Nina wasiwasi na mke wangu...

Mkuu

Mwinda Huwindwa

Hali hii itatokea msipoaminiana.

Mmoja ataua mwenzake.
 
Ule muda aliokuwa anasema yuko Singida ulitakiwa kuwapigia nduguze hao waliomwita halafu kuwauliza vipi mgeni kafika salama ? Ingekuwa ni kweli wangesema ndio kafika salama halafu unawaomba wampatie simu huyo mgeni uongee naye manake unajifanya kila ukimpigia humpati.. Ukiona taarifa ni za kweli , unajifanya nimepatwa na wasiwasi sana labda kuna jambo baya limetokea nyumbani mpaka hapo utakuwa umeshapata 80% ya movie.
ila ukisikia tu mgeni gani ? Ujue ndo hivyo tena !
 
Je mshazaa watoto na huyu mke wako?
Ebu nipe picha yake nimwangalie maana naweza nikawa nimemuona hapa Dodoma, kuna lodge flani nahisi ndo alikuwa na jamaa fulani hivi mzito. 8
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ooh namna gani tena hapa..

Mkuu wife kacheza rafu mbaya sana hiyo(na nafikiri kuna namna ambayo umepelekea iwe hivyo-unamruhusu mke wa ndoa aondoke ili tuu msi-collapse..this too bad aisee..yaani unampa GoAhead ya safari ili tuu umfurahishe wife(kwelii?)! Bila ya kuProbe kiundani..

Vp tickets za safari karudi nazo,ndugu zake umewasiliana nao kufahamu kama alikuwa huko?

Maamuzi ni yako mwenyewe Mkuu..huyo ni mkeo(we ndo wamfahamu uzuri)..
 
Dada hana ruhusa kumuita mke mtu alitakiwa dada akupigie simu akuombe kuwa anamhitaji mkeo kwa sabbu ipi na ni kwa sikungapi

Ukiolewa hurusiw kwenda hta Kwa wazaziwako bila ruhusa kutoka Kwa mumeo na km ni safar ya kulala bas unaenda kuruhusiwa ukae Kwa sikungap na mumeo sembuse Kwa dada
 
Nilichokuja kugundua kwenye mambo ya mahusiano tunabadilishana wanawake na wanaume sio waliopo kwenye ndoa au ambao hawapo kwenye ndoa.
 
Kwani nyie makazi yenu ni wapi ilitujue sababu za yeye kulala dodoma kwa kukosa usafiri. ila nawewe ni kinyembe kweli alipokuambia kafika singida kwa dada zake kwanini usinge wasalimia dadazake kama wako naye home
Watu hawasalimii ht ukweni
Ubinafsi sijui
Leo roho juu
Wkt simu tu ingesaidia tena unaitisha uwasalimie ndugu wote waliopo hapo
 
Mkuu Wala usiangaike akija chukua simu yake then ingia Google map kama ni smart phone itaonyesha sehemu na miji yote aliyo pita ndani ya siku za nyuma apo ndio kikao kianze
Simple and clear
 
Wapigie simu ndugu zake wa Singida kama unawasalimia hivi. But hawa viumbe ni shida Sana wanataka mwanaume dikteta, ukiwa muungwana na mustaarabu awajitambui. Wanapenda Sana kuruka mkojo.
 
Na mwanamke akishaanza kuvuliwa chupi kwa kukuonyesha dalili then na wewe ukapotezea akili yao huwa inaganda wanaficha kichwa mchangani.
 
Mimi kuna siku nimechungulia simu ya shemeji yenu nikakuta message eti anaomba ruhusa ofisini kwamba awqhi kutoka kwamba kuna mahali anaenda na Mr yaani na mimi, then wala sikujulishwa wala sikuwa na ratiba ya kwenda nae mahali.
Viumbe walioamua kumpa shetani aongoze maisha yao ni kukaa nao mbali kabisa Kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…