Wangari Maathai JF-Expert Member Joined Aug 13, 2018 Posts 34,962 Reaction score 70,576 Jul 19, 2019 #21 reyzzap said: haswaaaaa, pia tuna makazi kule maeneo ya kibaoni bomani palee. Nina mpango wa kurudi tena, ule mji nimetokea kuuelewa sana Click to expand... Yes..hata mie napapenda...ingawa sio mwenyeji kivile...!pana kautulivu fulan..alafu kule kuna watu wanamake pesa jaman..najioneaga taaabu
reyzzap said: haswaaaaa, pia tuna makazi kule maeneo ya kibaoni bomani palee. Nina mpango wa kurudi tena, ule mji nimetokea kuuelewa sana Click to expand... Yes..hata mie napapenda...ingawa sio mwenyeji kivile...!pana kautulivu fulan..alafu kule kuna watu wanamake pesa jaman..najioneaga taaabu
Masalu Jacob JF-Expert Member Joined Jul 26, 2017 Posts 1,013 Reaction score 1,183 Jul 19, 2019 Thread starter #22 manengelo said: Yes..hata mie napapenda...ingawa sio mwenyeji kivile...!pana kautulivu fulan..alafu kule kuna watu wanamake pesa jaman..najioneaga taaabu Click to expand... Acheni umbea. Toeni mawazo yatakayo wasaidia wenzenu. Au peaneni namba mkafanye umbea nje ya jukwaa.
manengelo said: Yes..hata mie napapenda...ingawa sio mwenyeji kivile...!pana kautulivu fulan..alafu kule kuna watu wanamake pesa jaman..najioneaga taaabu Click to expand... Acheni umbea. Toeni mawazo yatakayo wasaidia wenzenu. Au peaneni namba mkafanye umbea nje ya jukwaa.