Nina wasiwasi na mke wangu...

Ushauri wangu bro achana nae usimuulize kitu mwache yete ndio awe anababaika kuleta narrative za safari zake
 
Mnyaturu kuliwa nje ni jambo la kawaida sana na hakuna namna yyt unaweza kumzuia kwahiyo huna budi kuzoea.

NB; Kwa kawaida taarifa yyt toka ukweni inayomhusu mke huanzia kwa mume ( mashemeji / wakwe hutoa taarifa kwa mume) kwamba kuna A B C na "wanaomba" mke asafiri halafu jibu wanalipata baada ya majadiliano baina ya mume na mke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
Wewe hao Dada zake hauna mawasiliano nao?
Umejiridhisha kuwa kweli kulikuwa na huo wito?
Kwanini aitwe yeye direct bila kukujulisha wewe?
Maana ingekuwa family issue walitakiwa wakupigie wewe simu, wewe ndo uiratibu hiyo safari ya mkeo

Otherwise ni mtu mnaishi tu ila sio mkeo...
 
Sio haraka kiasi hiko,ngoja aje akupe hiyo sababu uone kama inamashiko

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa katoa taarifa ghafla na usiku na amesema hakuna shida yoyote anakoenda. Jibu lilikuwa rahisi tu , "utaenda keshokutwa au wiki ijayo ". Hapo hawezi kukulaumu kwa kuwa hujamkatalia. Kuna wakati binadamu anatakiwa aongozwe kama ng'ombe ukimruhusu ajiongoze atakula mahindi ya watu
 
Sawa sawa mkuu nimekuelewa sana shukrani sana ntafanya hivyo najua atajaa tu wacha nijifanye niko good hakuna tatizo lolote kama ulivosema
Akijaa umepanga kumfanya nini? Assume umekosea na limepita unachotaka kukijua kinaweza ghalimu maisha ya mmoja wenu. Umeshasema una hasira na hasira iko karibu sana na ukichaa.
 
Nikweli mkuu ndo mchakato unaofuata shukrani sana mkuu kwa ushauri
Nakushauri acha lipite usifuate ushauri unaopewa ila next time kuwa makini na ufanye mambo kama mwanaume na mume
 
Mkuu nilimruhusu sababu yakusema ameitwa na dadazake but haijulikani nini shida kwakuwa ni familia yake nikamruhu aende ili tujue nini shida huko
Je uliwasaliana na hao mashemeji zako Kama kweli wamemwita mkeo!!? Au uliaamua kumuaamini tu mkeo!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…