Usionyeshe Kama unawasiwasi wowote na yeye Tena mwambie pole na safari .Kisha unanyakuwa simu yake mapema unasepa nayo kutwa nzima Ila usiwe tuu mtu wa jàzba Wana codes zao vile ukienda job wanaanza mawasiliani
Asa na wewe mwanaume gani unatia aibu wanaume wenzio ....mwanamke anakuagaje kijinga hivyo na wewe unakubari hivi ....uyo mkeo ni mjinga mbona hakuheshimu kiasi hichoHapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
Unalala kwa raha akija unamadai pole unamuhudumia basi .Nikweli mkuu naamini nitajua tu
Poa habari yakoHabari rafiki
Asa na wewe mwanaume gani unatia aibu wanaume wenzio ....mwanamke anakuagaje kijinga hivyo na wewe unakubari hivi ....uyo mkeo ni mjinga mbona hakuheshimu kiasi hicho
Njema sanaPoa habari yako
Unalala kwa raha akija unamadai pole unamuhudumia basi .
Mie nimewahi ishi na mtu ila ndoa hatukufunga alikuwa ananificha ufisadi wake akadai yupo busy safari za hapa napale weh .
Siku za kufa kwa nyani miti yote huteleza nikambamba walahi nilizimia.
Fisadi la mapenzi nikalikamata kwisha
Asantee imeishaga hiyo maisha ndio hayo tutaishi kwa imaniDaah poleee sana mkuu
Karibu jf usiku hujalala tu wajameniNjema sana
Nimesoma ,Kuna Mahali nimefikia nikaanza kutetemekaz mapigo yamoyo yakienda Kasi, as if Mimi ni wewe
Nianze Kwa kuuliza, yaan ni Mkeo umeona Kwa mahari ????
Bwanaaee, tufanye hujatoa mahari, mwanamke ukishanvuta kwako, ni anawajibika KUTII MAMLAKA YAKO KWA UNYENYEKEVU ULOTUKUKA.
Niseme tu kwamba !!!!
Wewe ni aina ya Wanaume wenye "Ubabybaby".
Kwa mantiki hiyo, Mkeo ameshakuona weee ni mwepesi kiasi kwamba anao uwezo wa Kutumia Uongo wa Daraja la 1 akijua pia bado atakuwin.
Najua utanibishia hapa ili unionyeshe wee ni Mwamba, ungekua Mwamba "Usingeruhusu Mkeo kuzuga simu za dada ,Sijui singida, yaaan Madada mtu wakuondolee mwanamke wako nyumban ? " Kupiga soga !!
Sisi wengine, Ndugu wa Mke wakipiga piga simu , hata yeye anawajibu "Mmmhhh Sijui kama ataniruhusu Mamaaa".
Mlowengi mnaweza msinielewe, na kauli za "Mke anajilinda mwenyewe"..
Ukweli nikwamba Kwa habari ya MKE Ndani ya Ndoa, MWANAUME UNATAKIWA UWE MKOLONI KWELIKWELI KIASI KWAMBA MKEO AJUE WEWE NDIO MUME MWENYE
[emoji117]MAMLAKA JUU YAKE
[emoji117] KIONGOZI WAKE
[emoji117]MTAWALA WAKE
kiasi kwamba hatokaa hata siku Moja kutumia Uongo wa Daraja la kwanza.
Ndugu yangu, Kutombewa umetombewa, HILI LIKO WAZI , walakini kwenye Kutombewa huko, Wewe umechangia asilimia karibia 40%, zilizobaki yaan 60, ni hizi Sasa za Wanawake wetu wakizazi hiki Cha Leo !!
Mwisho, Haya akikujibu 'Nisameheee nisamehee ,ni kweli nimeliwa ".......... Utafanya nini???
Maana yangu ni kwamba, Kuna wakati mwanadam unalazimika kufanya hatua za kuzuia uangamivu , sio kuacha uangamivu utokee, alafu madhara yake, ukuangamizs hata wewe !!
POLE KWA KUGONGEWA , KINACHOUMA, NI KUDANGANYWAA, ALAFU ANAFUNGA SAFARI KUPELEKA PAPUCHI ILIWE.
Kweli mkuu ila pole sana maana limekupa stress hili jambo Mungu atakuonyesha yaliyojificha kama yapo.Sawa sawa mkuu nimekuelewa sana shukrani sana ntafanya hivyo najua atajaa tu wacha nijifanye niko good hakuna tatizo lolote kama ulivosema
Hawa viumbe kuna muda wanatuvuruga bila hata sababu.Kazi ndogo sana...eye/s contact....ukiwa fundi unajua kila kitu
Ni ishu serious ,sana, itifaki haikuzingatiwa unajua dodoma kwa jinsi napafahamu ,mtu ashuke halafu upande Tena gari ya singida? Two times?,gari huwa hazipatikani kirahisi muda ukienda sana;muulize alipanda gari gani?na huyo mtu aliyeenda nae Ni Nani ?Vinginevyo mpe yellow card,wasi wasi ndio akili ndugu yangu halafu hawa madada wanafichiana Siri na uozo wa kila namna Kama mkeo anajambo lolote la dharura la kuhusu familia yake hakuna ukakasi wowote wa kukuficha,Tena Jambo linalohitaji yeye mpaka awepo Ni kubwa ati