Nina wasiwasi na mke wangu...

ulishindwa kuwapigia hao mashemeji ili uwaulize kama kweli wanakikao huko nyumbani?
 
Mimi nilishawahi kumshauri kitu jamaa yangu Fulani kuhusu nyumba ndogo yake si akaenda kunisemea, tangu siku hiyo nimekoma kiranga komo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majitu ya namna hiyo huwa yanaumbuka mwishoni
 
Kama unampenda sana, na huwezi kumuacha; usiangaike kumuuliza chochote, wewe akija mpelekee moto maisha yaendelee.
Kwa sababu, itakuwa haina maana ya kumuhoji, huku ukiwa hauna uwezo wa kufanya maamuzi magumu itakuwa sawa na kupiga kelele tu.
Hili neno kuntu
knows
 
Pole braza, sorry km nitakukosea.. una uboya fulan hiv ndanj yako, mwanamke kulalamika ndo umougope? Be a man. Ukiamua umeamua, kaza unachapiwa.. na demu wako ashajua wew ni weak.
 
Mimi nilishawahi kumshauri kitu jamaa yangu Fulani kuhusu nyumba ndogo yake si akaenda kunisemea, tangu siku hiyo nimekoma kiranga komo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee subiria style mupya mupya alizojifunza huko dodoma
Nimechelewa kutoa ushauri sijui jamaa kashaua uko hajaleta mrejesho

Ukweli mchungu mke katombwa

Ila uyo mke sio malaya inawezekana akawa hapigwi sana nje ya ndoa kwa mwanamke anaetombwa sana nje ya ndoa asingekupa izo sababu za kiboyo masaa mawili ni mengi sana kwa mwanamke mchepukaji uyo alieenda hadi dodoma kufata hogo uyo sio malaya kabisa we msamehe tu potezea maisha yaendelee kwasabu alimtomba ni X wake

Mchepukaji mzoefu huwezi mpeleka dodoma kindezi ivo uyo katulia kuwa na amani wamepasha kipolo tu na nnaamini kabisa hukumkuta bikra mnyaturu wa watu[emoji16]
 
Alafu msimlaumu sana jamaa eti kuhusu kumruhusu mke kuondoka alafu wengi mnaomponda jamaa kua kamruhusu mke kaondoka kizembe istoshe hampo kwenye maisha ya ndoa

Ipo ivi yani kuna time unajiona kama unahitaji kuwa peke yako ivi kwa muda akili irelax hapo mke hata akikuaga anatoka huwez zingatia mpaka muda uende kidogo ndo akili inakaa sawa na humo ndo mnapogongewa wengi wake zenu mke akiwa mbali kidogo akili ndo inakukaa poa ivi ila akiwepo ivi unamuona box tu [emoji16]

Ule msemo wa "nikiondoka utanikumbuka" haufanyagi kazi mpaka mtu aondoke

Ndo ukweli uo
 
Kama hakupendi ni kazi bure tu

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Maumivu ya kutombewaaa acha kabisa mwanawane. Mandelea mwenyewe alisamehe wadhungu waliomtia jela ila winnie alivyogegedwa tuu jamaa hakuweza vumilia
 
Mkuu ulishindwa hata kumpigia shemeji mmoja na kuuliza huyo mtu anakuja huko kulikoni?
 
Daa hii ndoa yako itakua ya kikristo tuu ndio hua mnapata tabu sana na wake zenu kiasi hiki hivi Mimi dada wa mke wangu anamajukumu gani ya kumuita mke wangu pasipo kunitaarifu Mimi mwenye Mme achana na dada hata baba yake mzazi au mama yake lazima aniombe kwanza na Nina hiyari ya kukubali au kukataa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…