Nina wivu na mchepuko

Nina wivu na mchepuko

Wewe na huyo bidada mna mipango yoyote? Kama ni kutafunana tu muache awe na jamaa mwingne na kama ni muislamu oa awe bi mdogo mana kumuacha huwezi.

Hii kesi kama ya DeepPond yaan mule mule [emoji23]
Aaaah wapi,
Mi hatuendani KABISA.

Kwanza,mi kwa wife Sina hasira Wala nn.
Kingine, mi Mchepuko Wangu Sina wivu huo alokua nao jamaa.

Mimi sekeseke langu Ni pale anapotaka kuniacha Moja kwa Moja, hapo Lazima kieleweke

Ila Iyo kesi ya anaenda kugongwa anakuaga, hiyo dharau hata mamaJ wangu Hawez thubutu kunambia.

Otherwise,
Mwanamke wake anajiamini jamaa hamuudumii kwa chochote kile[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama dem nipo nae from monday to friday ikifika tu jmos anapotea kama mchawi tunakuja kuonana j3 na anarudi na mahaba yote ukimuuliza why she wasn’t replying to my calls anachekacheka mabusu mawili matatu unapotezea. Haya mambo yanakera sana aisee
Uyo huenda anajiuza,
Weekend anakua busy Sana hapa na pale kutafuta mahitaji yake.

Kama unabisha muwekee Watu wamfatilie ratiba yake nzima friday-monday utaleta mrejesho[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ....
Mtoa mada hajui hata kilichompeleka kwa Mchepuko

Mi was kwangu nmetoka kumchungulia juz juz hapa anatomaswa na bodaboda mpk Kwny kidudu

Ila Sina ugomvi nae KABISA, nnachoangalia Ni Shea yangu TU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu haina haja
Kugombea ndizi wakati mgomba hukuotesha wwe
Play ur part
 
Yaani hapo umeuiruhusu nafsi yako kuwa mtumwa kwake!! Hakuna kitu kibaya na kinachouma kama kudate na demu ambae unajua ana bwana/ mabwana halafu umpigie simu uone inaita haipokelewi!!!

Yaani hapo akili yako inakutuma sijui sasa hv kawekwa mbuzi kagoma au ananyonya dushe la mshikaji kama anavyonyonya lako au anaukatikia mpingo wa jamaa!! Aisee utaumia sana na utajitengenezea mastress yasiyokuwa na mpango ktk maisha yako na mwisho kabisa utaiharibu familia yako.

Kama una date nae we mchukulie kama malaya, usimuweke moyoni mwako hata kidogo ,infact don't even chase her wala usimpigiepigie simu mpk akutafute wewe ,asipokutafuta na wewe mpotezee endelea na mishe zako.
Uko sahii KABISA,
Tatizo jamaa kauruhusu Moyo wake kumpenda Mchepuko

Hivi angekua Mimi anaskia KABISA bodaboda anampapasa SI angepita na mlango?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uja

Ujasiri wa kumpiga ngumi anautoa wapu wakati hammiliki na they are just doing it for fun...mbaya zaidi inaonekana jamaa hamgharamikii huyo demu kodi ya nyumba wala kodi wa meza achilia mbali mavazi na urembo wake.

Ujasiri wa kumpiga anautoa wapi, kiufupi tu wapo kwa ajili ya kutoana nyege zao tu nothing else
Mi mwnyw nmeliona Hilo,

Mwanamke unayemgharamikia Lazima aone aibu na hofu kukucheat na hata akikucheat Hawez kakuambia na atajitahidi Sana usijue[emoji4].



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wadau nimejikuta nimekwama kwenye penzi la mchepuko kiasi kwamba nina wivu nae sana.

Nina mke na watoto, huyu mchepuko nilianza nae kitambo kidogo miaka ya nyuma na hatukuwa serious kihvyo ila sasa tunakoelekea dah nashindwa hata kuelewa.

