INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Habari za usiku wataalam
Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.
Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.
Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.
Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.
Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.
Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.
Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.
Jaman mimi nasema ukweli kwenye magari bado ni mshamba nilijichanga changa nikanunua gari ya kunisadia mishe za hapa na pale ni Toyota IST, gari naweza sema bado ni mbichi ina kama miezi 3.
Hili jukwaa limekua na msaada sana kwangu napata elimu sana kuhusu magari. Ndugu zangu nina week nimefanya service ya gari hii service ya2 baada ya kuagza gari. Service ya kwanza nilitumia oil ya total quartz.
Service ya pili niliamua kubadili oil na kutumia Lique Molly baada ya kuona watu wanaisifia sana, wakati tunabadili filter tuligundua wale jamaa wa mwanzo hawakubadili filter so walinipiga hela ya filter.
Kwenye service ya2 mafundi walishauri nisafishe engine kwa kutumia engine flush ili kutoa uchafu, na nikafanya service ya oil ya gear box ambapo tulitumia T-IV fundi alikagua akasema gari haijafanyiwa service kwenye gearbox hivo nibadli oil.
Tuje kwa mada, baada ya service kuna kitu naona hakipo sawa kwa kawaida gari ikiwashwa lazma itoe moshi fulani hivi wa mbali ila sahivi sioni kingine wakati fundi kafanya service aliitest gari kuna maji meupe matone yalikua yana dondoka kwenye bomba la moshi nilivomuuliza fundi akasema hapo engine ipo sawa nisiwe na wasiwasi ila sahvi sion kabisa yakidondoka.
Gari ile rpm haivuki mbili hta wakati inatoka japan ilikua hivohvo ikifika3 inarud mpaka2 au chini ya 2, kingine ukiwasha rpm haizid moja au inakua nusu.
Kutokutoa moshi na maji ndo kunanichanganya kwasababu najua moshi ni matokeo ya kuwa mafuta yamechomwa na ni ule ni uchafu, nisaidieni wataalamu wa magari.