Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Mkuu umesoma vizuri kweli bandiko langu au umesoma kichwa tu cha habari!?? Ugumu haupo kwangu,ugumu zaidi upo kwa dada mwenyewe. Yy ndo hataki hili lifanyike. Yeye yupo tayari atoke kule kwa mwanaume arudi kwao. Yaani anasema km hiyo ndoa itakuwa kikwazo yy anaivunja. Na hv tunavyoongea yupo kwao,maana mm tangu jana asbh sikuwa napokea simu zake,mchana mama yake akanipigia,nikapokea akaniambia niende huko, nikamwambia nipo na familia tunajiandaa kwenda kanisani.

Kwa hiyo nikamuahidi ntaenda leo kuwasikiliza...na nikaongea na huyo dada kupitia simu ya mama yake. Mkuu mama mwenyewe alishasema,hataki kumuona mwanae akiwa na maumivu,yeye mwenyewe mama yupo tayari mwanaye aachike. .mwaka jana mwezi wa 10 nilipata dharula ya kwenda mkoani,aisee dem aling'ang'ana kwenda na mm hadi akawa anatishia kunywa sumu. Mama akanisihi sana niende naye. Mama akasema yeye ndo atajua cha kumwambia Mme wake. Nilisafiri naye kweli. Dem tangu siku tunasafiri akazima simu,akawa anatumia simu yangu kuwasiliana na watu wake muhimu akiwemo mama. Lkn jamaa alikatiwa mawasiliano mpka tuliporudi na tulikaa siku 16. Mkuu mm siyo mjinga sana,kuna vitu nakumbana navyo ndo maana nataka mawazo mbadala!!
Huyo jamaa ni zuzu kiasi gani?
 
Mkuu umesoma vizuri kweli bandiko langu au umesoma kichwa tu cha habari!?? Ugumu haupo kwangu,ugumu zaidi upo kwa dada mwenyewe. Yy ndo hataki hili lifanyike. Yeye yupo tayari atoke kule kwa mwanaume arudi kwao. Yaani anasema km hiyo ndoa itakuwa kikwazo yy anaivunja. Na hv tunavyoongea yupo kwao,maana mm tangu jana asbh sikuwa napokea simu zake,mchana mama yake akanipigia,nikapokea akaniambia niende huko, nikamwambia nipo na familia tunajiandaa kwenda kanisani.

Kwa hiyo nikamuahidi ntaenda leo kuwasikiliza...na nikaongea na huyo dada kupitia simu ya mama yake. Mkuu mama mwenyewe alishasema,hataki kumuona mwanae akiwa na maumivu,yeye mwenyewe mama yupo tayari mwanaye aachike. .mwaka jana mwezi wa 10 nilipata dharula ya kwenda mkoani,aisee dem aling'ang'ana kwenda na mm hadi akawa anatishia kunywa sumu. Mama akanisihi sana niende naye. Mama akasema yeye ndo atajua cha kumwambia Mme wake. Nilisafiri naye kweli. Dem tangu siku tunasafiri akazima simu,akawa anatumia simu yangu kuwasiliana na watu wake muhimu akiwemo mama. Lkn jamaa alikatiwa mawasiliano mpka tuliporudi na tulikaa siku 16. Mkuu mm siyo mjinga sana,kuna vitu nakumbana navyo ndo maana nataka mawazo mbadala!!
Aisee basi kazi unayo mkuu. Siku njema
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Utakuja kukojoa dagaa, mimi nakuangalia tu japo naelewa unachokifanya na mke wangu
 
Huyo mwanamke kiufupi hampendi mumewe ninachojiuliza tu alikubali vipi kuolewa naye, hivyo vituko huwezi kumfanyia mume wako unayempenda.

Na ww mkuu kuwa na maamuzi kama mwanaume au kama vipi achaneni na watu wenu muoane.
😂😂😂😂😂 hana jeuri hio
 
Hivi ukijua kuwa na mkeo anatiwa na mtu mwingine utajisikiaje?

HAmisha hayo maumivu yahamishie kwa huyo mme wako ... kama kweli unazijua amri kumi za Mungu achana na huyo mke wa mtu. Kama unataka kuchepuka katafute wale ambao wako free mbona wengi tu.

Pili huyo dem hajitambui ... kama nimesoma vizuri ni kwamba atakuwa na pepo la ngono.. hapo alipo ina maana ameolewa kwa mwanaume wa pili? Unajua kilichomtoa kwa mume wa kwanza?

Hacha kabisha kuchanganya damu yako na damu ya kahaba.
 
Huyo mwanamke ni mjinga, ila wewe ni mjinga zaidi...

Na kinachowafanya mshindwe kuachana ni kwa sababu wote mpo kwa ajili ya ngono ya chap chap hakua kingine...

