Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Wakuu,
Nimepata wazo la kipindi cha televisheni ambalo likifanyiwa kazi kinaweza kuwa ni kipindi kizuri sana sssa najiuloza ni mambo gani ya kufuata ili niweze kufanikisha ama kwa kuuza idea au mimi kukisimamia. Nauliza kwa sababu kuna wakati niliwahi kupeleka idea ya kipindi cha redio katika redio fulani kubwa hapa tz nikaonana na mtangazaji tukakukayajenga baadaye akawa hapatikani na nikaja kukuta ile idea wameshaifanyia kazi na kipindi kinaruka hewani hadi leo.
Wazo lolote.
Nimepata wazo la kipindi cha televisheni ambalo likifanyiwa kazi kinaweza kuwa ni kipindi kizuri sana sssa najiuloza ni mambo gani ya kufuata ili niweze kufanikisha ama kwa kuuza idea au mimi kukisimamia. Nauliza kwa sababu kuna wakati niliwahi kupeleka idea ya kipindi cha redio katika redio fulani kubwa hapa tz nikaonana na mtangazaji tukakukayajenga baadaye akawa hapatikani na nikaja kukuta ile idea wameshaifanyia kazi na kipindi kinaruka hewani hadi leo.
Wazo lolote.