Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Unajiandalia kaburi
 
Mkuu hivyo vitu nimefanya sana,lkn ujue anapafahamu ofisini kwangu,lkn yeye anasema na siyo yeye tu,hata mama yake anasema km tatizo ni huyo mwanaume yy yupo tayari kuondoka. Mkuu ktk kutafuta jinsi ya kumuacha huyo dada,nilishawahi tena mwezi uliopita tu,nilichukua laini tofauti na zangu,nikajifanya me ni rafiki yake na huyo mwanaume lkn sitaki anijue. Nikamtumia SMS kumwambia kuwa kuna jamaa anatembea na mke wake,lengo langu achukue hatua za kumuogopesha. Yaani nilimueleza mpka muda anaopenda kupita. Nilimtumia maelezo mazuri sana..yy akawa ananipigia simu kutaka anijue nikawa sipokei. Cha ajabu jioni alivyorudi nyumbani,akamuonyesha mkewe zile SMS huku akisema kuna mbea anataka kutuchonganisha hapa hebu ona hizi SMS...!! Demu akazipiga screenshot akanitumia halafu akazifuta. Jamaa wala hakutilia maanani!
Aisee. hiyo tabia acha kabisa, yani unajipeleka wewe mwenyewe kwa kumuamsha aliyelala.

Just be careful my friend.

"Kiukweli nimeskitika hiyo asubuhi ya siku ya harusi yake" inauma sana.
 
Hatukuhumu ila tunasisitiza kuwa unachokifanya sio sawa kwa sababu though unaonesha kuwa unataka kuacha; bado unajustify kuwa unachokifanya ni sahihi, only that mtu unayefanya naye ndiyo sio sahihi. Hujisikii vibaya unavyomfanyia mkeo; ila unataka tu kumuacha huyo dada kwa sababu unamuonea huruma huyo mume mwenzio. Hongera kwa kujali ndoa ya wenzako; ilhali ndoa yako unaipandikizia uharibifu. So it's possible ukaachana na huo mchepuko na ukipata mchepuko mwingine ambao upo single/haujaolewa; ukaendelea nao kwa raha zako tu.

Kwa kumalizia tu; mtu yeyote timamu anakuwa responsible na choices zake. Mwanaume mzima kusema unachepuka eti kwa kuwa tu wanaume wote wanacheat; ni upumbavu wa hali ya juu. Kama unaona kucheat ni sawa, cheat tu kwa sababu umeamua. Afu usitujie na excuse za namuheshimu mke wangu blah blah; utaiita heshima kama mkeo akiwa anavulia watu nguo huko nje as long as hakuoneshi? Heshima huku unamdhalilisha mkeo kwa mchepuko wako na unamuweka kwenye risk ya magonjwa? Man up bana wewe alaaaaaah.
Umeongea point mno
 
Kwanza nakubaliana na kila mtu anayesema hili kosa...!! Lkn sidhani km amekuwa mtumwa,nadhani ni yale mazoea tu,kumbuka km nilivyosema huyu dada kaolewa mwaka jana mwezi wa 8. Lkn mm nipo naye tangu mwaka 2016. Na ki msingi kwa umri wake alikuwa anastahili kuolewa kwa sababu bado ni mdogo sana...!! Na kiukweli me sikuwahi kuwaza kumuoa na sijawahi kuongea naye hilo hata siku moja. Tangu naanza kumdate alikuwa anajua km nna mke na niliweka masharti kabisa ya kumheshimu mke wangu...ambayo hadi leo anayazingatia. Yaani mkuu kwenye mapenzi kuna vitu vingine vidogo sana mnaweza kuwa mnafanya na mwenzi wako vinawafanya mjenge mazoea sana kiasi kwamba kila wakati mnakumbukana...!! Lkn angalau hapa naona jinsi watu wanavyochukizwa na hii kitu,naamini naachana na huyu dada.
Mzee baba sasa kama ulimpa conditions azifuate juu ya kumuheshimu mkeo how comes usimpe sheria kali ya yeye kumuheshimu mume wake coz wewe ndio una power of control upon her sasa fanya kweli mwambie amuheshimu mume wake yani unaweza ukawa unafanya dhambi mpaka shetani analia haiwezekani ndoa inafungwa alafu alfajili unamtomba uyo mdada shame on u braza unaweza ukawa unamla mke wa mtu lakini dah wewe umepitiliza acha iyo tabia braza mungu anakuona ila kumbuka na ww una mke
 
