Nina wasiwasi kama Dreamliner yetu itapata abiria wa kutosha safari za ndani na nje. Huu ni ushauri wangu kwa ATC.

Nina wasiwasi kama Dreamliner yetu itapata abiria wa kutosha safari za ndani na nje. Huu ni ushauri wangu kwa ATC.

Route ya kwanza tu maudhurio ndio haya

1. First class abiria 2
2. Business class abiria 5
3. Economy (kajamba nani) abiria 237

Empty seats 18......

Ndio muende nje ya nchi labda mwisho wa dunia
Actually Mkuu, hiyo ilikuwa ni rate nzuri sana, katika hali ya kawaida. Ndege inaweza kupata faida hata kwa 75% seat sale. Wasiwasi wangu ni kwamba kama hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa debe na kelele nyingi zilizopigwa, mambo yatakuwaje katika hali ya kawaida?
 
Wakuu, ukweli ni kwamba tangu suala la kuagiza Dreamliner lilipotangazwa, niliingiwa na wasiwasi sana juu ya uwezo wa ndege hii kujaza abiria kwa safari za ndani na nje.

Wasiwasi wangu umezidi kuongezeka niliposikia kuwa hata baada ya matangazo mengi juu ya kuanza safari za ndani kwa ndege hii na nauli ya chee, imeshindwa kujaa kwa safari yake ya kwenda Mwanza na kurudi. Uwezo wa Dreamliner ni kubeba abiria 262. Hadi sasa safari ya Mwanza ya asubuhi ni abiria 244 na ya mchana abiria 158. Ikumbukwe kwamba mara nyingi safari ya kwanza huwa inakuwa na hamasa kubwa na abiria hupatikana kuzidi uwezo wa ndege.

Sasa je, hizi ni dalili kwamba huko mbele tunaweza kuwa na tatizo la kujaza ndege yetu kwa safari za ndani au nje? Uwezekano huo upo, na ATC wanapaswa kulikubali hilo. Je, tumenunua tembo mweupe?

Sidhani kama kuna lolote tunaweza kufanya kwa safari za ndani zadi ya kushusha bei hata zaidi kama "promotional fares". Ni afadhali ushushe nauli ili upate abiiria wengi katika kile wachumi wanaita "economies of scale".

Kwa safari za nje, ningewaomba ATC wafikiri kwa haraka kufanya mpango wa aidha ku-partner na mashirika mengine, ama kuwa na "code sharing" arrangement hasa na mashirika ya nchi zinazotuzunguka kama Malawi, Msumbiji, Rwanda, nk, pamoja na nchi ambazo ATC watakuwa wanapeleka Dreamliner, kama India na China. Sijajua kwa nini Dreamliner haijapangiwa safari za South Africa - ambapo tunaweza kuwapunguzia South Africa SAA kuwa na safari moja kwa siku badala ya mbili ili kutoa nafasi kwa Dreamliner. Tukienda Johannesburg (ningeshauri kwenda Johannesburg kupitia Cape Town, yaani Dar-CPT-JNB-DAR), tunaweza kuwa na code sharing na nchi zote za SADC. Hata Nairobi, Kenya Airways wana safari karibu tatu za kuja Dar, tuwapunguzie hadi moja kwa siku ili tuanze na route hizi.

Hadi sasa angalia kwamba bado tunasimama peke yetu, hata code sharing hatuna. Ukweli ni kwamba hata safari za nje kwenda sehemu kama Mumbai huenda kuna Watanzania hawatapanda Dreamliner ya ATC kwa kuwa watataka kupanda ndege ambazo wako kwenye programu zao za "frequent flyer" ili wanufaike na kupata mileage au kuongeza status za uanachama wao.
Mkuu wakiambiwa hawasikii.kweli wanaweza shindana na offer za emirates?oman air?qatar? je ni kweli wameisharudishiwa IATA member?
 
Mkuu wakiambiwa hawasikii.kweli wanaweza shindana na offer za emirates?oman air?qatar? je ni kweli wameisharudishiwa IATA member?
Mmh, Mkuu ngoja tuendelee kujenga nchi yetu na kuishi kwa imani
 
Sasa yule mtu aliyeleta hekaya kwamba drimulaina imejaa yeye kapata nafasi ya mwezi wa 8 alikuwa ni lumumba anafanya propaganda? Watu washapiga usd 104m CHA JUU wametulia hasara kwetu tutakamuliwa kodi mpaka balaa,yaaani fedha zote unazotafuta zinalimwa kodi tu.
Afadhali umemkumbuka mkuu
 
Mimi nilishasema lile neno "hapa kazi tu" lisipofutwa sintokaa nipande. Bora nipande randair au kenya airways.
 
Wakuu, ukweli ni kwamba tangu suala la kuagiza Dreamliner lilipotangazwa, niliingiwa na wasiwasi sana juu ya uwezo wa ndege hii kujaza abiria kwa safari za ndani na nje.

Wasiwasi wangu umezidi kuongezeka niliposikia kuwa hata baada ya matangazo mengi juu ya kuanza safari za ndani kwa ndege hii na nauli ya chee, imeshindwa kujaa kwa safari yake ya kwenda Mwanza na kurudi. Uwezo wa Dreamliner ni kubeba abiria 262. Hadi sasa safari ya Mwanza ya asubuhi ni abiria 244 na ya mchana abiria 158. Ikumbukwe kwamba mara nyingi safari ya kwanza huwa inakuwa na hamasa kubwa na abiria hupatikana kuzidi uwezo wa ndege.

Sasa je, hizi ni dalili kwamba huko mbele tunaweza kuwa na tatizo la kujaza ndege yetu kwa safari za ndani au nje? Uwezekano huo upo, na ATC wanapaswa kulikubali hilo. Je, tumenunua tembo mweupe?

