Nina wasiwasi kama mpenzi wangu atakuwa amepata ujauzito

Nina wasiwasi kama mpenzi wangu atakuwa amepata ujauzito

Jiraniyetu

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
350
Reaction score
333
Wapendwa wana JF kabla ya yote poleni na majukumu,

Nina wasiwasi kidogo kama mpenzi wangu atakuwa amenasa mimba au hapana, nilifanya nae sex siku ya 14 baada ya siku zake, aliingia period tarehe 24 tukasex Tarehe 7, kiukweli aliniambia kwamba yuko kwenye siku ya hatari kwahiyo tutumie mpira ila hatukutumia.

Tulipomaliza alikaa masaa 23 baada ya sex akanywa dawa ya kukinga mimba maana hakuwa tayari kubeba mimba. Alitumia dawa imeandikwa LEVORGESTREL-RICHTER 0.75mg. Alimeza kidonge kimoja tu.

Je inaweza kuzuia mimba?

Nisaidieni hapo jamani.
 
Wapendwa wana JF kabla ya yote poleni na majukumu!!
Nina wasiwasi kidogo kama mpenzi wangu atakuwa amenasa mimba au hapana,,nilifanya nae sex siku ya 14baada ya siku zake,,Aliingia PERIOD tarehe 24 tukasex Tarehe 7,,kiukweli alinambia kwamba yuko kwenye siku ya hatari kwahiyo tutumie mpira ila hatukutumia,tulipomaliza alikaa masaa 23 baada ya sex AKANYWA dawa ya KUKINGA mimba maana hakuwa tayari kubeba mimba..Alitumia dawa imeandikwa LEVORGESTREL-RICHTER 0.75mg..Alimeza kidonge kimoja tu..Je..Inaweza kuzuia mimba??.. Nisaidieni hapo jamani..

ALIKWAMBIA MTUMIE, ILA HAKUTUMIA, NAONA DALILI YA KUMPA LAWAMA YEYE, INGAWA YEYE ALIWEKA CLEARLY. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUKUPA JIBU SAHIHI, SINGEKUNYWA DAWA KABISA, ANAWEZA KUPATA AU ASIPATE...... MIMBA NI JAMBO JEMA PIA, LEENI MTTOTO AKIZALIWA.
 
ALIKWAMBIA MTUMIE, ILA HAKUTUMIA, NAONA DALILI YA KUMPA LAWAMA YEYE, INGAWA YEYE ALIWEKA CLEARLY. HAKUNA MTU ANAYEWEZA KUKUPA JIBU SAHIHI, SINGEKUNYWA DAWA KABISA, ANAWEZA KUPATA AU ASIPATE...... MIMBA NI JAMBO JEMA PIA, LEENI MTTOTO AKIZALIWA.
Wala hakuna lawama,ila nataka nijue tu.
 
Wapendwa wana JF kabla ya yote poleni na majukumu!!
Nina wasiwasi kidogo kama mpenzi wangu atakuwa amenasa mimba au hapana,,nilifanya nae sex siku ya 14baada ya siku zake,,Aliingia PERIOD tarehe 24 tukasex Tarehe 7,,kiukweli alinambia kwamba yuko kwenye siku ya hatari kwahiyo tutumie mpira ila hatukutumia,tulipomaliza alikaa masaa 23 baada ya sex AKANYWA dawa ya KUKINGA mimba maana hakuwa tayari kubeba mimba..Alitumia dawa imeandikwa LEVORGESTREL-RICHTER 0.75mg..Alimeza kidonge kimoja tu..Je..Inaweza kuzuia mimba??.. Nisaidieni hapo jamani..
Masaa 23 mengi sanaa..!! Hapo uwezekano wa kupata mimba upoo.. so usimlaumu sanaa jipangee sana..
 
Masaa 23 mengi sanaa..!! Hapo uwezekano wa kupata mimba upoo.. so usimlaumu sanaa jipangee sana..
Nimekuelewa broo!.wala simlaumu..nilikuwa na shauku tu yakutaka kuelewa..
 
Mcwe na wasiwasi Subiri mpk mwaka kesho miez km ya 8 au 9 hv muende mkapime mjue moja
 
Huyo bint ni Darasa langapi au kidato cha ngapi?kama sio hongera sana jiandae kumpokea baby boy
 
Baadaye mtoto akizaliwa akiwa na mtindio wa ubongo unaanza kumlaumu Mungu kumbe chanzo ni wewe mwenyewe kujaribu kutoa...aisee pole sana...wenzio wanatafuta watoto wewe unawatoa kwa madawa
 
Umepanda mbegu kipindi cha mvua subiri iote, labda mbegu iwe batili. Baba kijacho jiandae kwa majukumu.
 
Hapana hawez pata mkuu si hamjaseksi , tulia tuu mkuu, we tulia tuu nakuambia tulia tuu mkuu
 
Baadaye mtoto akizaliwa akiwa na mtindio wa ubongo unaanza kumlaumu Mungu kumbe chanzo ni wewe mwenyewe kujaribu kutoa...aisee pole sana...wenzio wanatafuta watoto wewe unawatoa kwa madawa
Alikunywa yeye,mimi alinipa taarifa tu baadae..
 
Wapendwa wana JF kabla ya yote poleni na majukumu,

Nina wasiwasi kidogo kama mpenzi wangu atakuwa amenasa mimba au hapana, nilifanya nae sex siku ya 14 baada ya siku zake, aliingia period tarehe 24 tukasex Tarehe 7, kiukweli aliniambia kwamba yuko kwenye siku ya hatari kwahiyo tutumie mpira ila hatukutumia.

Tulipomaliza alikaa masaa 23 baada ya sex akanywa dawa ya kukinga mimba maana hakuwa tayari kubeba mimba. Alitumia dawa imeandikwa LEVORGESTREL-RICHTER 0.75mg. Alimeza kidonge kimoja tu.

Je inaweza kuzuia mimba?

Nisaidieni hapo jamani.
Hio dawa ipoje mkuu niitafute [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... usijali hatapata relax bana
 
Masaa 23 hapana kama mlitumia dawa hawezi kushika ujauzito kwa sababu sperms hukaa ndani ya mwili wa mwanamke zikiwa active kwa siku 3 baada ya hapo zinaharibika na kuwa useful,thats why daawa zote za kuzuia ujauzito zinashauriwa kutumika masaa 78.

Sijajua hiyo dawa,since I'm not a doct. Kama mmetumia right dose yuko safe,lakini kama mna wasiwasi basi zikipita siku14 toka mmfanye tendo tumieni upt kuchek Kama mimba tayari au yuko safe.

Nb:kama hamtaki mtoto kwa sasa tumieni condom au someni calendar msiendekeze kutiana tiana kila siku mnakoseshana amani na kupena stress tu.
 
Back
Top Bottom