Nina wasiwasi huenda nimeshatapeliwa

Nina wasiwasi huenda nimeshatapeliwa

Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.

Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?

Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.

Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.

Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.

Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.

Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .

Wakuu naombeni ushauri wenu.
Wala usiwe na waswas ni transporter wazur tu hawana izo mambo
 
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.

Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?

Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.

Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.

Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.

Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.

Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .

Wakuu naombeni ushauri wenu.
Kama shamwaa bhac hujatapeliwa ila utakua unakuja na meli.
 
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.

Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?

Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.

Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.

Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.

Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.

Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .

Wakuu naombeni ushauri wenu.
Uwage unawashirikisha wazoefu sio kila Alibaba ni og wengine ni fek wa Nigeria matapeli
 
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.

Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?

Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.

Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.

Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.

Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.

Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .

Wakuu naombeni ushauri wenu.
Anza na kule uliko agiza mzigo
 
Wakuu bila shaka mnaendelea vyema.

Baada ya kuwaza Thread 'Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?' Nawekezaje bumu linisaidie kulipa ada?

Nikaona thread ya jamaa humu akielezea kwamba unaweza kuanza biashara ya kuagiza vitu abroad kwa mtaji mdogo.

Niliagiza bidhaa kwa alibaba nikawapa hawa transport agents wanajiita shamwaa.

Wakuu ni mwezi sasa sijapata bidhaa yangu japo niliagiza kwa ndege, nikalipia kila kitu.

Kama walivyoandika ratiba za ndege zao kwenye website kwamba ningepata kwa siku mbili , lakini sioni dalili yoyote ya kupata mzigo wangu hadi sasa.

Kila nikiwapigia wananiambia wiki ijayo, hio wiki ijayo nayo ikifika wanasema hivohvo, .

Wakuu naombeni ushauri wenu.

Kiongozi, kama ulinunua kwa Verified seller au mwenye recommendation nzuri kwa buyer
Mzigo utafika; unachukua hadi wiki sita (wametuma kwa meli)
Wakituma kwa ndege hutumia around 2weeks.
 
Nimepokea jana tu kakitu kangu
 

Attachments

  • 20240429_204812.jpg
    20240429_204812.jpg
    1.2 MB · Views: 8
Back
Top Bottom