishaolewa,na pia ana mtoto mmoja. Na wakati anamchumbia alikuwa na zaidi ya miaka 2 yupo kwao. Unategemea angebaki bila mtu!?? Na kuna kitu kimoja ngoja nikuambie,huyu jamaa alichumbia lkn K hakupewa hadi alipofunga ndoa. Hili jambo me nilikuwa siliamini kabisaa,lkn baada ya kuwa kwenye ndoa kuna siku tukawa tunabishana na dem kuhusu hilo namwambia ww ulikuwa unanidanganya,dem akasema subiri nampigia simu ss hv. Dem akampigia simu jamaa akamwambia aisee tunaubishani hapa kazini me nawaambia me Mme wangu tumechumbiana bila kufanya mapenzi hadi siku ya ndoa eti wanakataa. Jamaa akasema weka loudspeaker niwaambie,wakati huo dem anarecord. Jamaa akaanza kusema kweli me na mke wangu tumechumbiana miezi 10 lkn hatukuwahi kukutana kimwili. Siku ya ndoa tulikuwa na sherehe 2,sherehe ya ndoa na sherehe ya tendo lenyewe. Kisha dem akanitumia hiyo clip na nnayo hadi leo.
Kwa hiyo yule alikuwa mchumba lkn me nilikuwa muda wote. Km ni dhambi haiwezi kuwa kubwa tu siku hiyo. Kwa sababu nimeifanya kwa siku nyingi tu. Hata ss hv huwa anatoka kazini anapita me napiga ndo anaenda kwake..tuongelee kupata ufumbuzi km ni dhambi kwa huyu dem me nimefanya za kila aina. Sema siwezi kueleza kila kitu.
hhahahahahahahah we sio mtu mzuri kabisaaa yani ufai mana mwenzio kaoa ww unakuwa na haki kuliko mwenye mali.mungu pekee ndo anajua jinsi ya kukupa azabu na wewe bila kujua mkeo nae wanakula watu
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.
Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.
Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.
Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.
Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.
Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!
Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.
Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.
Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.
Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.
Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.
Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.
Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.
Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??
Nawasilisha kwenu.
Kuna sentensi mbili zimenifanya niwaze mbali sana, unaposema uhusiano wenu hadi mama yake binti anaujua na ambapo jamaa alituma sms mwambie achomoe upokee simu kwanza daah i can't feel namna hao watu wawili wanavyojiskia, Mama yake binti na mumewe!! [emoji19][emoji19][emoji19][emoji19]
Daaah kwa kweli inasikitisha sana yaani hawa wanawake. Au mumewe sio rijali.
Kuachika sidhani km ni issue kubwa,kwa sababu hata huyo aliyemuoa naye aliwahi kuoa wakaachana..tena yy alioa mwezi wa 2 wakaachana mwezi 7.mwaka 2017. Kuachana siyo issue kubwa mazee, inategemea kwa nn mmeachana. Unaweza kuona kwa mfano tatizo langu jamaa halijui lkn anaishi Kwa Amani tu na mke wake. Mm ndo nnayeteseka kwa sababu me ndo najua kila kitu.Binti ni janga la Taifa, hujasikia kuwa kabla hajawa na Mtoa mada tayari alishaachika akiwa single Mother[emoji848]
"Stand for the truth always stand alone"
Embu chukulia wewe kama mke wako angekuwa analiwa na mtu mwingine ungejisikiaje. Ndio maana Mimi mke wa MTU sitakagi kabisa wengi wamejirahisisha kwangu na kuahidi kunipa mambo Ila nikikumbuka Ishu hiyo nafsi inanisuta na wala sitaki Kula mke wa mtu . Kibaya chochote unachofamfanyia mwenzio geuza kibao kama ingekuwa unafanyiwa wewe uyafeel maumivu Kwanza.Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.
Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.
Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.
Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.
Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.
Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!
Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.
Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.
Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.
Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.
Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.
Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.
Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.
Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??
Nawasilisha kwenu.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaoolewa hua hawajapenda mtu anaemuoa,wengi wanaolewa kwa presha ya kutaka ndoa tu,mazingira ktk jamii ndio yamefanya wawe hivo,kutokana na pressure kubwa kutoka nje.kua kwa nini huolewi?au wenzako wote wameolewa umebaki ww tu?jamii inawapressurize sana hawa viumbe,matokeo yake mtu anaolewa kuridhisha watu tu,ila kwa kweli hajawa na mapenzi mazito na muoajiHapo mwanamke pia nae Ni tatizo na huyo mama pia.
Kwanini wakubali aolewe na mwanaume mwngne kumbe hawampendi???
Hivi mfano ungekuwa ww ndo unafanyiwa hivo ungejiskiaje??
Tatizo
TUNAOA WAPENZI WAWATU