Nina wasiwasi na mke wangu...

Ngoja nichunguze nitajua tu mkuu nitaleta mlejesho

Wazazi wake wapo mkuu ila naamini mama mkwe atashangaa sana
Hao mama wakwe ndio nuksi kabisa ,
Wazazi wake wapo mkuu ila naamini mama mkwe atashangaa sana
Usiwe na jaziba sana ,Kuna mke wa mtu alinisumbua sana nimle mbusu mbusu nikagoma Tena mwenzake akawa anasema wapi imendikwa me mke wa mtu huku akigeuza kalio
 
Akifika mwambie hivi safari yako niliamua kuifuatilia kwa ukaribu Sana kupitia simu yako hebu nielezekeze ulivyotembea nilinganishe na nilichofuatilia kupitia simu inavyoonyesha ulikopita na ulikokuwa
 
Uzi ufutwe baada ya kufata ushauri huu
 
Mkuu vp kama mkeo, yupo jamii forum na ameona uzi wako the whole thread??

Fata ushauri huu kama una nia na mkeo
Mm huwa sina masihara huwa nachukua namba ambayo ni recent mara nyingi kwenye
Call logs then hapo sura mbuzi sicheki
Na kima mimi ni miyeyusho sana
Lazma aichanganue safari yake vzuri
Ndo awe huru...!! Tunasubiri mrejesho
 
Hapo akifika kwanza dai ticket si chini ya nne
Ndio maswali mengine yaendelee.
Hakutoka hata DSM huenda alisogezwa maeneo ya Bagamoyo tu. Hizo story za Dodoma hazi tally. La kama alifika Dom basi walienda na private ila aliishia Dom.

Hivyo kudai tiketi itakuwa gomvi kubwa na sababu ni ile ile,,, "Ina maana huniamini au?" kama huyo mke asipotumia hii point katika kubisha kwake uniite mi mbwa nimekaa zangu juu ya bed now.
 
Hivyo kudai tiketi itakuwa gomvi kubwa na sababu ni ile ile,,, "Ina maana huniamini au?" kama huyo mke asipotumia hii point katika kubisha kwake uniite mi mbwa nimekaa zangu juu ya bed now.
😁😁😁😁
 
Nunua gunia mbili za mkaa akifika tu home piga kiberiti
 
Akirudi usimgegede miezi mitatu baadae pima Mimba.

Ukijichanganya imekula kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…