Nina wasiwasi na mke wangu...

Nina wasiwasi na mke wangu...

knows

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,453
Reaction score
2,234
Habar wana JF,

Naimani mko wazima.

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife, sijui kwanini lakini ni safari ambayo siielewi kabsa wakuu. Nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.

Ni kwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabisa, kwasabubu kwanza ni safari ya kushtukiza lakini pia mpaka now sielewi aim ya safari ni nini mpaka now.

Alhamisi amerudi kutoka kazini usiku tunalala ndiyo ananipa taarifa ya kuwa kesho Ijumaa anasafiri, nikamuuliza unaenda wap? Akaniambia kapigiwa simu na dada zake wamemuita ambao wanakaa Singida. Nikamuuliza kunatatizo akasema hapana, ila sijui wanashida gani na mimi ndiyo wamenipigia simu niende.

Kiukweli nilikuwa nimechoka nahitaji kupumzika, sikutaka ku complicate kitu, nikamjibu sawa nikalala. Then asubuhi nikajiandaa nikaenda kazini vizur. Niko job ananipigia simu kuwa ndiyo anatoka home anaelekea stendi kupanda bus. Iikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu haya na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa.

Basi nikakata simu lakini kiukweli ghafla akili yangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea. Baadaya kupita kama lisaa akanitumia message kuwa amepata basi but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote.

Daah, sikutaka pia ku doubt wala mambo mengi nikamjibu sawa, nikaachana naye nikaendelea na kazi zangu, but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma. By saa 2 ndiyo ananiambia ndiyo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo. Basi mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good, nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.

Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana baadae by saa 7 mchana ananiambia ndiyo anataka kurudi leo. Nikamuuliza mbona hukuniambia asubuhi na kwanini usingeondoka asubuhi? Sijaona cha maana anachonijibu, basi nikamwambia haya kama unarudi leo. Tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia simu ananiambia kuwa yupo stendi, mara gari sijui hakuna, mara zimejaa, mara nimechoka nasikia usingizi, nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuhi akasema sawa tukaacha.

Baadae ananitumia message eti amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma. Aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siyo bure, coz kwenda kashuka Dodoma kurudi baada arud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarudi kesho mapema na sidhani kama kweli alikosa usafiri by that time ananiambia kuwa kapata usafiri.

Ila unaishia Dodoma so ataenda kulala Dom, sikutaka ku complicate nikamjibu sawa basi nikaachana nae. Ila cha ajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa. Yaani ndo ananitumia text saa hii, saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika. Heheheh nacheka ila najua mwenyewe wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizuri kuhusu hii safar yake.

Japokuwa mimi siyo mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabisa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonna happen.

Wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana, uwanja ni wenu.
 
Inaonekana huu ni ugonjwa ulioulea mwenyewe na ndio unakutafuna sasa. Mkeo anakuaga usiku kuwa anasafari asubuhi na we unamuitikia tu? Hahaa! Safari ya siku kadhaa nje ya mkoa na it's okay with you? Unajua kinachiendelew huko Dom na inauma sana but kwa mtazamo wangu, Deal with it.
 
Unaishi vp na mkeo mzee
Au yy ndiye mkuu wa kaya
Mwanaume inatakiw ww ndiy uamue asafir au asisafiri

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app

Hapana mkuu huwa naamua lakini hii sikutaka ku doubt coz nikimkataliga safar analalamika na kuona namuonea lakini pia nikwasababu tu kaeleza kuwa kaitwa na hajui nini shida kwa heshima tu za mashemeji nikamuacha aende ili akirud anieleze vizur hicho kilichomfanya akaitwa huko
 