Utafiti umegundua kwamba, ni kazi sana kuachana na mwanamke ambae upo nae kwa ajili ya ngono tu na muda wowote unapomuhitaji anakuja...



Cc: mahondaw
Voda Fasta hio!
 
Mla cha wenzie pia chake huliwa,usijione mjanja mchunguze mkeo pia nae kuna jamaa anampakua malipo hapa hapa mzee..
 
Naanza pata hisia hii story ni ya kupikwa
Haina cha kupikwa iamini kama ilivyo kama vile ambavyo unaweza kuwa mke wako ameenda kujiendeleza kimasomo afu akawa analiwa na mwanafunzi mwenzie na ukimtumia pocket money anachukua anamhonga kiben ten wake.So simple.Ukioa kuchapiwa ni siri ya ndani maana hata ukianza kubwabwaja hata wale ambao walikuwa hawajui kama mkeo anachepuka watahamasika na kuanza kumu mendea.
 
Mama Mkwe anajua Binti yake anatafunwa na wewe lkn bado hata alipoolewa anaendelea kumtunzia Binti yake siri, Mungu tusaidie Me tuwe na hekima sana.
 
Haina cha kupikwa iamini kama ilivyo kama vile ambavyo unaweza kuwa mke wako ameenda kujiendeleza kimasomo afu akawa analiwa na mwanafunzi mwenzie na ukimtumia pocket money anachukua anamhonga kiben ten wake.So simple.Ukioa kuchapiwa ni siri ya ndani maana hata ukianza kubwabwaja hata wale ambao walikuwa hawajui kama mkeo anachepuka watahamasika na kuanza kumu mendea.
Hii iko realistic, ila kitendo cha kujua mtu anakutombea kisha ukakaa kimya, hivi mkeo wa ndoa asafiri for 16 days awe anakukatia simu tu. Hio itakuwa dalili gani? Uzezeta au roho ya kristo?
 
Hahahah huyo jamaa ndio kaolewa basi, katika hali ya kawaida mwanamke hawezi leta mbwembwe kwako kama we ndio host wa show zote kuanzia mjengo n.k.

Aisee mie labda kama sidindishi na sitoi bao! Ila kama naweza yote hayo huyo demu ningemgeuza butcher! Namlia timing siku moja nafunga milango na madirisha ya chumbani vizuri tu, akisema fyoko tu naanua mkanda mmoja wa ngozi.

Nampa kisago cha ela yote mpaka maneno alioropoka yarudi mdomoni mwake yalipotoka. Yani nahakikisha ametepeta kabisa kawa rojo rojo! Hata kuinua ulimi hawezi. Kisha namuacha apumzike. Pakikucha namtazama kama hajajirudi naanza upya tena namnyoosha kidogo kisha natoa taarifa kisha nampa uhuru wa kusuka au kunyoa, kama akishindwa kuendanana na matakwa yangu ikibidi aondoke tu nyumbani kwangu mara moja staki kuona sura yake ya kishetani kamwe.

Na taarifa kwao natoa.
Mkuu hakuna kitu kigumu kama Kulazimisha mapenzi na kushindwa kukubali ukweli kuwa Mwanamke hakupendii...!! Ni weakness ya wanaume wengi sanaa ndo maana huwa tunajiuaa na kuua wanawake... Manzi akizingua wewe mpotezee wapo wengi unaweza wapata na ukaenjoy...
 
Mkuu hakuna kitu kigumu kama Kulazimisha mapenzi na kushindwa kukubali ukweli kuwa Mwanamke hakupendii...!! Ni weakness ya wanaume wengi sanaa ndo maana huwa tunajiuaa na kuua wanawake... Manzi akizingua wewe mpotezee wapo wengi unaweza wapata na ukaenjoy...
Yani hapo namuacha ila lazima alipie mda alionipotezea na unafiki wake! Thats for once and for always.
 
Mkuu watu wanashindwa kujua Jambo moja,hili langu linawaudhi wengi kwa sababu mm nimesema. Lkn km nisingesema hata ningekutana na yeyote miongoni mwa member bado angeniheshimu kutokana na muonekano wangu wa nje na maisha yangu. Kuna member tunafahamiana humu,baada ya uzi wangu alinifuata pm kuniuliza km issue hii ni ya kweli nikamwambia ni kweli..kasema anakuja ofisini leo asbh anataka akaongee na huyo dada maana naye ni mwanamke. Tatizo la member wa jamii forums,mtu akisema kuhusu udhaifu wake wote wanageuka kuwa watakatifu badala ya kuangalia uhalisia na kutoa ushauri.
Samahani mkuu, ulitaka wakupongeze kwa kumla mke wa mtu siku yake ya kufunga ndoa?
 
Back
Top Bottom