Nina uraibu wa picha za utupu (Pornography)

Nina uraibu wa picha za utupu (Pornography)

Mimi ni kijana wa miaka 25 nimekuwa muhanga wa picha za ngono kwa miaka mingi huku nikiwa sina mahusiano mengine maana zimeniathiri kiasi kwamba wasichana wote nawaona wa kawaida tu hata kutongoza kwangu kumekuwa shida sana.

Ila tatizo nimeanza kuliona juzi baada ya kumpata binti mmoja niliemfukuzia kwa miaka mingi, kwanza msichana kaja gheto hata ile mihemko sikuwa nayo pia kavua nguo mimi sistuki naona kawaida yani zile hisia zikaondoka iabidi nipange safari ya ghafla.

Siku nyingine pia msichana kaja nikazuga naumwa so hivi sasa imebidi nimkwepe kabisa ili kukwepa aibu japo akiwa ayupo nikimfikiria tu uume unasimama vizuri shida akija hisia zote uondoka.

Naombeni msaada wa mawwzo yenu kipi nifanye ili nirudi katika hali yangu ya kawaida na pia nikiacha kuangalia Pornography inaweza kunichukua muda gani kurudi katika hali yangu ya kawaida?
Tatizo lako ww ni puchu nq sio porn mm npo addicted na porn lkn sipig puchu kuacha kuchek porn ni kaz ngumu sn lkn kuacha puchu ni kaz rahis cha muhimu tu upate demu wa kummwagia
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nimekuwa muhanga wa picha za ngono kwa miaka mingi huku nikiwa sina mahusiano mengine maana zimeniathiri kiasi kwamba wasichana wote nawaona wa kawaida tu hata kutongoza kwangu kumekuwa shida sana.

Ila tatizo nimeanza kuliona juzi baada ya kumpata binti mmoja niliemfukuzia kwa miaka mingi, kwanza msichana kaja gheto hata ile mihemko sikuwa nayo pia kavua nguo mimi sistuki naona kawaida yani zile hisia zikaondoka iabidi nipange safari ya ghafla.

Siku nyingine pia msichana kaja nikazuga naumwa so hivi sasa imebidi nimkwepe kabisa ili kukwepa aibu japo akiwa ayupo nikimfikiria tu uume unasimama vizuri shida akija hisia zote uondoka.

Naombeni msaada wa mawwzo yenu kipi nifanye ili nirudi katika hali yangu ya kawaida na pia nikiacha kuangalia Pornography inaweza kunichukua muda gani kurudi katika hali yangu ya kawaida?

Usiogope, hiyo ni kawaida sana na ni kitu cha kibaiolojia kinaeleweka. Kitaalamu inaitwa Porn-Induced Erectile Dysfunction (PIED). Kwa kifupi, ukiangalia video za ngono kwa muda mrefu bila kuwa na uzoefu wa tendo/mwanamke halisi, ubongo wako unakuwa umeathiriwa na nadharia ya mtandaoni ya tendo la ndoa, na hizo ulizozitaja ndio dalili (madhara) zake. Nadharia ya mtandaoni na hali halisi ya tendo la ndoa haviwezi kukaa kwenye ubongo kwa wakati mmoja, hivyo unatakiwa uiondoe nadharia hiyo na akili izoee hali halisi ya tendo. Kuibadili nadharia ya mtandaoni kuwa hali halisi haifanyiki moja kwa moja. Kwanza unatakiwa kuondoa vitazamwa vyote vya ngono nadharia (Picha na video za ngono) kutoka kwenye akili yako, yaani usiangalie kabisa porn videos na wala usijichue (masturbation). Kwa mtu aliyekuwa tayari na uzoefu wa tendo halisi (yaani alikuwa ameoa/alikuwa na mpenzi) kisha akaingia kwenye uraibu huu itamchukua miezi miwili hadi mitatu kuanza kurudia hali yake ya kawaida. Kwa mtu ambaye hakuwa na uzoefu (alikuwa hafanyi ngono) kabla ya kuingia kwenye addiction (uraibu) itamchukua miezi mitatu hadi sita kuanza kurudia hali ya kawaida. Usitapeliwe ukitafuta matibabu kwakuwa huo sio ugonjwa. Zingatia kanuni za afya pia, usiwe na uzito uliopitiliza na ufanye mazoezi ili kusaidia kurudia hali ya urijali wa kawaida.
 
Cha kwanza acha kucheki hzi picha cha pili acha kupiga puli cha tatu jiamini na cha nne fanya mazoezi na cha tano kula matunda kwa wingi na maji mengi na cha sita kila siku tengeneza chai ya tangawizi chukua tangawizi tatu zioshe vzr then ziponde vizr chemsha usitie majani ya chai iwe yenyewe kama yenyewe ukiweza changanya na asali kama unayo kama hauna kunywa kama ilivyo asubuhi na jioni ndani ya week utaona mabadiliko ila kikubwa jiamini ondoa hofu
Mkuu njia hii inaweza rudisha uume kwenye saizi yake mi pia ni muhanga wa pornography na punyeto?
 
