You who has started topic you think you to know english language is mean education, education is a key of life not inglish language, you want people to donate post in english? Why not our international language kiswahili?
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
ni sheeeeeeeeeeeeedaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
You who has started topic you think you to know english language is mean education, education is a key of life not inglish language, you want people to donate post in english? Why not our international language kiswahili?
Inapotokea
inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama
Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya
Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na
kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya
wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema
ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka
tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya
kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu
coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
Wala usijiulize maswali,mtu kama huyu ni mwanamme na si ajabu akakwambia ana masters,God forbid
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...