Kweli kabisa naunga hoja mkono na hata ukiangalia nyumba ambayo inakosa control ya baba kiukweli nidhamu ziro kabisa
Wazazi wa kike si wa kuwaamini kwa mabint zao. Hilo ni jambo la kawaida sana na nalo fahamu kabisa
 
Mzee baba sasa kama ulimpa conditions azifuate juu ya kumuheshimu mkeo how comes usimpe sheria kali ya yeye kumuheshimu mume wake coz wewe ndio una power of control upon her sasa fanya kweli mwambie amuheshimu mume wake yani unaweza ukawa unafanya dhambi mpaka shetani analia haiwezekani ndoa inafungwa alafu alfajili unamtomba uyo mdada shame on u braza unaweza ukawa unamla mke wa mtu lakini dah wewe umepitiliza acha iyo tabia braza mungu anakuona ila kumbuka na ww una mke
Hivi mchepuko unaanzaje kumuheshimu mke wa mwanaume anayechepuka naye na hiyo heshima ya kumuheshimu mtu ilhali umeshindwa kuiheshimu ndoa yake ndo ipi? Sana sana me naonaga mchepuko unamdharau tu mke
 
Yah ni kweli lakini mdau sema kuna kitu kimeniuma sana mdada anaolewa alfajili kaenda kuchezea mashine kwakweli haijakaa sawa kabisa
Hivi mchepuko unaanzaje kumuheshimu mke wa mwanaume anayechepuka naye na hiyo heshima ya kumuheshimu mtu ilhali umeshindwa kuiheshimu ndoa yake ndo ipi? Sana sana me naonaga mchepuko unamdharau tu mke
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Subiri siku utakayofumaniwa nae ukakatwa na hiyo Zakary (OobM) yako "maana ndio inayokupa kiburi cha kutokuachana nae" sikuhiyo kwahakika utatengana nae. HALAFU UNAJISIFU HUWEZI KUACHANA NAE MPUMBAVU MMOJA SURA YAKO KAMA MAVI YALIYO MABICHI.🤔
 
Kuna mwamba kama wewe kwa sasa hawezi kuja jijini Dar na akija anakuja usiku na kurudi alikohamia kwa sasa.Kazi alikimbia ...kisa kama chako ila aliykekuwa anamfuatilia ni FALA.Alipigiwa simu mapema sana asubuhi akaulizwa maswali machache sana kuhusu hali kama hiyo na mwanaume kama huyo unayesema hajui kitu.Bwana alipokata simu alimtumia SMS zote na call voices juu ya mawasiliano yao.
Huyo mwanaume hakuishia hapo akamweleza mambo mengi mno kuhusu mtu kama wewe.Ratiba na matukio yote muhimu unayofanya na mke wake.Mwamba alipuuzia hilo jambo,..lakini mpaka sasa navyokueleza kahama jiji.Maana mikakati iliyowekwa juu yake ilianza kusambalatisha majukumu yake yote yanayompatia kipato mjini.Hatua ya kuliwa kiboga ilikuwa ya mwisho kabisa..bahati baada ya mambo meengi kuharibika ndio uamuzi wa kurudi Mkoani ukafikiwa.Lakini huyo FALA amepumzika tu kwa muda.Alishawahi fika aliko jamaa kwa makazi mapya.Ndugu huyo anadhoofu sana na ameharibu familia yake na mke na watoto kwa ajili tu ya kitu chepesi mno kuacha.Hatuoni tena future ya watoto maana miamala yote imekatika.Hatujui huyo mtu ana uwezo kiasi gani mpaka kuleta shida pana kwa jamaa kiasi hicho.Ni Fala Fala tu kama unavyo muona huyo dogo kwa sasa.
Kilichotoka kwa mwamba huyo ni kama TITANIC tu ilivyopotea Atlantic..Hana raha ya maisha tena...Ogopa sana sana wanaume mafala fala ni watu wabaya mno zaidi ya unavyojua.Watu kama hao haijalishi ni hana kipato au anacho.Wana maamuzi yao ya kipekee mno.
 
