Nina wanawake watano, kila mmoja nampa Tsh. Milioni 6 za matumizi kila wiki

Nina wanawake watano, kila mmoja nampa Tsh. Milioni 6 za matumizi kila wiki

hot-cuppa.gif
 
Hongera naona umeshajipata
 
Yaani katika kitu nakiheshimu hapa duniani ni kumtunza mwanamke sababu mwanamke hatakiwi ateseke yaani wanawake wangu watano.

Kila mmoja nampa milion 6 ya matumizi madogo madogo tu Kila wiki na hawa wote walikua bikra nimewatoa Mimi sababu siwezi kula mwanamke ambae sio bikra.

Aisee nashangaaga wanawake wanaokaa na wanaume masikini unakuta kabinti kamechoka yaani huwa navioneaga huruma.

Kuna kimoja nilikipa hela kikajua nakitaka tatizo hakikua bikra nikakiambia nenda katumie na bwana hiyo pesa muifanye mtaji hivi nyie wanaume mafukara kwanini hamtunzi mademu zenu wanatusumbua sababu wana njaa sana.
Mhhh kwa mwezi ni kama milioni 120! Sasa wewe mapato yako ni kiasi kama 200milioni,
Hiyo pesa ni sawa na malipo ya miahahara ya, kampuni ndogo yenye wafanyakazi 40+!
Cha ajabu hujasema unafanya biashara gani, unauza bidhaa gani, una kampuni?
Hata dangote kwa nyumbani kwake hatumii milioni 100 kwa mwezi tu! Na huyo ni tajiri namba moja Africa, sasa, wewe kenge magamba ni "tajiri "wa, wapi?
May be makaburini!
 
Yaani katika kitu nakiheshimu hapa duniani ni kumtunza mwanamke sababu mwanamke hatakiwi ateseke yaani wanawake wangu watano.

Kila mmoja nampa milion 6 ya matumizi madogo madogo tu Kila wiki na hawa wote walikua bikra nimewatoa Mimi sababu tajiri siwezi kula mwanamke ambae sio bikra.

Aisee nashangaaga wanawake wanaokaa na wanaume masikini unakuta kabinti kamechoka yaani huwa navioneaga huruma.

Kuna kimoja nilikipa hela kikajua nakitaka tatizo hakikua bikra nikakiambia nenda katumie na bwana hiyo pesa muifanye mtaji hivi nyie wanaume mafukara kwanini hamtunzi mademu zenu wanatusumbua sababu wana njaa sana.
sawa mtani
 
Mhhh kwa mwezi ni kama milioni 120! Sasa wewe mapato yako ni kiasi kama 200milioni,
Hiyo pesa ni sawa na malipo ya miahahara ya, kampuni ndogo yenye wafanyakazi 40+!
Cha ajabu hujasema unafanya biashara gani, unauza bidhaa gani, una kampuni?
Hata dangote kwa nyumbani kwake hatumii milioni 100 kwa mwezi tu! Na huyo ni tajiri namba moja Africa, sasa, wewe kenge magamba ni "tajiri "wa, wapi?
May be makaburini!
Tafuta hela zako acha kufuatilia pesa za matajiri
 
Hongera naona umeshajipata
Tafuta hela
 
Yaani katika kitu nakiheshimu hapa duniani ni kumtunza mwanamke sababu mwanamke hatakiwi ateseke yaani wanawake wangu watano.

Kila mmoja nampa milion 6 ya matumizi madogo madogo tu Kila wiki na hawa wote walikua bikra nimewatoa Mimi sababu tajiri siwezi kula mwanamke ambae sio bikra.

Aisee nashangaaga wanawake wanaokaa na wanaume masikini unakuta kabinti kamechoka yaani huwa navioneaga huruma.

Kuna kimoja nilikipa hela kikajua nakitaka tatizo hakikua bikra nikakiambia nenda katumie na bwana hiyo pesa muifanye mtaji hivi nyie wanaume mafukara kwanini hamtunzi mademu zenu wanatusumbua sababu wana njaa sana.
Kidukulilo umeibuka tena,tuli kumiss sana, vp ulikua Mamtoni!!??
 
Back
Top Bottom