Nina uraibu wa picha za utupu (Pornography)

1.Kama una umri umefika wa kuoa oa.
Hii itakusaidia kuacha tabia ya kuangalia pic za porno
2.Tumia simu ya tochi kwa muda
Hii itakusaidia sana sababu hautakuwa na simu ya ku-acces internet.
3.Download nyimbo za dini na mahubiri usikilize.
4.Fanya mazoezi kila siku jioni au usiku
Ili urudishe hisia zako na mwili uwe timamu
5.Uspende kukaa pekee yako tembelea marafiki kila mara ...
6.Tafuta rfk wa kike awe anakuja kukutembelea ambae hauna hisia nae
7.Kunywa tangawiz asali na maziwa au tende ukipata.
8.Pika nyanya chungu(ngwogwe) ule asubuhi na jioni...pika 3 na zisiive
9.Tafuta mwanasaikolojia au daktar atakusaidia
10.mwsho ila sio lazima,tafuta demu awe analala kwako siku nzima joto lake litakuamsha,kapime HIV na uache matumiz ya kondomu.
 
Shukrani sana kaka na vp kuhusu swala la mahusiano naruhusiwa au ni niendelee kusubili mpaka hiyo miez mi3 ipite ndio nijaribu tendo?
 
Pole sana mkuu
 
Nilikalili hadi ma porn star enzi hizo niko chuo. na tulikua tunaangalia hizo porn kama unavyoangalia tamthilia. Dem akija anauchezea tu wala sio sababu. Utakua na shida zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…