Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Nina uhusiano na mke wa mtu. Natamani kumuacha lakini inakuwa ngumu

Unanishangaa mm kwa sababu nimeongea ukweli juu ya matendo yangu. Sitaki kuzungumzia issue ya mke wangu..lkn haina maana kwamba kwa sababu nachepuka basi simuheshimu. Pamoja na vurugu zote lkn hajui,aliwahi kuona SMS tu na hazikuwa na madhara sana ingawa alianza kumhisi. Watu wengi wanajifanya watakatifu sijui kwa nn!?? Me nimesema hapa kwa sababu nna dhamira ya dhati nataka kumuacha. Km ningekuwa nataka kuendelea naye,dem mbona yupo tayari kuachika si ningekubali aachike nisingekuja hata kuomba ushauri hapa. Mm sitaki kuendelea naye lkn kuna mazingira yananibana nikifanya km watu wanavyotaka,hata mke wangu atajua...Jambo ambalo sitaki litokee kabisaa!!
Mkuu mimi sijakuhukumu
Nimetoa mawazo yangu hasa kwenye dhana nzima ya heshima ya ndoa na kuchepuka
Mchepuko wako ameolewa halafu ukimchunia anahamia kwa mamake huoni ni tatizo??

Unajua una muda gani kabla hiyo ndoa yako unayoilinda haijaharibika huku ushaharibu ya mwenzako??
Fanya maamuzi sahihi mapema kabla hujaharibu kotekote.
 
Samahani naomba nikuulize jambo, huyo binti ni kabila gani maana tunaweza kutafuta mchawi kumbe pia na kabila nalo huwa ni culture yao hiyo na mama yake ni kabila gni ,maana kuna kabila ambazo wao ndoa nikutoa mkosi lakini mapenzi ni jadi kwao ,
Nashukuru mkuu kwa Maoni yako..nataka baadae nimtumie hii link aone jinsi hili suala linavyonipa shida. Kwa sababu hv tunavyoongea,hayupo kwake yupo kwa mama yake kwa sababu tu sijapoke simu zake tangu asbh. Nimeongea na mama mchana ananiita huko nikamwambia me leo nipo nyumbani na familia na tunaenda kanisani ndo maana hata simu sijapokea. Nikajitetea tu hivyo kwa mama yake. Na mama akampa simu nimsalimie. Yaani ni mtihani kweli mkuu!!
 
Wanajamvi umofia kwenu,kwa wakristu wenzangu heri ya ijjmaa kuu.

Naomba nisiwachoshe. Binafsi nimeoa,nna mke naishi na familia yangu vizuri tu. Lkn nna hili tatizo ambalo kwa sasa limekuwa kero kubwa sana kwangu.

Mm ni kijana wa zamani kidogo umri wangu ni 40+ lkn huyu binti umri wake ni 25. Nilianza kudate naye tangu mwaka 2016. Huyu binti aliolewa mapema sana aliolewa mwaka 2011,baada tu ya kumaliza elimu ya Msingi. Na mwaka 2013 akawa amepata mtoto. Amedumu ktk hiyo ndoa hadi mwaka 2015.akaachika baada ya kushindana tabia na mwanaume huyo.

Baada ya kurudi kwao,ndo nikabahatika kukutana naye kuna siku alikuja ofisini kwangu kupata huduma,akanivutia na tukaongea mawili matatu kisha tukapeana contact safari ikaanzia hapo. Na tarehe 14 February mwaka 2016 rasmi nikaanza kudate naye.

Aisee kwanza sikutegemea km ningeweza kudumu naye kwa kipindi kirefu kwa jinsi nilivyokuwa namchukulia.

Lkn ndo hivyo nimejikuta npo naye hadi leo. Sikuwahi kumuahidi kumuoa. Mwaka juzi 2017 mwishoni,akachumbiwa,me hakuniambia. Alichumbiwa mwezi wa 11. Baada ya kuchumbiwa,kwa kiasi fulani akapunguza usumbufu kwangu,na mm wala sikumfuatilia. Lkn siku moja mwaka jana,akaja ofisini akinilalamikia me namchunia na maneno meengiii...!!

Siku hiyo alibaki hapo hadi muda wa kufunga. Nikafunga nikaenda naye kupiga show,me nikamuacha lodge nikaenda kulala kwangu,lkn siku hiyo ndo akaniambia km anataka kuolewa. Aisee,nilifurahi sana moyoni. Lkn akaniambia anataka idhini yangu,km nipo tayari aolewe lkn nisimuache.

Kwa vile me nilijua anaenda kuwa mke wa mtu, nikamwambia asijali. Huku me nikijua kabisa hii ndo nafuu yangu. Kweli taratibu za ndoa zikaendelea na hatimae akaolewa mwaka jana mwezi wa 8.

Cha ajabu nilivyoona kweli anaolewa,kuna hali ya wivu ikaanza kuniingia. Siku ya ndoa ilikuwa jmosi,nikamlazimisha siku moja kabla ya ndoa lazima nipige mashine,demu akasema ww tu yaani hata ukitaka siku yenyewe. Nikamwambia basi tufanye siku ya ndoa mapema alfajiri.

