Nina wazo la kuanzisha kikundi cha vijana kwa ajili ya kulima na kufuga

Unamawazo mazuri sana lkn ukweli ni kua kupata vijana ambao wanayo huo utayari ndio changamoto kubwa, vijana wenzetu wanapenda sana kukaa mjini, na kuwafatilia zaidi akina Mobeto na Diamond, na kubeti kwenye kilimo wanachukulia kama kazi ya wazee waliopitwa na wakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara za patnership huwa ni nzuri kimtazamo na hata kwenye kuanza miradi ila kimbembe huja pale pesa ikishapatikana. Ushenzi huanza pale mmoja akiona kwamba flani anapata sana au yeye ndio anajiona ama mchango zaidi kwenye upatikanaji wa pesa.
 
Biashara za patnership huwa ni nzuri kimtazamo na hata kwenye kuanza miradi ila kimbembe huja pale pesa ikishapatikana. Ushenzi huanza pale mmoja akiona kwamba flani anapata sana au yeye ndio anajiona ama mchango zaidi kwenye upatikanaji wa pesa.
Mkuu hilo ondoa wasiwasi ndio maana nasema kila mtu atakuwa na mtaji wake hakuna kumpa mtu pesa bali tutatafuta eneo tutalima kila mtu na eneo lake lengo ni kubadilishana uzoefu ili hata yule asie jua na alifunze karibu sana
Kilimo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…