Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

There are three categories of rings in relationship
1)engagement ring
2)wedding ring
3)and suffering.

[emoji837][emoji822][emoji813]
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Nakushauri umwambie huyo demu jinsi unavyojisikia vibaya kwa unayomtendea mwanaume mwenzio.Nionavyo mimi huyo jamaa anajua ila anakulia timing tu,pengine kwa kuwa mkeo alishahisi unamla huyo demu alishamwambia mmewe.Ipo siku utaaibika sana bro na utatamani dunia ipasuke.How do you know kama jamaa hashiki simu ya mkewe,teknolojia zimeendelea sana sahiv,usifikiri kuweka kwake password yuko salama.Nakushauri uache,heri akuchukie lkn uache kbs bro
 
Unakosea sana. Wewe ndiye uliyemfanya mpaka akuzoeee kias hicho mpaka amekua mtumwa kwako ndio maana ukimuhitaji muda wowote anakuja kwako. Umekua kama Christian Grey na Anastasia Steele.

Cha kufanya sababu wewe ndiye unaweza mcontrol huyo dada wewe ndiye wa kusolve tatizo hilo. Huitaji ushauri wa mtu mwingine ni wewe mwenyewe ujue utafanya nini.

Lastly, "what goes around comes back around" also "KARMA has no menu. You get served what you deserve"
 
Huyo mwanamke kiufupi hampendi mumewe ninachojiuliza tu alikubali vipi kuolewa naye, hivyo vituko huwezi kumfanyia mume wako unayempenda.

Na ww mkuu kuwa na maamuzi kama mwanaume au kama vipi achaneni na watu wenu muoane.
 
Duniani titi for tat,amini Huyo mkeo yawezekana kuna jemba linamenua , ukiua kwa panga utakufa kwa panga,endelea kumla vzuri malipo is coming
 
Mama wa mabinti wengi wao huwa support binti zao hasa kama anaona kbs bintiye ana furaha na anachokifanya, mbaya zaidi me uwe na tabia ya kuhudumia aaaah wamama mbona hata nyumbani kwake sometimes anakuandalia mazingira unaenda kuchapa bintiye.

Speaking from experience
Nikweli naunga mkono hoja
 
Hakuna kitu kinashindikana chini ya jua hasa ukiamua kuacha, kutenda.
 
Unakosea sana. Wewe ndiye uliyemfanya mpaka akuzoeee kias hicho mpaka amekua mtumwa kwako ndio maana ukimuhitaji muda wowote anakuja kwako. Umekua kama Christian Grey na Anastasia Steele.

Cha kufanya sababu wewe ndiye unaweza mcontrol huyo dada wewe ndiye wa kusolve tatizo hilo. Huitaji ushauri wa mtu mwingine ni wewe mwenyewe ujue utafanya nini.

Lastly, "what goes around comes back around" also "KARMA has no menu. You get served what you deserve"
Kwanza nakubaliana na kila mtu anayesema hili kosa...!! Lkn sidhani km amekuwa mtumwa,nadhani ni yale mazoea tu,kumbuka km nilivyosema huyu dada kaolewa mwaka jana mwezi wa 8. Lkn mm nipo naye tangu mwaka 2016. Na ki msingi kwa umri wake alikuwa anastahili kuolewa kwa sababu bado ni mdogo sana...!! Na kiukweli me sikuwahi kuwaza kumuoa na sijawahi kuongea naye hilo hata siku moja. Tangu naanza kumdate alikuwa anajua km nna mke na niliweka masharti kabisa ya kumheshimu mke wangu...ambayo hadi leo anayazingatia. Yaani mkuu kwenye mapenzi kuna vitu vingine vidogo sana mnaweza kuwa mnafanya na mwenzi wako vinawafanya mjenge mazoea sana kiasi kwamba kila wakati mnakumbukana...!! Lkn angalau hapa naona jinsi watu wanavyochukizwa na hii kitu,naamini naachana na huyu dada.
 
Huu ni ukweli ambao wanawake wengi hawautaki..wala siyo ww tu..lkn kwenye hali halisi huo ndo ukweli mchungu...!! Laiti km ungejua nnavyoaminika kwa mke wangu,wala usingesema haya. Ndo walivyo wanaume wengi, wanachepuka lkn bado wanaheshimu familia. Mm ni rahisi kunisema kwa sababu nimesema..nimeoa miaka 21 iliyopita.
"nimeoa lakini naiheshimu familia". Good luck kwa hii heshima yako.
 
