NYAMONGO KWETU
Member
- Dec 18, 2014
- 10
- 0
Nikiamka asubuhi huwa niko nomal level.
Kadri siku inavyo zidi kusogea ndivyo inavyozidi kuvimba usawa wa vifundo kwenda chini,nikibonyeza kwa kidole hakuna maumivu ila naacha kishimo kama kifuniko cha soda.
Msaada wenu tafadhali.
Kadri siku inavyo zidi kusogea ndivyo inavyozidi kuvimba usawa wa vifundo kwenda chini,nikibonyeza kwa kidole hakuna maumivu ila naacha kishimo kama kifuniko cha soda.
Msaada wenu tafadhali.