Nina wazo la kuwekeza katika cho kimoja hapa tanzania ambapo katika chuo hicho watu wengi hufuliwa nguo zao na wadada waliopo hapo chuoni sasa mimi nataka niwaajiri wafuaji hao ambapo nitaka kununua washing mashine ambayo nitaifunga katika site hiyo .
swali langu sasa napenda kama kuna mtu mwenye uzoeffu na mambo haya au anayejua bei za washing mashine mie nina milion moja nannusu ni hayo tu wakuu
swali langu sasa napenda kama kuna mtu mwenye uzoeffu na mambo haya au anayejua bei za washing mashine mie nina milion moja nannusu ni hayo tu wakuu