Bila kuonyesha blog yako ni ngumu kukushauri ufanye nini ili uongeze page views, Ila kama views unapata Kwa kushare basi unapoteza muda Sana halafu miezi miwili bado ni michache Sana piamatangazo ya kazi
Huu si ukweli, Nina website na haiandiki vitu udaku wala ujinga, ina miezi sita Kwa sasa inapata watembeleaji 22,000 Kwa mwezi na ninaweza kui-monetize bila kutumia matangazo ya AdSense wala kampuni yoyote ya matangazo Kwa Sababu wanaotembelea ni wateja WA uhakika wanaotafuta taarifa za bidhaa Fulani kupitia Google Search. Na 97% ya traffic ni kutoka Tanzania
Huu si ukweli, Nina website na haiandiki vitu udaku wala ujinga, ina miezi sita Kwa sasa inapata watembeleaji 22,000 Kwa mwezi na ninaweza kui-monetize bila kutumia matangazo ya AdSense wala kampuni yoyote ya matangazo Kwa Sababu wanaotembelea ni wateja WA uhakika wanaotafuta taarifa za bidhaa Fulani kupitia Google Search. Na 97% ya traffic ni kutoka Tanzania
Blog ni website pia! Kwa hiyo nikiandika site, website Kwa maudhui ya hapa namaanisha blog.Mkuu website au blog
Kama target yako ni watanzani pekee, inabidi contents zako ziwe za kijinga jinga kama umbea, comedy hapo utawakamata chap....! Ila kama ni content za madini target worldwide tumia lugha ya malaika hapo utakua fastaa.! La sivyo hiyo kazi itakushinda....! Ila mkuu hujasema content yako ni ipi inawezekana youtube ungefanya poa zaidi...! Weka wazi content yako tukushauri
Bwn mdogo itakua motivational speakers walimpoteza,Sasa Ni Muda wake wa kula alikopeleka mboga.Umekosea kuacha kazi kisaTU shutuma,majungu kiukweli Kuna mambo hayakwepeki mfano kusemwa au kupewa kashfa..kikubwa we maisha yanaendelea...kwa hiyo ilifaa ufanye zote mbili...binafsi me napofanyia kazi Sina majukumu mengi Sana na komputa ipo nzuri Sana ila mambo ya blogging nayatamani nifanye ila sielewi nahisi mpk nikae na mtu anayejua anifundishe
[emoji16][emoji16] Hapendi hivyo Sasa ndio maana kaamua ajiajili mwenyeweUmekosea kuacha kazi kisaTU shutuma,majungu kiukweli Kuna mambo hayakwepeki mfano kusemwa au kupewa kashfa..kikubwa we maisha yanaendelea...kwa hiyo ilifaa ufanye zote mbili...binafsi me napofanyia kazi Sina majukumu mengi Sana na komputa ipo nzuri Sana ila mambo ya blogging nayatamani nifanye ila sielewi nahisi mpk nikae na mtu anayejua anifundishe
Nielekeze inakuaje hiyoMimi sina uzoefu sana na haya mambo lakini jana kuna sehem nilisoma (i think Quora), kuna mtu aliandika kuhusu yputube shorts. Akasema hizo ni rahisi zaidi kutengeneza maana zinahitaji applications kama mbili tu pamoja na internet connection kutengeneza na traffic yake ni kubwa due to the fact kwamba watu wengi wako radhi kuangalia shorts ya sekunde 30 hadi dk 1 kuliko kuangalia video ya dk 7 or 15 na kuendelea. Kwangu mimi i think its cheap na iko na rewards nyingi other than youtube videos.
All in all kila la kheri mkuu.
As i said, sina uzoefu on how to create hizo youtube shorts. Lakini ukiingia youtube unaeza kuziview nyingi tu ukapata idea zikoje. Then through google unaeza fuatilia how they are created and how to monetise the.Nielekeze inakuaje hiyo
Mtafute Adam Enfory na unaweza kuwa pia freelancer upwork
tembelea bloggrowthengine.com na upwork.comfreelancer upwork n nn
freelancer upwork n nn
unakiuza? au unasaidia wana kiroho safi
Umesema uko kwenye 80s😳View attachment 2324432
Mimi ni kijana niaeishi Dar es salaam,Yaah unaweza ukasema n mtu mzima maana niko kwene 80s!!…Nimeajiriwa sehemu kadhaa lakini kwa sasa nimeacha kazi!!