Habar wana JF
Naimani mko wazima

Kiukweli nimekuwa na wasiwasi na safari ya wife sjui Kwanini lakini nisafar ambayo siielew kabsa wakuu nina mashaka nayo coz naona mapicha picha tu.
Nikwamba wife kasafiri juzi ijumaa kuelekea Singida lakini safari yake sielewi elewi kabsa kwasabubu kwanza nisafari ya kushtukiza lakini pia mbaka now sielew aimed ya safari ni nini mbaka now.
Alhamisi nimelud kutoka kazini usiku tunalala ndo ananipa taarifa ya kuwa kesho ijumaa anasafiri nikamuuliza unaenda wap? akaniambia kapigiwa Sim na dadazake wamemuita ambao wanakaa singida nikamuuliza kunatatizo akasema hapana ila sijui wanashidagani na mimi ndo wamenipigia cm niende Kiukweli nilikuwa nimechoka nahtaji kupumzika sikutaka ku complicate kitu nikamjibu sawa nikalala then asubuh nikajiandaa nikaenda kazini vizur.
Niko Job ananipigia Cm kuwa ndo anatoka home anaelekea stend kupanda Bus ilikuwa almost kama saa 7 hivi mchana nikamjibu hayaa na nikamuuliza kama kunakitu chochote anahtaji akasema hapana yuko powa bas nikakata Cm lakini kiukweli ghafra akiliyangu ilishikwa na wasiwasi juu ya safari yake but sikutaka ku doubt anything nikapotezea.
Baadaya kupita kama lisaa akantumia message kuwa amepata bus but akifika Dodoma atashuka kuna ndugu yake anamchuka then wanaenda wote daah sikutaka pia ku doubt wala mambomengi nikamjibu sawa nikaachana nae nikaendelea na kazi zangu but bado sikuona sababu ya yeye kushuka Dodoma By saa 2 ndo ananiambia ndo wanaondoka Dodoma nikamjibu sawa safari njema tukaacha hivyo.
Bas mi nikarud home usiku kwakuwa nilishapita somewhere nikapata chakula nikafika home niko good nikaoga nikaingia kwa bed nikampigia ananiambia kashafika ila kachoka na safari nikamuacha nikapumzika.
Sasa leo Jpili tumeongea asubuh vizur tu na tukaagana badae by saa 7 mchana ananiambia ndo anataka kurud leo nikamuuliza mbona hukuniambia asubuh na kwanini usingeondoka asubh sijaona cha maana anachonijibu bas nikamwambia hayaa kama unarud leo tuakaacha baada ya kama nusu saa ananipigia cm ananiambia kuwa yupo stend mala gari sjui hakuna mala zimejaa mala nimechoka naskia usingizi nikamwambia sasa siungebaki ili uondoke kesho asubuh akasema sawa tukaacha.
Baadae ananitumia message et amepata gari ila linaishia Dodoma kwaiyo atashuka Dodoma aloo nikasema kimoyomoyo hapo Dodoma hapo siobule coz kwenda kashuka Dodoma kurud baada alud kesho kama kweli kakosa usafiri na tumekubalina anarud kesho mapema na sizan kama kweli alikosa usafiri by dat time ananiambia kuwa kapata usafiri ila unaishia Dodoma so ataenda kulala dom sikutaka ku complicate nika mjibu sawa bhas nikaachana nae.
Ila chaajabu baada ya hapo akawa kimya hakusema kama kafika au laa yaan ndo anantumia text sahii saa 5 usiku kuwa alifika salama ila alishindwa kuniambia coz vidonda vya tumbo vilimshika akafikia kupumzika heheheh nacheka ila najua mwenyew wakuu but sijamjibu na sitamjibu lakini namsubiri arudi kesho nikitoka kazini anieleze vizur kuhusu hii safar yake japokuwa mimi sio mtu wa kumchunguza mwanamke na sipendi kabsa kuchunguza mtu sababu naelewa what’s gonne happen wakuu kama kuna la kuniongezea karibuni sana uwanja ni wenu
Umepigwa Mzee,
 
Inaonekana huu ni ugonjwa ulioulea mwenyewe na ndio unakutafuna sasa. Mkeo anakuaga usiku kuwa anasafari asubuhi na we unamuitikia tu? Hahaa! Safari ya siku kadhaa nje ya mkoa na it's okay with you? Unajua kinachiendelew huko Dom na inauma sana but kwa mtazamo wangu, Deal with it¡

Sawa mkuu acha niingie kazini ni deal na hili kama ulivosema kiongoz
 
Back
Top Bottom