Nina wasiwasi na haya mawasiliano ya wife na karani mwenzie wa sensa

Nina wasiwasi na haya mawasiliano ya wife na karani mwenzie wa sensa

Nikiwa Kama Expert, Mkeo Keshaliwa .

Mimi Sijui kwann , mnakuaga waoga matokeo yake mnabaki kuumia weee moyon na Kufa kimyakimya

Mkeo Keshaliwa na Peter.

Nisikilize nikwambie, Walianza mafunzo Yao Semina Kwa muda wa wiki kama tatu hivi ,hiii yote Peter na Mkeo wakawa na ukaribu .

Kwa muda huo wote, ni wazi wameshakulana.

Huwezi mtumia meseji Mke wa mtu "Tukutane pale pa jana" !! .
 
Nikiwa Kama Expert, Mkeo Keshaliwa .


Mimi Sijui kwann , mnakuaga waoga matokeo yake mnabaki kuumia weee moyon na Kufa kimyakimya


Mkeo Keshaliwa na Peter.

Nisikilize nikwambie, Walianza mafunzo Yao Semina Kwa muda wa wiki kama tatu hivi ,hiii yote Peter na Mkeo wakawa na ukaribu .

Kwa muda huo wote, ni wazi wameshakulana.

Huwezi mtumia meseji Mke wa mtu "Tukutane pale pa jana" !! .
Umewaza kama mimi
 
Kwann muda huo unaopoteza kukagua simu ungetumia hata kufanya jambo lingine TU....Kwann kuchunguzana sana.....sijui Nina moyo gani mwenzenu yaan kikishakua changu kinaondoka na kurudi nyumbani Sina muda wa kumfuatilia kabisa
 
Hii SENSA tutasikia mengi ,endelea kufanya upelelezi wako kwa umakin mkubwa utagundua tuu nini kipo nyuma ya pazia
 
Kuwa na amani kama moyoni huenda ni mambo ya kikazi kama vipi fanya uchunguzi kwa kina, kila lakheri.
 
Sasa hapo ubaya ni upi? Muache mwenzio awe huru.
 
Uzuri mjini ukimfumani mgoni wako Kuna Wana wapo na tukopo twa wese wakingoja kazi
 
Yaaani hakuna kiumbe dhaifu kumfuatilia na kumgundua nyendo zake kama mwanamke yaani haihijiki uwajir CIA ama FBI kumchunguza ni ww mwenyewe tu unamgunda kwa mda mdog sana
Aisee yani wewe ni mimi kwa sabb mwanamke n mzaifu sana kujielezea
 
Back
Top Bottom