Kwa kifupi sipendi kufanya kazi kwa mtu au institution naona tabu sana habar za kupangiwa,kutumikia mtu, formality,kugombezwa au vile visa vya makazini!!Kifupi napenda kupata shuhuli yangu ambayo inauhuru wa mm ndiye niwe muamuzi!! Kumsujudia boss siwezi yaan hapo tutasumbuana!!
Changamoto ni kua sijui biashara ambayo ndio ingekua inanifit kwa ninachotaka!!
Baada ya kuwaza kwa miezi kadhaa nilikuja na option ya kufanya biashara mtandaoni ambapo ilikua either Youtube au Blog!!
Youtube niliiweka pembeni kwasababu naona kama kuna changamoto fulani hivi kutengeneza video,kuedit,had kua attract viewers!!
Cha pili sielewi youtuber anaeingiza hela nyingi tanzania analipwa sh ngap ili niweze kuona nn anafanya tofauti na pesa inatoka hasa kwene nn viewers wengi au viewers wa wastan targeted,au aina ya topic!!
so nikaingia kwene Blogging!! …Weee!! Lahaulaaaah
Nilichokipata huku n kasheshe maana saa izi niko kwene viewer 300 tu na ni mwezi wa pili!!
Najaribu kushare magrup mengi mengi lakini watanzania kuview vitu serious hawawezi au kunakua na low trafic!!
Plan zangu nilifikiri nipige had miezi mitatu nianze kumonetise lakini naona hali si hali!!
Nimejalibu kufuatilia bloggers wengi wanaotengeneza hela n wale watu /kampunibza habar kama jf,habarleo,nk ambao kifupi wamewekeza hela nyingi
Je kuacha kazi na kujiajiri kama blogger au katka blogging kunaweza kukusaidia kukidhi kipato au ni bora nitafute kazi!!?
Kama kuna mifano halisi mnishauri niifuate nisije potea hasa ukizingatia kunakutumia resources kama muda,fedha na bundle
kuna shidaUmesema uko kwenye 80s😳
andika udaku wa diamond na zuchu ....know your audience hii ndo bongo!View attachment 2324432
Mimi ni kijana niaeishi Dar es salaam,Yaah unaweza ukasema n mtu mzima maana niko kwene 80s!!…Nimeajiriwa sehemu kadhaa lakini kwa sasa nimeacha kazi!!
Kwa kifupi sipendi kufanya kazi kwa mtu au institution naona tabu sana habar za kupangiwa,kutumikia mtu, formality,kugombezwa au vile visa vya makazini!!Kifupi napenda kupata shuhuli yangu ambayo inauhuru wa mm ndiye niwe muamuzi!! Kumsujudia boss siwezi yaan hapo tutasumbuana!!
Changamoto ni kua sijui biashara ambayo ndio ingekua inanifit kwa ninachotaka!!
Baada ya kuwaza kwa miezi kadhaa nilikuja na option ya kufanya biashara mtandaoni ambapo ilikua either Youtube au Blog!!
Youtube niliiweka pembeni kwasababu naona kama kuna changamoto fulani hivi kutengeneza video,kuedit,had kua attract viewers!!
Cha pili sielewi youtuber anaeingiza hela nyingi tanzania analipwa sh ngap ili niweze kuona nn anafanya tofauti na pesa inatoka hasa kwene nn viewers wengi au viewers wa wastan targeted,au aina ya topic!!
so nikaingia kwene Blogging!! …Weee!! Lahaulaaaah
Nilichokipata huku n kasheshe maana saa izi niko kwene viewer 300 tu na ni mwezi wa pili!!
Najaribu kushare magrup mengi mengi lakini watanzania kuview vitu serious hawawezi au kunakua na low trafic!!
Plan zangu nilifikiri nipige had miezi mitatu nianze kumonetise lakini naona hali si hali!!
Nimejalibu kufuatilia bloggers wengi wanaotengeneza hela n wale watu /kampunibza habar kama jf,habarleo,nk ambao kifupi wamewekeza hela nyingi
Je kuacha kazi na kujiajiri kama blogger au katka blogging kunaweza kukusaidia kukidhi kipato au ni bora nitafute kazi!!?
Kama kuna mifano halisi mnishauri niifuate nisije potea hasa ukizingatia kunakutumia resources kama muda,fedha na bundle