Huyu mchepuko kakubaliana na hali halisi kuwa mimi nina familia yangu, na kwasababu hiyo basi na yeye ana mahusiano yake(ana mabwana zake).

Sasa ugomvi unaotokana na wivu unatokea pale mchepuko wangu nikagundua kaenda kwa hao mabwana zake kwakweli najisiki kuchanganyikiwa na navurugwa kiasi kwamba nahamishia ugomvi kwa wife na watoto, mara nyingine akainikasirisha jnakuta mke wangu ananiuliza nina shida gani lakini kwakuwa siwezi kuelezea kuwa tatizo ni mchepuko basi namuwashia hasira na yeye.

Huyi mchepuko nishamuomba aachane na hao mabwana zake hataki kabisa kusikia ananiambia mimi na yeye tunafanya for Fun sasa hawezi kuwa na mahusiano seriously na mimi kwasababu nina mke tayari.

Na akienda kwa mabwana zake huwa haniambii kwahyo nabaki hohehahe simu hapokei msgs hajibu, kwakweli nimechangangikiwa kabisa

Naombeni ushauri wenu wadau

Cha muhimu ukumbukage KONDOMU tu.
 
Inamaana haumtimizii eeeh??

Inakuwaje unamruhusu akaliwe nje nawe upo??

Kashakudharau yaani,inakuwaje mwanaume unajua kabisa demu yako inaliwa na masela huko nje!!!!

All the aii una moyo wa chuma
Uyu atakua hamhudumii,
Hii ya kwenda kuliwa nje na akamtaarifu Ni ishara ya kwamba Hana chakupoteza kwake.

Jamaa Aanze kumhudumia ili awe na control nae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio uwafundishe sasa, ile michepuko yako unaihandle vipi.
1. Sina tabia ya kupenda Mchepuko,
Kwa Mchepuko nafata good sex TU na Hamna lolote. Mapenz yangu yote yako kwa wife. Na ukitaka unitibue Basi mguse wife wangu. Nakukata kidevu.

2. Nawajibika kwa Mchepuko Wangu 100% kumhudumia kila Kitu Kias namdhibiti na vishawishi vya wananyatiaji na dharau za hapa na pale.

3. Siwez hamishia hasira za Mchepuko wangu kwa wife wangu, mambo yangu na Michepuko yangu yanaishia Uko Uko. Nikifika nyumban nakua mpya KABISA.

Mengine ntaongezea taratibu[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama DeepPond hajapita Happ huu Uzi ninbatilli

Nashanga jamaa wanmtukana sna mnyakiyusa wetu ila kwa deeppond hawezi. Kumtukana wanampa mbinu snaa
Bwana mwakipesile umekozea wapi
Mtoa mada anaonekana Ni mtu wa kupanik,

Wamemgeuza toy wao, wanataka wamkere kusudi ili akakitulize kwa mkewe[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ....
Mtoa mada hajui hata kilichompeleka kwa Mchepuko

Mi wa kwangu nmetoka kumchungulia juz juz hapa anatomaswa na bodaboda mpk Kwny kidudu

Ila Sina ugomvi nae KABISA, nnachoangalia Ni Shea yangu TU[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
We mwenyewe ulisema wakianza kudo utaenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kwahyo huyu mchepuko wangu ni dhahiri anazingua sio!!

You see alot of people apa wananiona mimi fala lakini trust me wengi wetu hapaa ambao tuna wake zetu hata ikatokea ukiwa na mchepuko hautotaka huyo mchepuko awe na anatiwa na masela wengine
dah!Sasa ukitaka awe nawewe tu yeye ataolewa lini? Kilichofanya udate kwake ni kwamba alijitoa kwako at the super standard akijua baadae utakua mume wake.Sasa kashajua unamke na watoto,na pengine keshakuchekecha akilini kakuona hauna mtazamo wa kumuoa,imebidi ajiongeze ili nae aje apate mume na familia yake.Kubali ukatae unadate na mchepuko anaekuzidi akili.
 
Back
Top Bottom