Kuna mwamba kama wewe kwa sasa hawezi kuja jijini Dar na akija anakuja usiku na kurudi alikohamia kwa sasa.Kazi alikimbia ...kisa kama chako ila aliykekuwa anamfuatilia ni FALA.Alipigiwa simu mapema sana asubuhi akaulizwa maswali machache sana kuhusu hali kama hiyo na mwanaume kama huyo unayesema hajui kitu.Bwana alipokata simu alimtumia SMS zote na call voices juu ya mawasiliano yao.
Huyo mwanaume hakuishia hapo akamweleza mambo mengi mno kuhusu mtu kama wewe.Ratiba na matukio yote muhimu unayofanya na mke wake.Mwamba alipuuzia hilo jambo,..lakini mpaka sasa navyokueleza kahama jiji.Maana mikakati iliyowekwa juu yake ilianza kusambalatisha majukumu yake yote yanayompatia kipato mjini.Hatua ya kuliwa kiboga ilikuwa ya mwisho kabisa..bahati baada ya mambo meengi kuharibika ndio uamuzi wa kurudi Mkoani ukafikiwa.Lakini huyo FALA amepumzika tu kwa muda.Alishawahi fika aliko jamaa kwa makazi mapya.Ndugu huyo anadhoofu sana na ameharibu familia yake na mke na watoto kwa ajili tu ya kitu chepesi mno kuacha.Hatuoni tena future ya watoto maana miamala yote imekatika.Hatujui huyo mtu ana uwezo kiasi gani mpaka kuleta shida pana kwa jamaa kiasi hicho.Ni Fala Fala tu kama unavyo muona huyo dogo kwa sasa.
Kilichotoka kwa mwamba huyo ni kama TITANIC tu ilivyopotea Atlantic..Hana raha ya maisha tena...Ogopa sana sana wanaume mafala fala ni watu wabaya mno zaidi ya unavyojua.Watu kama hao haijalishi ni hana kipato au anacho.Wana maamuzi yao ya kipekee mno.
Mkuu kwanza si kweli kwamba me namuona fala. Sema watu ingawa wanatoa ushauri mkali lkn wengi hawaelewi situation nnayopitia mimi. Kumbuka mkuu npo na huyu dada miaka 2 nyuma kabla hata yy hajamjua. Msiangalie tu ubaya wa yale niliyoeleza. Nimeeleza mabaya niliyomtendea kwa sababu hata mimi yananitesa kwa sasa. Mm huyo binti namjua zaidi kuliko watu wanavyofikiri. Ukiacha mapenzi hata mambo mengine mazuri kabla hajaolewa tumefanya mengi tu. Huyo binti ni darasa la 7,lkn mm ndo nilimpeleka chuo,akajiongezea kielimu kidogo na nikamsaidia kupata kazi. Kazi ambayo ameajiriwa kabisaa anapata mshahara,bima ya afya na stahili zote za mfanyakazi.

Kwake ugumu wa kutoka umebeba mambo mengi,ndo maana ukimwambia habari ya kuachana kwa sababu ya ndoa anasema basi yy anaondoka kwa yule mwanaume. Mkuu mm siyo mjinga km watu wanavyoniona,nachukua hatua lkn zinagonga mwamba,me nataka nimuache lkn abaki ktk ndoa,sitaki aachike kwa ajili yangu. Hv tunavyoongea yupo kwao kwa mama yake,tangu jana asbh sipokei simu zake,jioni mama akapiga simu,nikapokea mama ananiita huko, nikamwambia mama leo ni ijumaa kuu ndo maana sipokei hata simu npo na familia labda kesho,kisha nikamsalimia na yeye kwa kifupi na simu nimeizima saa 2 tu usiku. Muda huu ndo nawasha simu..kuna sms 16. Maneno aliyoandika humo Mungu mwenyewe anajua hali nnayopitia mm. Yaani usiku kucha nawaza hii issue nai-solve vp!?? Nimefikiria hata kumpigia simu jamaa nimwambie ukweli...!!
 