Me nikaenda kulala lodge ya karibu kabisa na huko kwao,nikampa maelekezo kweli saa 11 alfajiri akapiga simu anakuja. Nikapiga mashine hadi saa 2 asbh.

Binti akaolewa kweli. Tangu siku hiyo ya jmosi hakupatikana kwenye simu. Tulikubaliana kwamba,akiolewa atakaa ndani siku 7.( Nasikia hizo siku huwa ni za fimbo tu). Lkn demu kwa mazoea ambayo alishajijengea kwangu,alishindwa kumudu zile kumaliza zile siku 7. Jtano tu ya wiki iliyofuata akanitafuta na tukaonana. Tukayajenga na kesho yake mzigo nikapiga tena.
Tumefanya mengi sana na huyu dada lkn sasa kusema kweli,najisikia vibaya sana naona namnyanyasa sana huyu dogo aliyemuoa.

Maana mwanamke kwa sasa kawa km mtumwa kwangu. Yaani hata akiwa na mmewe ukimwambia njoo,hata km alikuwa anapika ataacha kila kitu.

Kiukweli nimeshajaribu sana kumwambia tuachane lkn inashindikana kwa sababu ya jinsi tulivyozoeana. Uhusiano wetu hata mama yake anaujua.

Natamani sana nimuache lkn nashindwa. Nitumie njia gani ambayo haitakuwa na madhara kwa pande zote!?? Yaani huwa namhurumia sana jamaa,mfano demu nikiwa naye jamaa anapiga simu hazipokelewi. Mfano juzi hakuenda kazn,mchana akaja tukawa wote,baadae mumewe akawa anapiga simu lkn simu ikawa silent,na wakati huo sisi tunafanya yetu. Alivyopiga simu sana na simu haipokelewi,akatuma SMS akisema mwambie achomoe kwanza upokee simu..! Nilijisikia vibaya sana,na baadae dem alivyofika nyumbani akaongea naye akasema alitoka lkn simu aliacha ndani,maana jamaa alikuwa kazini. Na jamaa hagusi kabisa simu ya mkewe. Na demu huwa hafuti SMS wala picha zetu na anajiamini kwa sababu simu ina password. Kiukweli me kwa sasa natamani kumuacha...maana hata mke wangu alishahisi km natembea naye. Naombeni nichukue njia gani kuachana naye!??

Nawasilisha kwenu.
Mkeo sisi ndo tunamla
 
Wanakulaumu tu ila nakuelewa sana nafasi uliopo.

Sasa sikia mi mdogo ako ila acha ufala.

Mfosi kufuta sms.

Mfosi kupokea simu.

Mfosi alale.

Mfosi ampikie mumewe.

Mfosi kukutana kuwe kwa mipango.

Mfosi vitu vingi ambavyo vitamfanya atimize majukumu kama mke wa mshkaji.

Ni namna pekee utamsaidia jamaa kama kweli unamuonea huruma.

Ushauri mzuri sana, kutamka neno muache ni rahisi, lakini kama ulishakua kwenye situation hiyo utaelewa ugumu wake. Wanawake wengi hawana furaha kwenye ndoa zao, wanalazimika kutafuta hizo furaha kwa watu wanaowapenda zaidi.
Labda cha kusahihisha hapo kwenye ushauri wako, hahitaji KUMFOSI, mke wa mtu akikupenda anakusikiliza na kukutii zaidi ya mtu mwingine yeyote, hapo amwambie tu kistaarabu kuwa anahitaji kumfanyia hayo Mumewe ili yeye aendelee kuwa nae. Kama mwanamke akizingatia haya, ipo siku mmewe atamtafuta jamaa kumshukuru kwa kurejesha furaha kwenye ndoa yao.
 
Basi hapo hapo ,niurithi wa kabila hili ninasema kwa experience sina nia nao mbaya hapana kisa kama hichi kimenitokea ,mimi mwenyewe ila ni tofauti kidogo na yako ila hili kbila kuna shida sana huwa wanaona ndoa ni kuondoa gundu tu then mapenzi na michepuko kwao ni kawaida sana
Haya makabila hapana aisee...
 
