Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Nina umbea wa hatare, natamani nimwambie mtu

Hahaa hapa sidhani kama kuna la maana zaidi ya kuwapandisha watu nyege tu.

Hata wewe kesho waweza kuja na habari za ubuyu wenye pilipili kumhusu Ngabu na ukawa umetunga tu....halafu uone reaction itavyokuwa....si ajabu PM yako itajaa!!

Ni rahisi sana kuchezea akili za baadhi ya watu humu.
Na uzuri wa JF unaweza kukataa lolote aidha liwe la kweli kuhusu wewe au lisiwe la kweli.
 
Hahahaa nipe basi maelekezo uliyopewa na aunt yako, au na wewe hautaki ubuyu? Si umeona wenzako wanapanga foleni wanagombea na kusubiria ubuyu wa Miss Natafuta?
Mbona huitikii shikamoo yangu lakini maelezo ya aunt ni ya ubuyu baba yeyoo ujue ebu tuma jaman ndoo ndogo tu
 
Back
Top Bottom