Nina wasiwasi lakini sifahamu sababu

🤣🤣Je Kama Hana madeni?
Haiwezekani. Kuna vitu haviwezi kuja bila sababu. Ili uwe na wasiwasi,lazima pawe na jambo la kukupa hiyo hali.

Na mara nyingi ni madeni. Huwezi kuwa na madeni alafu ukawa na furaha.
 
Reactions: jo5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…