Sidhani kama kuna lolote tunaweza kufanya kwa safari za ndani zadi ya kushusha bei hata zaidi kama "promotional fares". Ni afadhali ushushe nauli ili upate abiiria wengi katika kile wachumi wanaita "economies of scale".
Mkuu Synthesizer, jana nimethibitisha the other way round kwa route ya Mwanza Dar Jumapili, Dreamliner ya ATC imejaa full full na hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne, Fast Jet pia imejaa full full hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne na Precision pia imejaa, hakuna nafasi mpaka Jumatano.
Hivyo kwa abiria wa Kanda ya Ziwa, abiria wapo.
P.
 
Mk
Mkuu Synthesizer, jana nimethibitisha the other way round kwa route ya Mwanza Dar Jumapili, Dreamliner ya ATC imejaa full full na hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne, Fast Jet pia imejaa full full hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne na Precision pia imejaa, hakuna nafasi mpaka Jumatano.
Hivyo kwa abiria wa Kanda ya Ziwa, abiria wapo.
P.
Mkuu Pascal nafurahi kusikia hilo. Natumaini hilo ni reflection ya maendeleo na uwezo wa Watanzania kifedha (reflection on the standard of living) na sio excitement ya muda ya kupanda Dreamliner. Inawezekana pia walifanya kile nilichogusia hapo juu,
"Sidhani kama kuna lolote tunaweza kufanya kwa safari za ndani zadi ya kushusha bei hata zaidi kama "promotional fares". Ni afadhali ushushe nauli ili upate abiiria wengi katika kile wachumi wanaita "economies of scale".

Ningependa sana shirika letu la ndege liwe na mafanikio.
 
Mkuu Synthesizer, jana nimethibitisha the other way round kwa route ya Mwanza Dar Jumapili, Dreamliner ya ATC imejaa full full na hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne, Fast Jet pia imejaa full full hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne na Precision pia imejaa, hakuna nafasi mpaka Jumatano.
Hivyo kwa abiria wa Kanda ya Ziwa, abiria wapo.
P.

Hata saa mbovu nayo huonyesha muda sahihi angalau mara mbili kwa siku. Definitely kuna siku ndege itajaa.
 
Mkuu Synthesizer, jana nimethibitisha the other way round kwa route ya Mwanza Dar Jumapili, Dreamliner ya ATC imejaa full full na hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne, Fast Jet pia imejaa full full hakuna nafasi mpaka kesho Jumanne na Precision pia imejaa, hakuna nafasi mpaka Jumatano.
Hivyo kwa abiria wa Kanda ya Ziwa, abiria wapo.
P.
Swafiiii sana
Lakini mwenzio bado ataleta kujua na kuendelea kuponda! Duh haki ya Mola wangu walahi
 
Wakuu, ukweli ni kwamba tangu suala la kuagiza Dreamliner lilipotangazwa, niliingiwa na wasiwasi sana juu ya uwezo wa ndege hii kujaza abiria kwa safari za ndani na nje.

Wasiwasi wangu umezidi kuongezeka niliposikia kuwa hata baada ya matangazo mengi juu ya kuanza safari za ndani kwa ndege hii na nauli ya chee, imeshindwa kujaa kwa safari yake ya kwenda Mwanza na kurudi. Uwezo wa Dreamliner ni kubeba abiria 262. Hadi sasa safari ya Mwanza ya asubuhi ni abiria 244 na ya mchana abiria 158. Ikumbukwe kwamba mara nyingi safari ya kwanza huwa inakuwa na hamasa kubwa na abiria hupatikana kuzidi uwezo wa ndege.

Sasa je, hizi ni dalili kwamba huko mbele tunaweza kuwa na tatizo la kujaza ndege yetu kwa safari za ndani au nje? Uwezekano huo upo, na ATC wanapaswa kulikubali hilo. Je, tumenunua tembo mweupe?

Sidhani kama kuna lolote tunaweza kufanya kwa safari za ndani zadi ya kushusha bei hata zaidi kama "promotional fares". Ni afadhali ushushe nauli ili upate abiiria wengi katika kile wachumi wanaita "economies of scale".

Kwa safari za nje, ningewaomba ATC wafikiri kwa haraka kufanya mpango wa aidha ku-partner na mashirika mengine, ama kuwa na "code sharing" arrangement hasa na mashirika ya nchi zinazotuzunguka kama Malawi, Msumbiji, Rwanda, nk, pamoja na nchi ambazo ATC watakuwa wanapeleka Dreamliner, kama India na China. Sijajua kwa nini Dreamliner haijapangiwa safari za South Africa - ambapo tunaweza kuwapunguzia South Africa SAA kuwa na safari moja kwa siku badala ya mbili ili kutoa nafasi kwa Dreamliner. Tukienda Johannesburg (ningeshauri kwenda Johannesburg kupitia Cape Town, yaani Dar-CPT-JNB-DAR), tunaweza kuwa na code sharing na nchi zote za SADC. Hata Nairobi, Kenya Airways wana safari karibu tatu za kuja Dar, tuwapunguzie hadi moja kwa siku ili tuanze na route hizi.

Hadi sasa angalia kwamba bado tunasimama peke yetu, hata code sharing hatuna. Ukweli ni kwamba hata safari za nje kwenda sehemu kama Mumbai huenda kuna Watanzania hawatapanda Dreamliner ya ATC kwa kuwa watataka kupanda ndege ambazo wako kwenye programu zao za "frequent flyer" ili wanufaike na kupata mileage au kuongeza status za uanachama wao.
Dreamliner linachanja anga za mbali huko
 
Back
Top Bottom