Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nae bana nani kakwambia ki-english ndio usomi? Elimu chio kiingereza ni lugha tu kama kiswahili chema wengi walitawaliwa na waingereza ndio chababu ki-english kinatumika sehemu nyingi ie international language of busineso. Wacha ngebe ebo! Kuhusu vyuo mbona vina ranking worldwide .. ... ... ..
Kiswahili ni shiiida
Umejiunga JF 2013 khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hiyo ndio shida yako. Ulikimbia umande weye inavyoonekana. BTW wewe umesomea shule za kata kama chikosei khe khe khe hhe khe kheeeeee na una division 0 kwenye lugha.
Talk about the devil you know!
Inapotokea inawekwa mada ya Kiingereza humu kwenye majukwaa, basi inasusiwa kama Bunge la katiba na UKAWA! Mada hiyo hiyo ikiwekwa kwa lugha ya Kiswahili, basi watu wataichangamkia kama posho, kuisoma kwa wingi na kuweka maoni yao...
Hili linanitia wasi wasi na elimu za wana JF wengi ambao wanajifanya wana tu bachelor, na wengine hata wakishindanisha vyuo vyao kwa kusema ukisoma chuo flani hufi njaa!
Naombeni mnijuze wana MMU kama lugha ya malkia ni sheedah au ni hulka tu.
Naona wengi wameanza kuja kwa jazba: But the reality, haya mambo ya kukimbia umande lugha ya Malkia ndio maana tunaingizwa mikataba mibovu coz wataaalam wengi wanapata shida ya kuitetea nchi kwa kutumia yai...
sitaki malumbano na mjinga,shule za kata zinakuhusu nini? wewe kunguni wa pemba
mie nalv kweli kuspeak kienglish bt i dont know why nafeli,plz give me the method wich i can use to sacseed.