Upo kwenye ndoa miaka 21 sasa
Unampenda na kumheshimu mkeo
Ila unachepuka na mke wa mtu na unautumia muda wake mwingi kuliko anavyoutumia na mumewe

Mimi kuna kitu ambacho huwa najiuliza mara nyingi sana..
Unajustfy vipi kuchepuka huku unampenda na kumheshimu mwenzi wako?? Huo upendo/mapenzi na heshima viko wapi??

Ila mkuu na wewe una guts...
Ukaona uharibu hadi siku ya ndoa ya mchepuko wako[emoji3]
Siku ukiyajua ya mkeo uje utuambie umegundua kuna watu wanawaonea wivu[emoji3]
 
Aisee. hiyo tabia acha kabisa, yani unajipeleka wewe mwenyewe kwa kumuamsha aliyelala.

Just be careful my friend.

"Kiukweli nimeskitika hiyo asubuhi ya siku ya harusi yake" inauma sana.
Mkuu watu wanashindwa kujua Jambo moja,hili langu linawaudhi wengi kwa sababu mm nimesema. Lkn km nisingesema hata ningekutana na yeyote miongoni mwa member bado angeniheshimu kutokana na muonekano wangu wa nje na maisha yangu. Kuna member tunafahamiana humu,baada ya uzi wangu alinifuata pm kuniuliza km issue hii ni ya kweli nikamwambia ni kweli..kasema anakuja ofisini leo asbh anataka akaongee na huyo dada maana naye ni mwanamke. Tatizo la member wa jamii forums,mtu akisema kuhusu udhaifu wake wote wanageuka kuwa watakatifu badala ya kuangalia uhalisia na kutoa ushauri.
 
Upo kwenye ndoa miaka 21 sasa
Unampenda na kumheshimu mkeo
Ila unachepuka na mke wa mtu na unautumia muda wake mwingi kuliko anavyoutumia na mumewe

Mimi kuna kitu ambacho huwa najiuliza mara nyingi sana..
Unajustfy vipi kuchepuka huku unampenda na kumheshimu mwenzi wako?? Huo upendo/mapenzi na heshima viko wapi??

Ila mkuu na wewe una guts...
Ukaona uharibu hadi siku ya ndoa ya mchepuko wako[emoji3]
Siku ukiyajua ya mkeo uje utuambie umegundua kuna watu wanawaonea wivu[emoji3]
Unanishangaa mm kwa sababu nimeongea ukweli juu ya matendo yangu. Sitaki kuzungumzia issue ya mke wangu..lkn haina maana kwamba kwa sababu nachepuka basi simuheshimu. Pamoja na vurugu zote lkn hajui,aliwahi kuona SMS tu na hazikuwa na madhara sana ingawa alianza kumhisi. Watu wengi wanajifanya watakatifu sijui kwa nn!?? Me nimesema hapa kwa sababu nna dhamira ya dhati nataka kumuacha. Km ningekuwa nataka kuendelea naye,dem mbona yupo tayari kuachika si ningekubali aachike nisingekuja hata kuomba ushauri hapa. Mm sitaki kuendelea naye lkn kuna mazingira yananibana nikifanya km watu wanavyotaka,hata mke wangu atajua...Jambo ambalo sitaki litokee kabisaa!!
 
Kiongozi hakuna cha kuona huruma hebu mwache huyo binti ....uzinzi dhambi.....halafu hawa wanawake wanaokubali kuolewa halafu wanacheat huwa wanamaanisha nini labda??? Kwa nini kaolewa???
Girls date who they love most but end up marry who's ready for it.
 
Hapo kwa sms na picha ndio pa kuzingatia mno
Wanakulaumu tu ila nakuelewa sana nafasi uliopo.

Sasa sikia mi mdogo ako ila acha ufala.

Mfosi kufuta sms.

Mfosi kupokea simu.

Mfosi alale.

Mfosi ampikie mumewe.

Mfosi kukutana kuwe kwa mipango.

Mfosi vitu vingi ambavyo vitamfanya atimize majukumu kama mke wa mshkaji.

Ni namna pekee utamsaidia jamaa kama kweli unamuonea huruma.
 
Back
Top Bottom