Huyo mwanamke kiufupi hampendi mumewe ninachojiuliza tu alikubali vipi kuolewa naye, hivyo vituko huwezi kumfanyia mume wako unayempenda.

Na ww mkuu kuwa na maamuzi kama mwanaume au kama vipi achaneni na watu wenu muoane.
Mkuu vituko ni mm ndo navijua kwa sababu dem ananiambia. Lkn upande wa jamaa hakuna kitu anachohisi ingawa mm kweli kabisa kwa sasa naumia. Ujue nilishawahi tena hv karibuni tu,nikachukua laini ya simu ambayo hata dem haijui,nikamtumia SMS jamaa nikijifanya me ni mtu wake wa karibu. Nikamwambia mfuatilie shemeji kuna sehemu mara nyingi namuona lodge akiingia na jamaa. Nilichat naye sana kwa akili nyingi nikamwambia kila namna jinsi ambavyo tunakutana. Na siku hiyo wakati namwambia jana yake tulikuwa wote..hivyo ili aamini nikamwambia mpaka alivyokuwa amevaa mkewe na sehemu ambayo tulipita baada ya kutoka lodge. Nilimpa details kibao. Lengo langu nilijua atachukua japo za kumuonya kuwa ameshagundua nyendo zake. Na nilijua mwanamke lazima ataniambia km jamaa ameshajua..lkn jamaa alivyofika nyumbani,akamwambia mkewe kuna mbea anataka kutuchonganisha..ona sms alizonitumia..jamaa anaponda anasema anajifanya rafiki yangu,me sina rafiki wa hivi ambaye hajui hata kuandika..maana nilibadilisha namna ya kuandika ili dem asigundue km ni mimi. Dem akapiga screenshot zile SMS kesho yake akanitumia..lkn jamaa amezipotezea..ingawa mm nikajifanya nimeshikwa na uoga....!! Halafu mm Nampenda sana mke wangu wala sifanyi utani. Npo kwenye ndoa mwaka wa 21. Nimeoa tangu mwaka 1998.
 
Yaelekea hajawahi kusikia nyumba imevamiwa usiku, wamemuua mwenye nyumba na hakuna kitu chochote kilichoibwa! Wakati mwingine inatokana na vitendo kama hivi. Mke wa mtu sumu kijana
 
aya mambo ndo yanafanya nisifikirie kabisa kuoa, ntajiishia na vitoto vyangu viwili bila kuweka mwanamke ndani...
 
@heaven sent njoo mama uone new kind of love.

Kati ya upuuzi sitaki kuusikia na siwezi kuuelewa hata uujustfy vipi ni huu wa "all men cheat". Wewe jitetee tu kwa nafasi yako kwa upuuzi unaoufanya usitafute huruma ya watu kwa kuwajumuisha watu kwenye upuuzi wako.
mkuu hapo kwenye kuchit ni kweli hajadanganya kabisa
 
Mkuu huo ni ushereheshaji Kwa upana wa fasili ya Andiko la kitabu cha

MATHAYO 5 mistari ifuatayo
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

22 Bali mimi nawaambieni, Kila amwoneaye ndugu yake hasira itampasa hukumu; na mtu akimfyolea ndugu yake, itampasa baraza; na mtu akimwapiza, itampasa jehanum ya moto.

23 Basi ukileta sadaka yako madhabahuni, na huku ukikumbuka ya kuwa ndugu yako ana neno juu yako,

24 iache sadaka yako mbele ya madhabahu, uende zako, upatane kwanza na ndugu yako, kisha urudi uitoe sadaka yako.

25 Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa kadhi, na kadhi akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani.

26 Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hata uishe kulipa senti ya mwisho.

27 Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini;

28 lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Andiko gani linasema haya mkuu?
 
Umesema ulimwita siku ya kufunga ndoa 05:00 am na ulikodisha guest house karibu na kwao ili iwe kuna urahisi, sasa naku uliza uliagaje kwa mkeo kulala nje au ndio chai ya alasiri?
ACHA UONGO KWA KUZINI UONGO.
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
 
Back
Top Bottom