Nina wasiwasi na mke wangu...

Kwanza jambo łakwanza huyo dada yake(Shemeji yako) ilipaswa pia akupe taarifa ya kumuhitaji mkeo.
Pili mwanamke anaomba ruhusa ya safari na sio kutoa taarifa ya safari hai make sense kabisa.
But yote umeyalea mwenyewe hapo MBUSUSU IMEPIGWA
 
Mimi mke wangu kuchukuliwa na mama tu kwenda kokote ni mpaka mama aniambie wiki moja before.. huyo ni mama yngu yani. Imagine mtu tu apige simu.. haahahah ila hizi ndoa za wakuu wa kaya wanawake zina shida sana
 
Nlitaka niseme maneno magumu nkaona hapa modi hawashindwi kunipiga ban af nkakosa uhondo.
Mpka sasa hv 1st half away team wanaongoza kwa goli 3.
Blaza, usisahau kunitag kwenye mrejesho
 
Hao mama wakwe ndio nuksi kabisa ,

Usiwe na jaziba sana ,Kuna mke wa mtu alinisumbua sana nimle mbusu mbusu nikagoma Tena mwenzake akawa anasema wapi imendikwa me mke wa mtu huku akigeuza kalio

Daah nihatari sana mkuu
 
Kwa hiyo unataka sisi tukuulizie kwa dada yakr kuhusu kumuita mkeo ghafla?

Kama ulimruhusu mkeo asafiri basi peleka machozi yako kwa mtoni.
 
Hao mama wakwe ndio nuksi kabisa ,

Usiwe na jaziba sana ,Kuna mke wa mtu alinisumbua sana nimle mbusu mbusu nikagoma Tena mwenzake akawa anasema wapi imendikwa me mke wa mtu huku akigeuza kalio

Sawa mkuu nimekuelewa
 
Akifika mwambie hivi safari yako niliamua kuifuatilia kwa ukaribu Sana kupitia simu yako hebu nielezekeze ulivyotembea nilinganishe na nilichofuatilia kupitia simu inavyoonyesha ulikopita na ulikokuwa

Yeah sawa mkuu nimekuelewa sana nitafanya hivyo
 

Sawa mkuu nitaleta mrejesho
 
Chochote atachoomba kati ya hivyo atarajie ugomvi mkubwa [emoji28][emoji28][emoji28]! Hio ni benchmark tu. Likitokea gomvi ajue tu mkewe ameliwa taari.

Mkuu bola ugomvi kuliko upuuzi huu siwez mkuu kitaeleweka tu
 
em tuwekee picha tuone kama unachapiwa mzee mwenzetu?
 
Hapo ndo ninapogundua kuna shida katika jamii. Wanawake nyuzi zikianzishwa kuwaponda huwa mnajimaliza humu kujitetea au kucomment ili mjisawazishe na kuonekana sawa machoni pa watu. Leo kuna mwanamke amebugi lakini wanawake wako kimya. Penye makosa yenu hamuongei..au mnajipanga kuja na utetezi. Penye makosa mmekaa kimya...
Very absurd

Turudi kwenye mada. Huyu dada ni kweli kuna red flags na mkuu umeshashtuka. Akija utafanya kutokana na utakavyoamua. Ila humu kama una binti, mtoto, ndugu wa kike aliyeolewa embu muwe waelewa. Kuna kitu kinaitwa mamlaka. Mke yuko chini ya mamlaka ya mume. Na Yesu aliagiza utii kama kanisa linavyomtii yeye. Safari ya ghafla kirahisi tu..bila hata kutoa taarifa.

Wewe baba, mama unamuita binti na husemi kwa mume wake. Hii sio heshima. Ukitaka mkwe akupende na wewe heshimu mamlaka kama mume wa bintiyo. Misingi mnaiharibu. Baadae huyu kijana akiwa nongwa kwa binti yako mnaanza kusema. Kumbe hamkumuheshimu mwanzo. We are africans...lets live like african. Wewe mama uko na baba. Ulikua unanyanyuka kiholela kwenda mahali bila kumpa taarifa baba?? Au ndo kisa mna fedha mnakuwa hamjali???
Sad.
 

Mkuu atanieleza leo ata makofi atakula asipoangalia mi ujinga staki kasha nitibua yaan now simuelew kabsa kiongoz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…