nina watoto 30 wote mama tofauti

nina watoto 30 wote mama tofauti

Mkuu km ya kweli Hongera ila km ni Uongo Pole,Yatakukuta tu uyatakayo
 
baada ya kutafuta mpunga unawaza China kweli nchi ya viwanda bado aisee
 
wadau nishaurini nifanyaje mpaka sasa nina watoto 30 watano wapo nchi za nje na mama zao huko uk nlipoenda likizo,kumi nliwapata 1999 wakati nikiwa dereva wamalori.na hawa 15 walobaki watano wapo nigeria,watatu kenya,wawili uganda.na kumi wengine hapa jijini dar.mimi nina mika 29.tatizo nataka kuoa mwezi wa12 nashindwa jinsi ya kumwambia wife siri hii ambae tayari nishamvisha pete.nishaurin mana watt wanataka kuja kunitembelea arusha napokaa.
Ila kaka kwa miaka uliyoitaja hapo mbona yaonekana dhahiri mwaka 1999 ulikua na miaka 11???[emoji15] [emoji15]
 
Back
Top Bottom