Nina wasiwasi na mke wangu...

Kosa la kwanza ni wewe kumpa ruhusa bila sababu za msingi
 
Tahadhari weka hasira pembeni.
 
Mkeo yupo huru sana.
Mwanaume unakuwaje hivyoooo eeish.
Mtu anaaga simpo tu safari za ajabu ajabu..... Hakwenda singinda wala dodoma tupo hapo hapo mjini na keshapewa dozi nzito akirudi mwambie aoge janaba.
 
PIGA NGUMI MCHOMOKO KWANZA KAMA MANDONGA ALAFU ARUDI KWAO USIMTAFTE TENA UONE MIEZI6 IKIPITA ITAKUWAJE
 
Wapigie simu ndugu zake wa Singida kama unawasalimia hivi. But hawa viumbe ni shida Sana wanataka mwanaume dikteta, ukiwa muungwana na mustaarabu awajitambui. Wanapenda Sana kuruka mkojo.
Kuwapigia haisaidii kitu kama ameondoka maana atakuwa kawapanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…