Nina vingi vya kujifunza kwa Baba yangu

Mama hakuwa na akili hiyo baadhi ya Watoto walipo soma wakataka kujua mzee analipwa ngapi? Aligonga mwamba aseeπŸ˜‚πŸ˜‚
Kwakweli sijawahi wala sitegemei wala hainiingii akilini tu kuwaza kumuuliza eti anapata kiasi gani?? Kwanini sasa enheee ndo akishasema anachopata ndo inakua nini sasa??

Mie upande wa maza na dingi sijui ilikuaje ila nahisi ni hivyo hivyo make dingi baada ya kufariki maza akaanza kufatilia mafao....akaambiwa mbona mzee alivuta chake mapema πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ wallah ndoa ni forex trade
 
Mama hata card ya ATM hakubahatika kuionaπŸ˜‚πŸ˜‚

Hii ilitokea kipindi mzee kaa staafu na tukasikia kalipwa mafao yake kama. M30 Sasa mama akataka kujua kama kweli kapewa Kila akiona karatasi anakileta kwangu nimsomee vizuri hata kama haihusiani na Hela.


Mwisho nikamwambia mama tafuta card kama hii bima ya afya ila yenyewe ni blue na imeandikwa NMB hii ukiona Sasa kaa nayo mzee atakuuliza tu.

Alitafuta Hadi akakata tamaa hakuionaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Huo msako wa mama kiboko

Ni vizuri kuwa na kipato chako hata kama ni kidogo, haya mambo tunacheka ila kiukweli ni udhalilishaji waliofanyiwa mama zetu.

Imagine unavochoreka, kujaza madocuments bla bla bla afu unapeleka unaambiwa alishachukua hela zake, sio poa kabisa......
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Acha tuishi humo hata akiwa na kipato chake Bado msako ataufanya tu.
 
Hahahahah nimecheka sio poa, yaan Mtu mbili tu ndo tukuteke.
 
Kwa kijijini hakuna shida ukizingatia na kipindi hicho gharama za vitu vilikuwa himilivu.kwa Sasa ukiwa na watu watano na unakaa Dar es salaam na hauna kipato kingine zaidi ya mshahara kiduchu lazima maisha ya kupige
 
Kiijini una kuta mzee alikuwa na shamba la urithi ekari tano yeye peke yake sasa hv kawagawia nyie watoto 15 kila mtu ana robo ekari ata sehemu ya kujenga choo hakuna.
 
Huu uzi nimejifunza wazazi wa kisasa walivyo goigoi kwenye kuhudumia familia.
 
Hongera nyingi sana kwa kina baba wote wanaopambania familia 24/7
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…