The choosen one1
Member
- Dec 13, 2023
- 67
- 238
- Thread starter
- #21
Sasa mkuu tatizo linaweza kuwa nini?Shamwaa hawawezi kukutapeli, nawatupia sana Hawa jamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu tatizo linaweza kuwa nini?Shamwaa hawawezi kukutapeli, nawatupia sana Hawa jamaa
- Hii ni lugha ya kibiashara, Kiuhalisia hiki kitu hakipo.ningepata kwa siku mbili
Wala usiwe na waswas ni transporter wazur tu hawana izo mamboWakuu bila shaka mnaendelea vyema.
Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?
Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.
Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.
Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.
Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.
Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .
Wakuu naombeni ushauri wenu.
Nilikuwa nahitaji kujifunza kuagiza mwenyewe piaJe umefika kwenye ofisi zao?
- Huwa natoa huduma kupitia hii thread: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
- Mara kadhaa nimenunua bidhaa alibaba na mitandao mingnine.
Karibu
Kama shamwaa bhac hujatapeliwa ila utakua unakuja na meli.Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.
Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?
Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.
Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.
Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.
Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.
Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .
Wakuu naombeni ushauri wenu.
Uwage unawashirikisha wazoefu sio kila Alibaba ni og wengine ni fek wa Nigeria matapeliWakuu bila shaka mnaendelea vyema.
Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?
Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.
Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.
Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.
Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.
Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .
Wakuu naombeni ushauri wenu.
Labda Kuna shamwaa fekiShamwaa hawawezi kukutapeli, nawatupia sana Hawa jamaa
Anza na kule uliko agiza mzigoWakuu bila shaka mnaendelea vyema.
Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?
Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.
Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.
Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.
Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.
Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .
Wakuu naombeni ushauri wenu.
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.
Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?
Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.
Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.
Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.
Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.
Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .
Wakuu naombeni ushauri wenu.
Inawezekana aiseeLabda Kuna shamwaa feki
Waulize kama mzigo wako umeewafikia mkuuSasa mkuu tatizo linaweza kuwa nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Kuna shamwaa feki
Hatari sana.....Inawezekana aisee
Uliagiza liniNimepokea jana tu kakitu kangu
Sawa mkuuWaulize kama mzigo wako umeewafikia mkuu