Nina utaalamu wa madini ya Almasi, natafuta mbia mmoja wa kufanya nae biashara hii

Nicheki WhatsApp 0746271034
 
Hello muhusika wa hii topic bado upo active kuna kitu nataka niulize!
 
Oya Niko mzigo w almas nifutie soko bc
 
Jamaa mbona haukuweka namba ako hapa nicheki basi tufanye biashara
 
Nadhani ili ku simplify mambo na kupata wadau ni bora ukawaambia unataka / mnataka mtaji wa kiasi gani ili muweze kuanza na uwezekano wa kupata faida ni kiasi gani bila kusahau uwezekano wa kuliwa yaani kutoka kapa...; Vilevile hapo si kuna uwezekano sababu yeye ni finacier akishakuweka mjini na wewe kuondoa ule uhitaji wa yeye kuwepo, ni kipi kinachokuzuia kumpiga chini ?

Ushauri unaonaje kwa uwezo wako wa kupata mali usitafute watafute mali ukawaunganisha ?, Vilevile kwa uwezo wako wa kupata masoko kwanini usiwasaidie wenye mali kuwatafutia masoko ukala commission ? (Au huwezi kufanya hayo mpaka uwe na vibali na leseni)?
 
Aisee nahitaji pia kijana ambae ana uzoefu WA kutambua almasi ambazo hazijasafishwa ili tufanye biashara akiwa huko
Poapoa,kua makini Kuna almasi nyingi za kutengeneza mchina alizimwaga,hata ukipima kipimo kinaitambua ni almasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…