Cha kwanza acha kucheki hzi picha cha pili acha kupiga puli cha tatu jiamini na cha nne fanya mazoezi na cha tano kula matunda kwa wingi na maji mengi na cha sita kila siku tengeneza chai ya tangawizi chukua tangawizi tatu zioshe vzr then ziponde vizr chemsha usitie majani ya chai iwe yenyewe kama yenyewe ukiweza changanya na asali kama unayo kama hauna kunywa kama ilivyo asubuhi na jioni ndani ya week utaona mabadiliko ila kikubwa jiamini ondoa hofu
Pia huo mchanga nyiko wa tangawizi nitumie malangap kwa siku?
 
Mara ya kwanza niliweza kuacha nyeto kwa siku 47 lakin siku ya 48 nili relapse nikarud kwenye nyeto... Kwasababu niliianza kuwa na msongo wa mawazo sana.. kwa sasa nataka nianze upya challenge ya kuacha nyeto na ninaamini nitafanikiwa japo ni ngum sana kuacha nyeto Hali ya kuwa sina dem na mm ni rijali kabisa, ila kwa madhara ya nyeto yalivyo sina budi kutangaza kustaafu
Kwel mi uume umekuw mwembamba Sana daaa.
 
Tenga mda mwingi wa mazoez jichanganye na wenzako kwny mazoez acha kutazama hizo video za ngono
 
mzee baba utachanganyikiwa zaidi pale demu kaja geto siku umemvua alafu ile unapambana kuingiza tu wazungu hawa apa
unabaki unawaza umekosea wapi mbona king nasir anasugua 30mins wewe sekunde tu tiari[emoji38][emoji38][emoji38]
ndo hapo sasa unaingia steji nyingine mara oooo sina nguvu za kiume unaanza kunywa juis za pweza kwa fujo mara alkasus
na sasa hivi hadi watoto wana smartphns ili tatizo litasumbua sana uko mbele aiseee yaani litakua fursa kabisa kwa wajanja uko mbeleni
King Nasir wale wanachoma sindano zinawafanya Wana stay longer

Porn ni kazi kucheza inakula muda mrefu Sana wanatoka wamechoka

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini boss huwa sipendi kupiga nyeto Mara nyingi nikiwa na hamu naangalia porn
Mkuu nyeto Ni mbaya sana kama hujawahi kupiga shukuru sana,, kuangalia porno hiyo ni vichocheo vya kujichua
 
Ni kweli au story za kijiwe cha kahawa,
Hivi kweli pisi imekuja paja kule, tako kaa kachambia amira unaweza kuairisha harafu unazo ngenye za mwaka? zimejaa hadi pumb.. zinauma
Comments Kama hizi ndiyo zinakatisha watu tamaa na kusababisha wa-commit suicide halafu baadaye tunajilaumu.Kama una Cha kushauri ,toa ushauri Kama huna nyamaza.I'm sorry sikufokei.


Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nyeto Ni mbaya sana kama hujawahi kupiga shukuru sana,, kuangalia porno hiyo ni vichocheo vya kujichua
Ila sijawahi kujichua mkuu porn naangalia sana sema misuli ya dudu inaonekana sipendi sijui niipotezaje
 
Tatizo la nguvu za kiume linaonekana kwamba ni sababu ya chakula sana lakini ukweli ni porno na puchu


Vijana muwe makini na picha za ngono na punyeto kutoka kwenye hiko kifungo sio masihara
 
Usiogope, hiyo ni kawaida sana na ni kitu cha kibaiolojia kinaeleweka. Kitaalamu inaitwa Porn-Induced Erectile Dysfunction (PIED). Kwa kifupi, ukiangalia video za ngono kwa muda mrefu bila kuwa na uzoefu wa tendo/mwanamke halisi, ubongo wako unakuwa umeathiriwa na nadharia ya mtandaoni ya tendo la ndoa, na hizo ulizozitaja ndio dalili (madhara) zake. Nadharia ya mtandaoni na hali halisi ya tendo la ndoa haviwezi kukaa kwenye ubongo kwa wakati mmoja, hivyo unatakiwa uiondoe nadharia hiyo na akili izoee hali halisi ya tendo. Kuibadili nadharia ya mtandaoni kuwa hali halisi haifanyiki moja kwa moja. Kwanza unatakiwa kuondoa vitazamwa vyote vya ngono nadharia (Picha na video za ngono) kutoka kwenye akili yako, yaani usiangalie kabisa porn videos na wala usijichue (masturbation). Kwa mtu aliyekuwa tayari na uzoefu wa tendo halisi (yaani alikuwa ameoa/alikuwa na mpenzi) kisha akaingia kwenye uraibu huu itamchukua miezi miwili hadi mitatu kuanza kurudia hali yake ya kawaida. Kwa mtu ambaye hakuwa na uzoefu (alikuwa hafanyi ngono) kabla ya kuingia kwenye addiction (uraibu) itamchukua miezi mitatu hadi sita kuanza kurudia hali ya kawaida. Usitapeliwe ukitafuta matibabu kwakuwa huo sio ugonjwa. Zingatia kanuni za afya pia, usiwe na uzito uliopitiliza na ufanye mazoezi ili kusaidia kurudia hali ya urijali wa kawaida.
Mkuu umejibu kitaalamu sana mimi mwenyewe ni mhanga na ninataka kuacha kabisa hii mambo nina swali kama nikiianza kupiga piga Malaya unaweza saidia kurudi hali ya kawaida au nitakuwa nachelewesha process ya kurudi urijari kawaida.
 
Back
Top Bottom