Nimesoma ,Kuna Mahali nimefikia nikaanza kutetemekaz mapigo yamoyo yakienda Kasi, as if Mimi ni wewe
Nianze Kwa kuuliza, yaan ni Mkeo umeona Kwa mahari ????
Bwanaaee, tufanye hujatoa mahari, mwanamke ukishanvuta kwako, ni anawajibika KUTII MAMLAKA YAKO KWA UNYENYEKEVU ULOTUKUKA.
Niseme tu kwamba !!!!
Wewe ni aina ya Wanaume wenye "Ubabybaby".
Kwa mantiki hiyo, Mkeo ameshakuona weee ni mwepesi kiasi kwamba anao uwezo wa Kutumia Uongo wa Daraja la 1 akijua pia bado atakuwin.
Najua utanibishia hapa ili unionyeshe wee ni Mwamba, ungekua Mwamba "Usingeruhusu Mkeo kuzuga simu za dada ,Sijui singida, yaaan Madada mtu wakuondolee mwanamke wako nyumban ? " Kupiga soga !!
Sisi wengine, Ndugu wa Mke wakipiga piga simu , hata yeye anawajibu "Mmmhhh Sijui kama ataniruhusu Mamaaa".
Mlowengi mnaweza msinielewe, na kauli za "Mke anajilinda mwenyewe"..
Ukweli nikwamba Kwa habari ya MKE Ndani ya Ndoa, MWANAUME UNATAKIWA UWE MKOLONI KWELIKWELI KIASI KWAMBA MKEO AJUE WEWE NDIO MUME MWENYE
[emoji117]MAMLAKA JUU YAKE
[emoji117] KIONGOZI WAKE
[emoji117]MTAWALA WAKE
kiasi kwamba hatokaa hata siku Moja kutumia Uongo wa Daraja la kwanza.
Ndugu yangu, Kutombewa umetombewa, HILI LIKO WAZI , walakini kwenye Kutombewa huko, Wewe umechangia asilimia karibia 40%, zilizobaki yaan 60, ni hizi Sasa za Wanawake wetu wakizazi hiki Cha Leo !!
Mwisho, Haya akikujibu 'Nisameheee nisamehee ,ni kweli nimeliwa ".......... Utafanya nini???
Maana yangu ni kwamba, Kuna wakati mwanadam unalazimika kufanya hatua za kuzuia uangamivu , sio kuacha uangamivu utokee, alafu madhara yake, ukuangamizs hata wewe !!
POLE KWA KUGONGEWA , KINACHOUMA, NI KUDANGANYWAA, ALAFU ANAFUNGA SAFARI KUPELEKA PAPUCHI ILIWE.