Unanishangaa mm kwa sababu nimeongea ukweli juu ya matendo yangu. Sitaki kuzungumzia issue ya mke wangu..lkn haina maana kwamba kwa sababu nachepuka basi simuheshimu. Pamoja na vurugu zote lkn hajui,aliwahi kuona SMS tu na hazikuwa na madhara sana ingawa alianza kumhisi. Watu wengi wanajifanya watakatifu sijui kwa nn!?? Me nimesema hapa kwa sababu nna dhamira ya dhati nataka kumuacha. Km ningekuwa nataka kuendelea naye,dem mbona yupo tayari kuachika si ningekubali aachike nisingekuja hata kuomba ushauri hapa. Mm sitaki kuendelea naye lkn kuna mazingira yananibana nikifanya km watu wanavyotaka,hata mke wangu atajua...Jambo ambalo sitaki litokee kabisaa!!
Naona kila anayekwambia usichotaka kukisikia unamuona anajifanya mtakatifu. Sasa sijui ulitegemea ukileta uzi wako tukupongeze?. Unachokifanya ni upumbavu; utakuja ufe kiboya umuache mkeo analia kwa aibu. We are not judging you; ila tunakusaidia. Hakuna mtakatifu humu; ila kila mmoja akikosea ataaambiwa na sio kutiwa moyo afanye anachokitaka kisa tu hakuna msafi kati yetu. Muheshimu Mungu, muheshimu mkeo na watoto wenu.
Sitakuwa wa kwanza kugongewa na hili mm halinisumbui. Kwa sababu kuna siri nyingi kwenye ndoa,ndo maana watu wote hapa kwa sababu mm nimesema wamegeuka watakatifu.
 
Yaani unaleta hii dhambi yako humu siku hii ya Ijumaa kuu badala ya kwenda kutubu kanisani. N way inaonyesha wewe na huyo kijana aliyomuoa huyo binti wote mmerogwa. Mpaka ulete hapa hili inaonyesha hutaki na huna mpango Wa kumuacha na badala yake umetaka tu kutujulisha unavyopendwa na mke Wa mtu. Ila jisaidie sana ujinasue ikiwezekana shirikisha na ndugu yako hata mmoja Wa karibu na mnayeheshimiana na unayeamini ana busara sana ili muwe karibu ktk hili na omba sana Mungu akupe ujasiri Wa kujinasua manake kuna hatari kubwa yaja kwako na familia yako. Mana naamini huyo kijana ana ndugu,jamaa na marafiki na kama ni kweli anajua basi jua atachukua ushauri huko kwote juu ya nn cha kufanya,sasa atachukua ushauri gani ndio hujui,sijui.
NB: BINADAMU NI KIUMBE CHENYE ROHO NGUMU NA HATARI KULIKO WANYAMA WENGINE WOTE!
 
Pole sana aisee, mke wa mtu ni sumu... siku wa kwako akiibwa na akamegwa utajua uchungu wake....

ANZA VISA VIDOGO VIDOGO...PUNGUZA NAE MAWASILIANO HUENDA IKASAIDIA...MDANGANYE SIKU MOJA MOJA ASIWE ANAKUFUATILIA SANA
Unajisumbua tu jamaa hatofanya hivyo mana keshasema amejaribu kumuacha anashindwa,sasa hivyo visa ataanzia wapi huyu muhuni?
 
Naona kila anayekwambia usichotaka kukisikia unamuona anajifanya mtakatifu. Sasa sijui ulitegemea ukileta uzi wako tukupongeze?. Unachokifanya ni upumbavu; utakuja ufe kiboya umuache mkeo analia kwa aibu. We are not judging you; ila tunakusaidia. Hakuna mtakatifu humu; ila kila mmoja akikosea ataaambiwa na sio kutiwa moyo afanye anachokitaka kisa tu hakuna msafi kati yetu. Muheshimu Mungu, muheshimu mkeo na watoto wenu.
Mkuu nadhani kinachokufanya unione wa ajabu ni tofauti zetu za namna ya kufikiri na kuamua. Kwanza sijachukia kuambiwa ukweli,lkn kunishambulia kunisaidia nn!?? Kinachokupa nguvu ya kunisema ni kwa sababu mimi ndo nimeweka wazi kosa langu. Sasa kuna haja gani ya kuniambia tena kuhusu kosa lilelile ambalo mm ndo nalijutia!?? Kwa nn usinipe suluhisho tu la moja kwa moja!?? Mm nimeleta hapa kupata mawazo mapya siyo!?? Sasa kuanza kuni-attack kwa kitu ambacho me ndo nimekitengeneza kunanisaidia nn!?? Me nataka msaada wa kutoka siyo kunielezea kuhusu ubaya wa hilo tukio. Hicho ndo nakataa,na nna kataa kwa sababu naamini hakuna mtakatifu. Hakuna ushauri niliopingana nao,na ntachukua hatua. Hv nnavyoandika hapa,yy mwenyewe nimemtumia link asome na anapiga simu hapa sipokei kwa sababu me bado nipo nyumbani. Ntaongea naye nikifika kwao. Yupo kwao kwa mama yake tangu jana,ndo nataka nikaongee nao pamoja na mama...!! Nna member wa hapa na ni jinsia ya kike namsubiri anakuja tunaenda naye huko. Huyu member tunafahamiana na tunaheshimiana sana nje ya keyboard. Alijua labda nimeleta chai,lkn ameona umuhimu na kaniambia atakuja leo aongee na huyo dada,now yupo njiani namsubiri afike tupate chai twende huko. Ndo hivyo mkuu sichukii ushauri,lkn kuniambia kuhusu huo ubaya ni kupoteza muda kwa sababu me pia najua nafanya vibaya na athari zake nazifahamu ndo maana nataka msaada wa kutoka.
 
Back
Top Bottom