Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
haswaaaaa, pia tuna makazi kule maeneo ya kibaoni bomani palee.
Nina mpango wa kurudi tena, ule mji nimetokea kuuelewa sana
Yes..hata mie napapenda...ingawa sio mwenyeji kivile...!pana kautulivu fulan..alafu kule kuna watu wanamake pesa jaman..najioneaga taaabu