Nina wasiwasi na elimu za wana JF

Nina wasiwasi na elimu za wana JF

Heading nzuri main body haina mashiko, nilifikiri utakuja na hoja ya kusema hawana elimu kwa namna ya michango yao wanavyoileta inakuwa kama ya kukurupuka na haina uchambuzi wa kina na wenye tija kuonyesha kuwa wana uwezo ulio matokeo ya elimu kuweza kuchanganua mambo we unakuja na hoja ya lugha vs elimu, warusi, wachina, wakorea tuseme hawana elimu kwa sababu hawajui kingereza kwa sababu wanatumia lugha zao mashuleni kufundishia, ukumbuke wapo mbali sana kisayansi
 

We nae bana nani kakwambia ki-english ndio usomi? Elimu chio kiingereza ni lugha tu kama kiswahili chema wengi walitawaliwa na waingereza ndio chababu ki-english kinatumika sehemu nyingi ie international language of busineso. Wacha ngebe ebo! Kuhusu vyuo mbona vina ranking worldwide .. ... ... ..

Kiswahili ni shiiida
 
Kiswahili ni shiiida

Umejiunga JF 2013 khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hiyo ndio shida yako. Ulikimbia umande weye inavyoonekana. BTW wewe umesomea shule za kata kama chikosei khe khe khe hhe khe kheeeeee na una division 0 kwenye lugha.

Talk about the devil you know!
 
Umejiunga JF 2013 khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hiyo ndio shida yako. Ulikimbia umande weye inavyoonekana. BTW wewe umesomea shule za kata kama chikosei khe khe khe hhe khe kheeeeee na una division 0 kwenye lugha.

Talk about the devil you know!

sitaki malumbano na mjinga,shule za kata zinakuhusu nini? wewe kunguni wa pemba
 
Jibu unalo ukianza na ww mwenyewe kwa lugha uliyo tumia
 
​hamna bhana sema watu tunapenda lugha yetu ya kiswahili
 
Kingereza hakipekwepi. Kiswahili hakina misuli ya kubeba uzoefu wa dunia ya sayansi na teknologia.
 
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!

Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.

Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...

hili liskupe shida,hata vyuon hufanya discussion kwa kiswahili na xamz wanajibu kwa kimalkia na wanafaulu,na kutojua kiingereza si kipimo cha kutokuwa na elim,ila kama jukwaa lingekua la kiingereza watu wangejadiliana na kiingereza,watumiaj weng hapa ni waswahili na huwa wapo huru zaid kuandika kiswahili,
 
Kuna watu walimaliza darasa la saba wakaenda kusoma language course na wako vizur kwa hiyo usichukulie mambo kirahisi rahisi
 
sitaki malumbano na mjinga,shule za kata zinakuhusu nini? wewe kunguni wa pemba

Ona sasa unavyojiaibisha. Mara mjinga, mara umekuwa kunguni, mara unatetea shule uliyokwenda ya kata. Grow up small child. Sitaki kuamini kwamba unawabeza wapemba, Je wamekukosea nini au ndiyo hulka yenyewe ya upimbi? Ukiingia JF
Wacha upimbi wako huko kwenye shule ulizosoma ambazo kiwango chake ni kichekesho kwa taifa. Na hicho kipara chako kitakwanguliwa ubaki na ubongo ambao hauna hifadhi. Khe khe khe ke khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee una-prove maneno yangu hapo juu ulipata division 0 na hiyo ndio inakuuma, na itaendelea kula kipara chako for the rest of your life.
 
Back
Top Bottom